Tetesi: Waarabu wa Dubai Port kuwang'oa TICTS bandarini

Aga
Mm pia nimejiuliza hivyo hivyo Kwa maana TICTS mashine zake kubwa Kama ssg crane [emoji911] na rtg zote zinafanya kazi 24 hours na Kuzimwa ni nadra sana labda itokee emergency
Sema wana chuki nayo tu kampuni nahisi sababu ni mzawa yumo mtu mweusi,huezi kuzima mashine bandarini,uzime ukaiweke wapi,maana mashine mbovu iko sehemu ya kwenda kuipaki na sehemu hiyo hakuna shuhuri ya makontena ni gereji,sasa hivi ticts wako vizuri sana,hakuna magari yanayochelewa mle,mimi juzi nimeingia na kutoka faster,swala kusubiri ni scanner ambazo ni mali ya serikali siyo ticts,mimi nilipenda ticts wangeachwa na mwarabu apewe,ili tuone mchuano,ila delay bandari hakuna sasa hivi,iwe ticts iwe tpa,chuki zinawasumbua wabongo,tena ticts wanafanya kazi in uropean way siyo local,punguzeni chuki za kijinga,
 
Awamu ya sita na waarabu dam dam.
Waarabu Ni wenzetu maana tunaoleana na tunaishi nao huku Magomeni mapipa
 
Nyie watu wa dini hiyo mna inferiority, kila muda mnahisi kusemwa na kuonewa. Bandari ya Bagamoyo watu walipinga kupewa wachina, je napo watu walilalamika sababu ya udini?
Airport ya cchato iliyogharimu billion 40, mbona hamkupinga? na sasaivi wanaanikia mpunga na mahindi nasikia
 
Tende,mavazi,lugha,ukaaji na utamaduni kwa jumla vimeingizwa kwenye uislamu watashindwaje kuwaabudu?
Kama nyie ndoa za jinsia moja mmeruhusiwa na nabii wenu Tito na papaa wa vvatican
 
Muongo mashine ipi haifanyi kazi,kuna mashine zaidi ya 30 pale
We tetea tu hujui kitu kaangalie malamiko hujawai kupitisha hata hata mfuko unapiga kelele,Nenda mamlaka kaangalie ICD ipi? Inalalamikiwa .Mashine mbovu siku nyingine hazifanyi kazi kwisha
 
Kwa sababu waarabu ni wadini
 
THE HIGHST BIDER TO WIN, WE WANT THE ONE WHO WILL PAY MONE. AND NOT BLAH BLAH.
 
Eti mtu akuweke tu tangazo kwenye jengo tefu hivi hivi tu, yaani bure bure tu.., tangu lini? Wanatupenda sana?
 
Hawa hutchinson ports nao sio co ndogo ni asali tu imeamuliwa wapewe watu wengine
 
Naona kama "intensively" umetoa somo: kuwa deal akiingia mwarabu dini ndiyo kipaumbele na dealakiingia MMarekani, base za kijeshi haviepukiki: Moral of the story, marekani anaimarisha jeshi ili apambane na yule anayefanya mambo yote kupitia dini
 
Labda umekosea!!? Ni wazungu wa Dubai ulitaka kumaanisha!!
Nawaona wazungu tuupu!
 
Mm pia nimejiuliza hivyo hivyo Kwa maana TICTS mashine zake kubwa Kama ssg crane [emoji911] na rtg zote zinafanya kazi 24 hours na Kuzimwa ni nadra sana labda itokee emergency
Ulishawai kutoa mizigo Ticts haswa kwa container nyingi?
 
Sasa hv ni waarab na ndugu zetu uzao wa Ishmael kula bata,hapa afe kipa afe kipa,lazima mechi washinde,hapa inabidi niwashitue ndugu zetu wa mossad,wakae macho,itakuwa vzr, wakiweka CCTV camera huku bara kama walizoweka visiwani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…