Waarabu wa Afrika ni Waarabu au Waafrika?

Waarabu wa Afrika ni Waarabu au Waafrika?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Kwa mujibu wa takwimu, nchi za Kiarabu zipo 22. Kumi na mbili zipo bara la Asia na kumi zipo Afrika.

Zilizopo Afrika ni Algeria, Comoro, Djibouti, Misri, Libya, Mauritania, Morocco, Somalia, Sudan, na Tunisia.

Kwa kuwa inafahamika kuwa Afrika ina jumla ya nchi 54, waliopo kwenye hizo nchi 10 za Kiarabu wanajitambulisha kama Waafrika au Waarabu?

Kukitokea mgongano wa kimaslahi kati ya nchi za Kiafrika na Kiarabu, nchi kumi za Kiarabu zilizopo Afrika zitaegemea upande gani?
 
watu weusi kuna sehemu tunakwama kiakili,
Wa Saudi na waarabu na mda huo huo ni wa asia
India ni wahindi na mda huo huo ni wa asia
China ni wachina na mda huo huo ni wa asia

Libya ni waarabu na mda huo huo ni waafrika.

Uafrika ni kitu mbali na uarabu ni kitu mbali. Africa ni bara Uarabu ni ethic. Munashindwaje kufahamu jambo dogo kama hilo?

Acheni kuchanganya uafrica na Ubantu.
 
Sijakuelewa mkuu hapo mwisho! Wahindi ni wahindi na muda huo huo ni Waasia,
Wachina pia ni wachina na muda huo ni Waasia
Libya ni waarabu na muda huo ni waafrika!
Kwanini Libya wasiwe WaLibya na wawe waafrika?
Kwan Waafrika Kusini ni wa Waafrika Kusini au Waafrika?
 
Watu wanachanganya Race ya mtu na nationality yake. Mwafrika aliyeko Marekani ni Mmarekani kwa nationality(uraia) ila ni mwafrika kwa race. Bwana Richard Mabala ni mtanzania kwa nationality (hapa hatuna utaifa/nationalty ya mwafrika) ila ni mzungu tena pure kwa race yake. Bwana Mo ni mhindi kwa race yake lkn si mhindi kwa uraia(nationality) wake. Nafikiri mpaka hapa umeshapata majibu ya hao waarabu uliowaulizia
 
Watu wanachanganya Race ya mtu na nationality yake. Mwafrika aliyeko Marekani ni Mmarekani kwa nationality(uraia) ila ni mwafrika kwa race. Bwana Richard Mabala ni mtanzania kwa nationality (hapa hatuna utaifa/nationalty ya mwafrika) ila ni mzungu tena pure kwa race yake. Bwana Mo ni mhindi kwa race yake lkn si mhindi kwa uraia(nationality) wake. Nafikiri mpaka hapa umeshapata majibu ya hao waarabu uliowaulizia
Umenikumbusha Mabala the Farmer
 
Watu wanachanganya Race ya mtu na nationality yake. Mwafrika aliyeko Marekani ni Mmarekani kwa nationality(uraia) ila ni mwafrika kwa race. Bwana Richard Mabala ni mtanzania kwa nationality (hapa hatuna utaifa/nationalty ya mwafrika) ila ni mzungu tena pure kwa race yake. Bwana Mo ni mhindi kwa race yake lkn si mhindi kwa uraia(nationality) wake. Nafikiri mpaka hapa umeshapata majibu ya hao waarabu uliowaulizia
Uafrika sio race ,,, hakuna Mmarekani Muafrika isipokuwa kuna Wamarekani weusi. Au Wamarekani wenye asili ya Afrika .

Race ni rangi
 
Kwa mujibu wa takwimu, nchi za Kiarabu zipo 22. Kumi na mbili zipo bara la Asia na kumi zipo Afrika.

Zilizopo Afrika ni Algeria, Comoro, Djibouti, Misri, Libya, Mauritania, Morocco, Somalia, Sudan, na Tunisia.

Kwa kuwa inafahamika kuwa Afrika ina jumla ya nchi 54, waliopo kwenye hizo nchi 10 za Kiarabu wanajitambulisha kama Waafrika au Waarabu?

Kukitokea mgongano wa kimaslahi kati ya nchi za Kiafrika na Kiarabu, nchi kumi za Kiarabu zilizopo Afrika zitaegemea upande gani?
WAAFRIKA WA UARABUNI NI WAARABU AU WAAFRIKA?
 
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo,,,,🤣🤣🤣
Kwa mujibu wa takwimu, nchi za Kiarabu zipo 22. Kumi na mbili zipo bara la Asia na kumi zipo Afrika.

Zilizopo Afrika ni Algeria, Comoro, Djibouti, Misri, Libya, Mauritania, Morocco, Somalia, Sudan, na Tunisia.

Kwa kuwa inafahamika kuwa Afrika ina jumla ya nchi 54, waliopo kwenye hizo nchi 10 za Kiarabu wanajitambulisha kama Waafrika au Waarabu?

Kukitokea mgongano wa kimaslahi kati ya nchi za Kiafrika na Kiarabu, nchi kumi za Kiarabu zilizopo Afrika zitaegemea upande gani?
kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo.
 
Watu wanachanganya Race ya mtu na nationality yake. Mwafrika aliyeko Marekani ni Mmarekani kwa nationality(uraia) ila ni mwafrika kwa race. Bwana Richard Mabala ni mtanzania kwa nationality (hapa hatuna utaifa/nationalty ya mwafrika) ila ni mzungu tena pure kwa race yake. Bwana Mo ni mhindi kwa race yake lkn si mhindi kwa uraia(nationality) wake. Nafikiri mpaka hapa umeshapata majibu ya hao waarabu uliowaulizia
Mbona kama na ww umechanganya mambo... Africa ni bara ambalo Lina watu wenye asili mbili. Blacks na waarabu.
Africa sio race ni bara.
 
kama djibout,somalia,sudani ni waarabu kwanini Ethiopians na Rwandese na hapa Tanzania warangi,wamasai,wambulu wasiitwe waarabu?au uarabu ni mpaka jamii husika iwe na waislamu wengi(majority)?
 
Sijakuelewa mkuu hapo mwisho! Wahindi ni wahindi na muda huo huo ni Waasia,
Wachina pia ni wachina na muda huo ni Waasia
Libya ni waarabu na muda huo ni waafrika!
Kwanini Libya wasiwe WaLibya na wawe waafrika?
Kwani hizi Nchi India na China ziko bara gani?
 
Sijakuelewa mkuu hapo mwisho! Wahindi ni wahindi na muda huo huo ni Waasia,
Wachina pia ni wachina na muda huo ni Waasia
Libya ni waarabu na muda huo ni waafrika!
Kwanini Libya wasiwe WaLibya na wawe waafrika?
Sasa kwa nini Watanzania ni Watanzania na ni Waafrika?
 
Back
Top Bottom