Waarabu wa Afrika ni Waarabu au Waafrika?

Waarabu wa Afrika ni Waarabu au Waafrika?

Kuwa Mwarabu ni mila na tamaduni, siyo wa kutokea bara lipi wala siyo wa rangi ipi au dini ipi.

Ni sawa na kusema Mswahili.
Nashukuru kwa majibu mazuri!
Nina swali la nyongeza: Msukuma anaweza kujiita Mwarabu na ikakubalika?
 
Unakumbuka majibu ya Morocco wakati wa kombe la dunia 2022? Walisema ushindi waliyoipata ni kwa ajili ya Waarabu na si Waafrika. Waliwawakikisha Waarabu.

Hata mfalme wa Saudi Arabia aliwapongeza kwa kuwawakikisha Waarabu vyema.

Kama ni Waafrika, mbona Waafrika hawakuhusishwa kwenye mafanikio yao, bali Waarabu?

Hakuna sehemu Morocco waliposema ni kwa ajili ya waarabu na si Africa, yule mchezaji aliehojiwa alisema ni kwa ajili ya waarabu wote, hakugusia kabisa neno Africa. Ni nyinyi watu weusi ni inferior complex zenu zilozukfanyeni muanze kuraparapa.
 
Kwa mujibu wa takwimu, nchi za Kiarabu zipo 22. Kumi na mbili zipo bara la Asia na kumi zipo Afrika.

Zilizopo Afrika ni Algeria, Comoro, Djibouti, Misri, Libya, Mauritania, Morocco, Somalia, Sudan, na Tunisia.

Kwa kuwa inafahamika kuwa Afrika ina jumla ya nchi 54, waliopo kwenye hizo nchi 10 za Kiarabu wanajitambulisha kama Waafrika au Waarabu?

Kukitokea mgongano wa kimaslahi kati ya nchi za Kiafrika na Kiarabu, nchi kumi za Kiarabu zilizopo Afrika zitaegemea upande gani?
Unatatizika waarabu wa Afrika kuitwa Waafrika, hutatiziki waabu wa Asia kuitojiita Waasia
 
Na Wamaorocco kipindi cha kombe la dunia walisema wao si Waafrika bali Waarabu!
Kwahiyo unazunguka koote huko, kumbe point yako wachezaji wa Morocco 🇲🇦

Juzi hapa yanga walidhulumiwa goli na mamelodi mkapiga kelele weee😁, leo mmefyata kama hakijatokea kitu, ila wamorocco bado mnao tu, na huna uhakika kama waliongea ama aliongea hayo!

Mimi ni shabiki kindakindaki wa Morocco 🇲🇦 na huniambii kitu kwa timu ya Morocco 🇲🇦
 
Sijakuelewa mkuu hapo mwisho! Wahindi ni wahindi na muda huo huo ni Waasia,
Wachina pia ni wachina na muda huo ni Waasia
Libya ni waarabu na muda huo ni waafrika!
Kwanini Libya wasiwe WaLibya na wawe waafrika?
Kwa sababu uafrica sio race is geographic name, na uarabu au uhindi ni ethnic
 
watu weusi kuna sehemu tunakwama kiakili,
Wa Saudi na waarabu na mda huo huo ni wa asia
India ni wahindi na mda huo huo ni wa asia
China ni wachina na mda huo huo ni wa asia

Libya ni waarabu na mda huo huo ni waafrika.

Uafrika ni kitu mbali na uarabu ni kitu mbali. Africa ni bara Uarabu ni ethic. Munashindwaje kufahamu jambo dogo kama hilo?

Acheni kuchanganya uafrica na Ubantu.
Hivi thongeee ukweli tu,
Wale jamaa ni mapandikizi,sio waafrika kabisa,mfano Tunisia.

Na sisi kama africans inabidi tuwakatae,
 
Nashukuru kwa majibu mazuri!
Nina swali la nyongeza: Msukuma anaweza kujiita Mwarabu na ikakubalika?
Akiwa na milana tamaduni za Kiarabu anakuwa Mwarabu,Waarabu wenye asili za Wasukuma na Wanyamwezi wapo wengi Oman na Yemen.

Uarabu siyo kabila ni kama vile yeyote afatae mila na desturi za Kiswahili anakuwa ni mswahili, haijalishi yu kabila gani, rangi gani au dini gani.
 
Mmarekani mweusi alisema yeye sio muafrika muwe mnamueleewa.kulw ulipozaliwa ndio kwenu
 
watu weusi kuna sehemu tunakwama kiakili,
Wa Saudi na waarabu na mda huo huo ni wa asia
India ni wahindi na mda huo huo ni wa asia
China ni wachina na mda huo huo ni wa asia

Libya ni waarabu na mda huo huo ni waafrika.

Uafrika ni kitu mbali na uarabu ni kitu mbali. Africa ni bara Uarabu ni ethic. Munashindwaje kufahamu jambo dogo kama hilo?

Acheni kuchanganya uafrica na Ubantu.
Ni matokeo ya mfumo wa elimu unawamaliza watanzania wengi.

Mleta mada hajajua kuwakuhoji uafrika wa watu wa nchi alizozitaja ni sawa na kuhoji utanzania wa wapare, wasukuma, wajita, wamakonde na wamakua.

Inasikitisha sana.
 
Kwa mujibu wa takwimu, nchi za Kiarabu zipo 22. Kumi na mbili zipo bara la Asia na kumi zipo Afrika.

Zilizopo Afrika ni Algeria, Comoro, Djibouti, Misri, Libya, Mauritania, Morocco, Somalia, Sudan, na Tunisia.

Kwa kuwa inafahamika kuwa Afrika ina jumla ya nchi 54, waliopo kwenye hizo nchi 10 za Kiarabu wanajitambulisha kama Waafrika au Waarabu?

Kukitokea mgongano wa kimaslahi kati ya nchi za Kiafrika na Kiarabu, nchi kumi za Kiarabu zilizopo Afrika zitaegemea upande gani?
Kumbe wasomali na wangazija ni waarabu! Sikulijua hilo.
 
Kwa mujibu wa takwimu, nchi za Kiarabu zipo 22. Kumi na mbili zipo bara la Asia na kumi zipo Afrika.

Zilizopo Afrika ni Algeria, Comoro, Djibouti, Misri, Libya, Mauritania, Morocco, Somalia, Sudan, na Tunisia.

Kwa kuwa inafahamika kuwa Afrika ina jumla ya nchi 54, waliopo kwenye hizo nchi 10 za Kiarabu wanajitambulisha kama Waafrika au Waarabu?

Kukitokea mgongano wa kimaslahi kati ya nchi za Kiafrika na Kiarabu, nchi kumi za Kiarabu zilizopo Afrika zitaegemea upande gani?
Kwanza
Djibouti na Somalia,,,,siyo waarabu....

Pili
Uafrika siyo kabila ila ni utambulisho wa kutokea bara la Afrika.
 
Mmarekani mweusi alisema yeye sio muafrika muwe mnamueleewa.kulw ulipozaliwa ndio kwenu
Wamarekani weusi wanatambulika kama African American.
 

Attachments

  • African_American_festival_kicks_off_in_Warren(144p).mp4
    3.2 MB
Uafrika sio race ,,, hakuna Mmarekani Muafrika isipokuwa kuna Wamarekani weusi. Au Wamarekani wenye asili ya Afrika .

Race ni rangi
Afro-american ni watu gani?
Africa ni bara
African ni race (mwafrika) kama tunavyosema mchina, mhindi nk
China ni nchi
Chinese can mean race or nationality
 
Akiwa na milana tamaduni za Kiarabu anakuwa Mwarabu,Waarabu wenye asili za Wasukuma na Wanyamwezi wapo wengi Oman na Yemen.

Uarabu siyo kabila ni kama vile yeyote afatae mila na desturi za Kiswahili anakuwa ni mswahili, haijalishi yu kabila gani, rangi gani au dini gani.
Nashukuru madam. Nitafuatilia.
 
Back
Top Bottom