Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Mbona katika maelezo yako inaonekana ni mtu MMOJA tu ndiye amemuita hivyo?? Lakini heading inasema Waarabu (pamoja na kwamba umeandika "Warabu") ukimaanisha ni wengi.

Kwa upande mwingine mbona humu JF baadhi ya Waislam huwa wanasema neno Kaffir siyo tusi?!!! Wanasema maana yake ni mtu ambaye hamuamini au kumuabudu Allah!!


Kwa kuwa kila mtu anamuabudu Mungu anayemuamini yeye basi kama mimi naamini Mungu Baba muumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana na mtu mwingine haamini ninayoamini mimi na yeye ni Kaffir!!! Kama wengine wanaamini Ng'ombe ndiyo Mungu, mimi ambaye siamini hivyo ni Kaffir kwa mtu huyo.

Kwa hiyo let us take things SIMPLE!!! AMINI UNACHOAMINI. Kila mtu ni Kaffir kwa mtu anayeamini tofauti na mwingine.
Mbona wao waarabu hawaitwi makafir
 
Warabu wametoa aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga

Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin

Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu

Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Ameendaje kufanya kazi Uarabuni? Kama sio Muislam ataitwa KAFIR na waarabu siku zote za maisha yake huko

Bado wataanza kumkojolea, kumnyea na kumuita Najis, hajaona WaSaudi Arabia wanavyowafanyia Mabinti wa kazi weusi kutoka Kenya na Somalia?
 
Warabu wametoa aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga

Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin

Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu

Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
We ndio umembagua,weka ushaidi tuone, Jf imevamiwa na vichaa sikuizi ,bora nilivyokuwa msomaji tu bila kuwa member
 
Mbona tafsiri ya neno kafiri wala haina shida ? Ni kweli kwa tamaduni zao kama wewe sio wa dini yao ni halali wao kukuita kafiri kama ambavyo wewe pia unaweza kuwaita wapinga Kristo. Au mkuki kwa nguruwe ni mtamu ila kwa binadamu mchungu?🤔
 
Mtu hai atanukaje kama mzoga?

Kwani uarabu una ubora Gani dhidi ya mtu mweusi?
Allah Anatwambia kwenye Quran kuwa Ametuumba tofauti kwa makabila na jinsia ili tupate kutambuana. Lkn mbora wetu miongoni mwetu ni mwenye kumcha Allah
Kubagua kupo kwenye khulka ya mtu na wala sio kabila wala Dino yake.
Wahindi wapo nchi mmoja na wanabaguana wenyewe kwa wenyewe kwa makabila yao na rangi zao.
 

Attachments

  • VID-20221014-WA0019.mp4
    990.9 KB
Hapa bongo yenyewe Kuna vijiswahili vinajifanywa eti vinafuata Mila za kiarabu hilo tusi huwatukana wenzao wazi wazi
Hilo neno "kaffir" linatumika sana Afrika kusini". Tanzania tuna neno kafiri ambalo lipo hata kwenye biblia.

Unaelewa kutofautisha kaffir ya Kiarabu ya Afrika Kusini na kafiri ya kwenye biblia na Qur'an.

Na amaan ya yote hayo siyo aliyoileta mleta mada, sijalkutana mahali na maana hiyo.

Wewe unafahamu kaitowa wapi?
 
Back
Top Bottom