Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Walifyata? kila siku watu walikuwa wanasema arab contractors hawafai na hawana uzeoefu na ujenzi wa bwawa? Au makala za zitto kabwe ushazisahau? Na Hadi Leo bado wanaamini arab contractors hawafai wanasema Bora angepewa mchinaMbona Arab Contractors watu walifyata mikia au kwasababu ililetwa na Jiwe?.
Tena wengine wakawa wanaikatia na viuno humu.