Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hao jmaa wanakera mno unaweza kwenda kushusha mzigo ukaambiwa mashine leo haifanyi kazi ,then mzigo unaingia storage wale agent wa kutoa mizgo wanajikuta wanaingia lawama kwa wateja kumbe shida ni TictsTicts ya karamagi ni wangese Sana!