komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Kwani wewe mkuu huli, na ukila chakula tumboni hakiozi, na kikioza kinatoa harufu gani ? Rangi yako ya nje inazuia kuoza chakula au ukifa hunuki ?Alikuwa mweusi na ananuka kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe mkuu huli, na ukila chakula tumboni hakiozi, na kikioza kinatoa harufu gani ? Rangi yako ya nje inazuia kuoza chakula au ukifa hunuki ?Alikuwa mweusi na ananuka kweli?
Mbona wao waarabu hawaitwi makafirMbona katika maelezo yako inaonekana ni mtu MMOJA tu ndiye amemuita hivyo?? Lakini heading inasema Waarabu (pamoja na kwamba umeandika "Warabu") ukimaanisha ni wengi.
Kwa upande mwingine mbona humu JF baadhi ya Waislam huwa wanasema neno Kaffir siyo tusi?!!! Wanasema maana yake ni mtu ambaye hamuamini au kumuabudu Allah!!
Kwa kuwa kila mtu anamuabudu Mungu anayemuamini yeye basi kama mimi naamini Mungu Baba muumba vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana na mtu mwingine haamini ninayoamini mimi na yeye ni Kaffir!!! Kama wengine wanaamini Ng'ombe ndiyo Mungu, mimi ambaye siamini hivyo ni Kaffir kwa mtu huyo.
Kwa hiyo let us take things SIMPLE!!! AMINI UNACHOAMINI. Kila mtu ni Kaffir kwa mtu anayeamini tofauti na mwingine.
Hata kama ni kaffir kweli?KAFFIR ni tusi baya
Mtu akiniita KAFFIR laZima nimtie adabu
Acha kutetea ujingaUlikuwepo kwenye hilo "benchi la ufundi"?
Hapana, kuna Mwarabu na kuna mstaarabu. Umeniuliza, mimi Mwarabu? Nimekujibu mimi mstaarabu, nikakuuliza vipi wewe, mstaarabu?Kwaiyo kila mstaarabu ni mwarabu?
Ameendaje kufanya kazi Uarabuni? Kama sio Muislam ataitwa KAFIR na waarabu siku zote za maisha yake hukoWarabu wametoa aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga
Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin
Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu
Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
We ndio umembagua,weka ushaidi tuone, Jf imevamiwa na vichaa sikuizi ,bora nilivyokuwa msomaji tu bila kuwa memberWarabu wametoa aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga
Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin
Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu
Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Sitetei ujinga, kuna kitu kikubwa sana nafundisha hapa, kuna kafiri na Kaffir.Acha kutetea ujinga
Akishavaa liushungi lake huyo bibi anafikiri nae ni muarabuKwani na wewe mkuu ni mwarabu ?
Ameendaje kufanya kazi Uarabuni? Kama sio Muislam ataitwa KAFIR na waarabu siku zote za maisha yake huko
leta ushahidi wako.
Ushungi kama wa mamake Issa. wa Kipalestina.Akishavaa liushungi lake huyo bibi anafikiri nae ni muarabu
Allah Anatwambia kwenye Quran kuwa Ametuumba tofauti kwa makabila na jinsia ili tupate kutambuana. Lkn mbora wetu miongoni mwetu ni mwenye kumcha AllahMtu hai atanukaje kama mzoga?
Kwani uarabu una ubora Gani dhidi ya mtu mweusi?
Hilo neno "kaffir" linatumika sana Afrika kusini". Tanzania tuna neno kafiri ambalo lipo hata kwenye biblia.Hapa bongo yenyewe Kuna vijiswahili vinajifanywa eti vinafuata Mila za kiarabu hilo tusi huwatukana wenzao wazi wazi
Naona umetembelewa na Mwarabu wa kuchovyaMtu hai atanukaje kama mzoga?
Kwani uarabu una ubora Gani dhidi ya mtu mweusi?