Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hawa watu wa hii dini wana inferiority. Ikiwa issue ya Marekani au china kusemwa huoni wakisema udini, Ila wakisemwa waarabu basi ndio udini unaingia.Ana akili ndogo huyo achanaye.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kila leo watu wanapinga china kupewa bandari ya Bagamoyo, Ila Hakuna hata mmoja aliyeingiza udini.