Waarabu wa Afrika ni Waarabu au Waafrika?

Waarabu wa Afrika ni Waarabu au Waafrika?

kama djibout,somalia,sudani ni waarabu kwanini Ethiopians na Rwandese na hapa Tanzania warangi,wamasai,wambulu wasiitwe waarabu?au uarabu ni mpaka jamii husika iwe na waislamu wengi(majority)?
Kwa sababu hawafati tamaduni za kiarabu
 
watu weusi kuna sehemu tunakwama kiakili,
Wa Saudi na waarabu na mda huo huo ni wa asia
India ni wahindi na mda huo huo ni wa asia
China ni wachina na mda huo huo ni wa asia

Libya ni waarabu na mda huo huo ni waafrika.

Uafrika ni kitu mbali na uarabu ni kitu mbali. Africa ni bara Uarabu ni ethic. Munashindwaje kufahamu jambo dogo kama hilo?

Acheni kuchanganya uafrica na Ubantu.
Acha kujilisha pumba mkuu.
Africa sio bara tu, bali ni ethnicity na watu wake wa asili ni weusi. Waarabu ni ethnicity vilevile, na watabaki kuwa waarabu hata waende Mars. Na wahindi ni wahindi hata kama wapo Asia na wajiiete hivyo. Sababu Asians na Indians ni two different ethnicities. Au mpaka usikie neno Race ndio utaelewa kwamba binadamu ni tofauti?

Wewe unadhani kwanini kila bara lina watu wa aina yake? Au unadhani ni some ridiculously gigantic coincidence?

Kama Uafrica sio Ubantu then Uafrica ni nini na Uarabu ni nini?
 
Uafrika sio race ,,, hakuna Mmarekani Muafrika isipokuwa kuna Wamarekani weusi. Au Wamarekani wenye asili ya Afrika .

Race ni rangi
Mlevi gani kakuongopea Uafrica sio Race? Wewe unadhani ni Coincidence kila bara lina watu wa aina tofauti? Wewe ushawahi kuona MuEuropean kazaliwa Africa?

Alafu maswala ya Rangi ni mambo ya Kimarekani na Wazungu. Hapa Africa hakuna Rangi sababu wote tuna Rangi tofauti. Kama Uafrica sio Race then Mtu mweusi ni nani? Unafahamu kwamba hakuna mtu mweusi? Kama mtu mweusi ni Race then mimi mwenye rangi ya pale brown na nimezaliwa Africa ni Race gani?

Aisee!
 
watu weusi kuna sehemu tunakwama kiakili,
Wa Saudi na waarabu na mda huo huo ni wa asia
India ni wahindi na mda huo huo ni wa asia
China ni wachina na mda huo huo ni wa asia

Libya ni waarabu na mda huo huo ni waafrika.

Uafrika ni kitu mbali na uarabu ni kitu mbali. Africa ni bara Uarabu ni ethic. Munashindwaje kufahamu jambo dogo kama hilo?

Acheni kuchanganya uafrica na Ubantu.
Ingependeza kama ungejibu maswali yote mawili.

Swali la kwanza lilikuwa kwenye utambulisho wao, kwamba wanajiita Waarabu au Waafrika?

Swali la pili, kukitokea mgogoro wa kimaslahi kati ya Afrika na Uarabuni, watauelekeza wapi uaminifu wao?
 
Mbona kama na ww umechanganya mambo... Africa ni bara ambalo Lina watu wenye asili mbili. Blacks na waarabu.
Africa sio race ni bara.
Africa ni Bara na Race au Ethnicity vilevile na Muafrika ni mtu mweusi. Hao waarabu hawatoki hapa bali walikuja. Wewe unadhani kwanini kila bara lina watu wa aina tofauti? Ulishawahi kuona Mtu mweusi aliyezaliwa Europe? Kama hakuna unadhani kwanini?
 
Kwa mujibu wa takwimu, nchi za Kiarabu zipo 22. Kumi na mbili zipo bara la Asia na kumi zipo Afrika.

Zilizopo Afrika ni Algeria, Comoro, Djibouti, Misri, Libya, Mauritania, Morocco, Somalia, Sudan, na Tunisia.

Kwa kuwa inafahamika kuwa Afrika ina jumla ya nchi 54, waliopo kwenye hizo nchi 10 za Kiarabu wanajitambulisha kama Waafrika au Waarabu?

Kukitokea mgongano wa kimaslahi kati ya nchi za Kiafrika na Kiarabu, nchi kumi za Kiarabu zilizopo Afrika zitaegemea upande gani?
Umetaja idadi ya nchi tu walizokuwepo, hujataja na udadi ya Waarabu waliopo Afrika na Asia.

Unafahamu maana ya "Waarabu" ?
 
Wa Africa...


Cc: Mahondaw
Unakumbuka majibu ya Morocco wakati wa kombe la dunia 2022? Walisema ushindi waliyoipata ni kwa ajili ya Waarabu na si Waafrika. Waliwawakikisha Waarabu.

Hata mfalme wa Saudi Arabia aliwapongeza kwa kuwawakikisha Waarabu vyema.

Kama ni Waafrika, mbona Waafrika hawakuhusishwa kwenye mafanikio yao, bali Waarabu?
 
watu weusi kuna sehemu tunakwama kiakili,
Wa Saudi na waarabu na mda huo huo ni wa asia
India ni wahindi na mda huo huo ni wa asia
China ni wachina na mda huo huo ni wa asia

Libya ni waarabu na mda huo huo ni waafrika.

Uafrika ni kitu mbali na uarabu ni kitu mbali. Africa ni bara Uarabu ni ethic. Munashindwaje kufahamu jambo dogo kama hilo?

Acheni kuchanganya uafrica na Ubantu.
Kwahiyo na ngozi yako hiyo mbupu ukienda kuishi Saudia unakuwa muarabu?
 
Sijakuelewa mkuu hapo mwisho! Wahindi ni wahindi na muda huo huo ni Waasia,
Wachina pia ni wachina na muda huo ni Waasia
Libya ni waarabu na muda huo ni waafrika!
Kwanini Libya wasiwe WaLibya na wawe waafrika?

Wahindi ni jamii ya watu, Kuna India, Srilanka, Pakistan, Bangladesh, Nepal, Maldves, hao wote ni jamii za wahindi. Lakini wanatoka nchi tofauti. Ila wapo bara la Asia.
Walibya ni waarabu lakini ni waafrika mana wanapatikanwa kwenye bara la Africa
wa Jamaica ni wabantu lakini ni wa north Americans mana wanapatakana north america.

Uafrica sio rangi nyeusi mkuu, Uafrica ni bara, yoyote anaeishi ndani ya hili bara ni muafrica. Hata Mo Dewj na Bakharesa ni waafrika, Hata makaburu ya Africa ya kusini licha yakuwa wazungu lakini pia ni waafrika. Lakini kuwa waafrica kwao hakuondoe utambulisho wao kama ni waarabu au wahindi, kama wewe unavyotambulika kuwa Mbantu.
 
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo,,,,🤣🤣🤣

kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo.
Unamaanisha niniemkuu?

Naamini ungezingatia kauli ya wahenga isemayo "hakuna swali la kipumbavu bali kunaweza kuweko majibu ya kipumbavu" usingecomment hivyo.
 
kama djibout,somalia,sudani ni waarabu kwanini Ethiopians na Rwandese na hapa Tanzania warangi,wamasai,wambulu wasiitwe waarabu?au uarabu ni mpaka jamii husika iwe na waislamu wengi(majority)?

uarabu sio weupe mkuu, ni Nasabu. unawezahata ukawa mweusi na pia ukawa muarabu.
 
Back
Top Bottom