Tetesi: Waarabu wa Dubai Port kuwang'oa TICTS bandarini

Tetesi: Waarabu wa Dubai Port kuwang'oa TICTS bandarini

Kuna wana JF wengi humu wamefika ulaya kwaajili yangu. Siko huko uliko wewe leo mnagombania kazi za ukarani mwishowe mnadhulumiana. Pole sana na jitahidi kupambana na bahati mbaya ya kihustoria kwenu bwana wenu amelala yooo sijui nani atakuja kuwainua tena....
Mimi kabisa niwe karani? Mimi nachowaza Kuja kuwa raisi, wewe unanieleza story za ukarani. Pumba kabisa wewe
 
Shida mnaona watu weupe ni malaika. Hata kabla ya viongozi wetu kuweka kando wao pia huwaweka viongozi kando kuanzia tender mpaka utendaji. Nchi karibu nyingi hizi za ulimwengu wa tatu wanaofanya looting ni hao weupe.

Ukiwabana sana wanakutafutia namna, sio rahisi kama unavyoweza kudhani. Narudia tena DP world wanaweza kufanya kazi nzuri sana kuliko sehemu nyingine yoyote, lakini wao si malaika ndio maana nikakueleza Kuna sehemu walishindwa ufanisi
But huwezi kuwacompare na ticts
 
View attachment 2338074

Ni wazi Ticts hana chake tena bandarini na hii ni baada ya kampuni ya waarabu wa Dubai Port kufanikiwa kuwashawishi watawala ili wawape Mkataba wa kushusha na kupakia makasha shughuli ambayo Ticts walikuwa wanaifanya hapo awali.

NB: Ile picha ya mama pale Burj inaendelea kulipa.
Nyie watu Ni mazuzu , kwahiyo Kama ticts hawana ufanisi unataka waachwe kisa Ni wa kanda ya ziwa wenzenu au? Si kutwa mnalalama hapa bandarini mizigo inachelewa sna??!

Yaani mitanzania Ni watu wa lawama mnoo
 
Terms and Conditions zinasemaje ?

Mimi nalilia transparency tu...., haya mambo ya jumla jumla bila kujua tutashindwa kujua kama Ndugai alikuwa Mpayukaji au Mwenye Maono....

Hata kama deal ni nzuri tufahamu na kama mbaya tujue pia..., Once Bitten, Twice Shy....
 
Niliadika thread hapa kama week mbili kuhusu haya mambo ukafutwa, nikandika thread ya malalamiko comment kalibia zote ziliondolea
 
Ni kwa nn anaposemwa mwarabu huwa mnahusisha dini? Kipindi cha JK kulikuwa na story za Marekani kutaka kupewa kigamboni, mbona sikuona mtu/watu wakihusisha dini? Bali nilichoona ni kuhusisha mambo ya kijeshi na unyang'anyi?

Hata sasa kumeibuka story ya Marekani kutaka kupewa bandari ya Bagamoyo, sijaona mtu akihusisha dini bali inahusishwa military base na unyang'anyi mwingine.

China pia hivyohivyo akitaka kupewa sehemu kuendesha watu hukosoa sana, Ila sioni wakihusisha dini.

Kwa nn wakisemwa waarabu mnakimbilia dini?
Ni wajinga tu wanaoendekeza fikra za kidini kwenye mijadala yenye maslahi mapana kwa nchi
 
Hawa waarabu ni waharibifu wataharibu nchi yetu
Angalia mfano wa loliondo,ukifika loliondo ni kama upo uarabuni

Nakuhurumia nchi yangu hawa waarabu ni watu wa hovyo kabisa tuombe Mungu apatkane kiongozi atakaewafurusha
Kwahiyo Bora waisrael wanaohamasisha mffirane minduku
 
Vituo Vya Mafuta Kila Hatua Tano, Maana Yake Uchumi Unakuwa Sana
 
Mi mtanzania uarabu niutoe wapi?
Yaani mi mwenzio naona kama awamu hii ikiemdelea, waarabu watapewa hata contract ya kufundisha Nursery school. Nasikia Zanzibar airport nayo itakuwa ni moja ya wilaya za Dubai. Maendeleo hoyeee 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Sasa kwani Wajomba wakipewa bandari kuna ubayaa ganii sisi acha tuendelee kukamuliwaa tozooo.. maana ndo chanzo cha mapato ambacho hii serikali imeona kinafaaa!! Hizo bandari na migodi inaona iwaachie wazungu tu
 
Kama mwarabu kapewa bandari tumeisha
Ni swala la muda tu

Uharibifu mkubwa unaenda kutokea ktk nchi yetu
Bora mwarabu kuliko mchna, hata hivyo-ticts walishafikia kiwango cha mwisho kabisa cha uwezo wao kipind fulani, kukawa na controversies nying kuhusu utendaji wao, hadi kikwete mwenyewe(Kikwete kabisa) akashtushwa na hali ya bandari, akaenda na kupiga mkwara mzito pale, kipind hicho m-bia au ya wezekana ndiye mmiliki wa Ticts alikuwa bado yupo kwenye ofisi ya Umma, wa Tanzania wakalalamikia Ticts, rais naye akailaumu Ticts, lakin with impunity or whatsoever Ticts wakalamba extension ya mkataba!! Wakapewa tena mkataba mkubwa kuliko ule waliou under perform, mawimbi yakatulia na bandari ikaendelea kuzorota, Leo ndiyo mnani ambia kuwa kumbe Ticts bado wapo, ajabu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom