Waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania hawafungi ndoa na ngozi nyeusi japo dini wanasali pamoja

Waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania hawafungi ndoa na ngozi nyeusi japo dini wanasali pamoja

Ninajiulizaga sana hili swali. Mbona tuna wahindi wengi sana waislam na wakristo. Na tuna waarabu wengi sana waislamu wenye uraia wa Tanzania. Ila why hawaoi dada zetu ngozi nyeusi?
Ukienda Pemba au Unguja unawapata tu
 
Na ijumaa hawasali kwenye misikiti ambayo ibada zinaongozwa na mashehe wenye ngozi nyeusi.

Wanaenda kwenye misikiti yenye viongozi ambao ni rangi zao
🤣😆😂
 
Tunapata wasi wasi kuchangia nyuzi kama hizi kwa kuwa tunaweza kuonekana hatuwapendi weusi Wenzetu....lakini nadhani Kuna tatizo kwenye jamii ya watu weusi.........

Kuna sehemu moja kule upanga kuna muarabu aliweka water dispenser nje ili watu wapita njia wakate kutokana na jua Kali..... lakini Cha ajabu watu wakawa wanaondoka na koki za mabomba na kuiba vikombe.......

Pahali ninapofanyia kazi kuna muingiliano wa watu weusi na weupe.....kulifanyika marekebisho ya vyoo vyote ili kuviboresha.....Ile wiki ya kwanza ya vyoo kufunguliwa baada ya maboresho ule upande unaotumika na watu weusi waliondoka na koki zote mpya na pipes......maji yakawa yanamwagika tu......

Hayo ni machache tu akini tunatakiwa tujitafakari watu weusi.....
 
😅 😅 😅 Hajaelewa context
Yani hii waga inashangaza sana..unakuta mtu akisikia waarabu au wazungu wametajwa kwa ubaya, kabla hata hajasoma kuelewa kama kilichotajwa ni kweli au la, yeye kwasababu za mahaba ya kidini anakimbilia kutafuta jibu litakolopondea upande wa pili. Ndomaana utakuta mada inasema ''Alshabaab Nigeria waua watu100'' halafu komenti ya kwanza inasema ''Mbona hata wakristo wanaruhusu ndoa za ushoga makanisani''
 
Tunapata wasi wasi kuchangia nyuzi kama hizi kwa kuwa tunaweza kuonekana hatuwapendi weusi Wenzetu....lakini nadhani Kuna tatizo kwenye jamii ya watu weusi.........

Kuna sehemu moja kule upanga kuna muarabu aliweka water dispenser nje ili watu wapita njia wakate kutokana na jua Kali..... lakini Cha ajabu watu wakawa wanaondoka na koki za mabomba na kuiba vikombe.......

Pahali ninapofanyia kazi kuna muingiliano wa watu weusi na weupe.....kulifanyika marekebisho ya vyoo vyote ili kuviboresha.....Ile wiki ya kwanza ya vyoo kufunguliwa baada ya maboresho ule upande unaotumika na watu weusi waliondoka na koki zote mpya na pipes......maji yakawa yanamwagika tu......

Hayo ni machache tu akini tunatakiwa tujitafakari watu weusi.....

[emoji23][emoji23][emoji23] daaah tunamattz sana watu weusi
 
Yani hii waga inashangaza sana..unakuta mtu akisikia waarabu au wazungu wametajwa kwa ubaya, kabla hata hajasoma kuelewa kama kilichotajwa ni kweli au la,,yeye kwasababu za mahaba ya kidini anakimbilia kutafuta jibu litakolopondea upande wa pili.....Ndomaana utakuta mada inasema ''Alshabaab Nigeria waua watu100'' halafu komenti ya kwanza inasema ''Mbona hata wakristo wanaruhusu ndoa za ushoga makanisani''

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani hii waga inashangaza sana..unakuta mtu akisikia waarabu au wazungu wametajwa kwa ubaya, kabla hata hajasoma kuelewa kama kilichotajwa ni kweli au la,,yeye kwasababu za mahaba ya kidini anakimbilia kutafuta jibu litakolopondea upande wa pili.....Ndomaana utakuta mada inasema ''Alshabaab Nigeria waua watu100'' halafu komenti ya kwanza inasema ''Mbona hata wakristo wanaruhusu ndoa za ushoga makanisani''
Nafikiri upeo wa kupembua mambo pia ni tatizo kubwa sana.
 
Nafikiri upeo wa kupembua mambo pia ni tatizo kubwa sana.
wengine wana upeo kabisa,,,I think tatizo ni ile mentality ya kutetea dini husika no matter the cost, kwa kutumia mbinu yoyte ile ikiwemo uongo, matusi nk.
Mtu akiwa na mentality ya 'attack' 'attack' 'attack' yeye hawezi kudefend anachokiamini ila anatafuta kuattack tu imani za mwingine.

Kinachotakiwa ni kila mtu (dini yoyte hata asiye na dini) kuelewa anachokiamini, sababu za kukiamini na kuwa tayari kupokea criticism kuhusu anachokiamini na akigundua anaamini uongo, awe tayari kubadili imani yake
 
Waarabu na wahindi niwabaguzi ilibidi watengewe sayari yao kabisa hapa sasa ni swala la kufunga na kuomba ili mungu asikie kilio chetu maana ngozi nyeusi wherever we go is regalded as monkey.
 
Acha uongo , mimi nimeswali Ijumaa miskiti ambayo maimamu na viongozi watu weusi mfano Masjid Tambaza na Masjid Ma'amur ya upanga na kuna waarabu na watu weupe kibao na hata uswahilini huku Yombo tunaswali na waarabu kutoka mataifa mbalimbali.
Kwani wewe ni mwarabu
 
Mswahili anapenda dezo sana na mirathi huwa ni halali yao badala ya kutafuta chao

Watu wengine mirathi inajulikana kwa kufuata aidha Dini au Mila
Najua wengine watasema Mbona hata wao wana dini lakini wanagombania
Very simple answer ni tamaa tu ila kila kitu mnajua

Wengine hatuna tamaa hizo mzazi anaacha mali tunaendeleza na akiacha majumba yanakodishwa au wanakaa wenye hali dhaifu
 
Ni lazima ?
Ninajiulizaga sana hili swali. Mbona tuna wahindi wengi sana waislam na wakristo. Na tuna waarabu wengi sana waislamu wenye uraia wa Tanzania. Ila why hawaoi dada zetu ngozi nyeusi?

Inawezekana wanatujua ngozi nyeusi tuna mambo ya ajabu. Mfano msiba wa dada wa Mwanza aliyepigwa risasi ndugu wa mke na mume wameshaanza migogoro msibani tu.

Misiba ya wahindi na waarabu wa Tanzania ni ngumu kusikia migogoro ya kugombea mali. Kukwepa hili ndio maana hawaoi dada zetu weusi na wala hawaturuhusu weusi kuoa dada zao labda uwe unatoka royal family za Tanzania ndio wanakupa mke.

Hii video ya mama wa marehemu imenishangaza sana
 
Yani hii waga inashangaza sana..unakuta mtu akisikia waarabu au wazungu wametajwa kwa ubaya, kabla hata hajasoma kuelewa kama kilichotajwa ni kweli au la,,yeye kwasababu za mahaba ya kidini anakimbilia kutafuta jibu litakolopondea upande wa pili.....Ndomaana utakuta mada inasema ''Alshabaab Nigeria waua watu100'' halafu komenti ya kwanza inasema ''Mbona hata wakristo wanaruhusu ndoa za ushoga makanisani''
Hata wakitajwa mayahudi wa Israel utaona hapa mkristo wa Nzega anakuja kutokwa povu,

Acha double standard na uangalie pande zote.
 
Back
Top Bottom