inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Waarabu beki tatu wanamlipa laki 8,beki tatu kajenga mi hata kiwanja sinaMwarabu na mzungu nani analipa vizuri mishahara tuanzie hapo kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waarabu beki tatu wanamlipa laki 8,beki tatu kajenga mi hata kiwanja sinaMwarabu na mzungu nani analipa vizuri mishahara tuanzie hapo kwanza.
Warabu walinilipa 1,300,000/= Mzungu analipa 3,000,000/= haya nambie kazi ile ile ya chawaWaarabu beki tatu wanamlipa laki 8,beki tatu kajenga mi hata kiwanja sina
Tafsiri ya kukuuliza hilo swali ni kwamba kitu kinaitwa uthibitisho huwa ni geresha ya kukwepa ukweli uliopo. Ndio maana nikakueleza na wewe uthibitishe, ulichosema ni kweli Ila kwenye kuthibitisha utashindwa.Kwa hiyo unakiri unabwabwaja tu bila uthibitisho!!?
Waislam hatuwekani nyumba za wazee, labda wasioujuwa Uislam wao.Bibie umepotea Sana. Nilidhani huko unaishi nursing home wanapotunzwa wazee hapo Alberta au Calgary. Au umerudi kijijini kwenu Mwalusembe Mkuranga?!
Mkuu, wanaendesha Bandari kadhaa za Uk.Acha fikra potofu mkuu,hao dp wanaendesha bandari nyingi tu europe,kama sikosei hata greece na cyprus hao dp ndio waendeshaji wa hizo bandari,hata holland
Ama kwa hakika.maana wao ndio the leader on the port industrial worldwideKwa technolojia yao ilivyo kubwa, si ajabu watu wakapunguzwa sana hapo Bandarini. Na wale wenzangu na mimi waliozoea mseleleko, wajipange tu kurudi mashambani.
Kwasababu hayo mataifa hayaendekezi udini tofauti na mataifa ya KiarabuNi kwa nn anaposemwa mwarabu huwa mnahusisha dini? Kipindi cha JK kulikuwa na story za Marekani kutaka kupewa kigamboni, mbona sikuona mtu/watu wakihusisha dini? Bali nilichoona ni kuhusisha mambo ya kijeshi na unyang'anyi?
Hata sasa kumeibuka story ya Marekani kutaka kupewa bandari ya Bagamoyo, sijaona mtu akihusisha dini bali inahusishwa military base na unyang'anyi mwingine.
China pia hivyohivyo akitaka kupewa sehemu kuendesha watu hukosoa sana, Ila sioni wakihusisha dini.
Kwa nn wakisemwa waarabu mnakimbilia dini?
Wafia dini mna inferiority sana, huwa kichwani mmeondolewa common senseMkuu, wanaendesha Bandari kadhaa za Uk.
Humu kuna watu wakisikia neno "Waarabu" wanapatwa na alergy.
Unayo wewe, inatosha.We unayo thamani ya kuuzika?
Huna uthibitisho,na mtoa mada Hana uthibitisho,kasukumwa tu chuki mnazofundishana ukwata,ycs nkTafsiri ya kukuuliza hilo swali ni kwamba kitu kinaitwa uthibitisho huwa ni geresha ya kukwepa ukweli uliopo. Ndio maana nikakueleza na wewe uthibitishe, ulichosema ni kweli Ila kwenye kuthibitisha utashindwa.
Ni sawa na mtu akuambie thibitisha kuwa wakristo hawataenda peponi.
Weka sababu sio kunishambulia tu.Wafia dini mna inferiority sana, huwa kichwani mmeondolewa common sense
Sio size yangu.... ni size yenu machawa wa CCM huko Lumumba. Nimeacha kutegemea ajira ya mshahara 9 years ago nikiachia ngazi ya ukurugenzi wa idara... now nimewekeza nakula dividends tuuu....Unakataa kazi halali?
Mzungu hapo kakutumia kupiga parefu,yaani ulikua bwana ramadhani wa Karl pieters kwa mangungo wa msoveroWarabu walinilipa 1,300,000/= Mzungu analipa 3,000,000/= haya nambie kazi ile ile ya chawa
Acha fikra potofu mkuu,hao dp wanaendesha bandari nyingi tu europe,kama sikosei hata greece na cyprus hao dp ndio waendeshaji wa hizo bandari,hata holland wana sehemu ya bandari iko chini yao,hao ni wazoefu wa hayo mambo hawana uswahili kama wa akina karamagi,kikubwa wapewe space wafanye kazi yao,naamini hamna container vessel itakayokaa bandari masaa 24 au kule nangani wiki 2 kusubiria kuingia bandarini,hao jamaa ni proffesional sio unga unga mwana
Nakuona kule kwenye nyuzi ya Abdul bibi unajibebisha kama punguani. Kuna ugoro wa Tabora ukijipakaza ashki na upele hutulia kuwasha.Unayo wewe, inatosha.
Umeona sasa sisi tumefundishwa mpende jirani yako kama unavyojipenda. Nyie mnafundishwa kuwa muislamu ndugu yake ni muislamuHuna uthibitisho,na mtoa mada Hana uthibitisho,kasukumwa tu chuki mnazofundishana ukwata,ycs nk
Sababu ipi ikiwa mnajijua? Mkishasikia kuna comment mwarabu kasemwa basi akili zenu zinaruka kabisa. Kwani mnaabudu dini au race?Weka sababu sio kunishambulia tu.
Ticts wanapiga pesa mizgo kibao kwa nn wasiimprove kununua mashine nzuri..Ni kampuni nzuri sema hawana huduma mbovu na pale bandari kitu kidogo mzigo ukichelewa kutoka ndani ya siku 7 unapata storage ..Ticts ni kampuni ya kizalendo issue Ni kuwawweesha kufikia target au kuwaondoa ?