jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 2,524
- 10,287
Tatizo hizo takataka za kiarabu ukiwa mtu mweusi hata uvae ushungi bado tu watakudharau na kukuona uchafu tu mbele yaoUshungi kama wa mamake Issa. wa Kipalestina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hizo takataka za kiarabu ukiwa mtu mweusi hata uvae ushungi bado tu watakudharau na kukuona uchafu tu mbele yaoUshungi kama wa mamake Issa. wa Kipalestina.
hiyo video 🤣.Allah Anatwambia kwenye Quran kuwa Ametuumba tofauti kwa makabila na jinsia ili tupate kutambuana. Lkn mbora wetu miongoni mwetu ni mwenye kumcha Allah
Kubagua kupo kwenye khulka ya mtu na wala sio kabila wala Dino yake.
Wahindi wapo nchi mmoja na wanabaguana wenyewe kwa wenyewe kwa makabila yao na rangi zao.
Iwe katika mazingira rafiki.Muhimu mpunga uingie kwenye akaunti
.Waarabu fikra zao na akili zao wengi wao bado zimebakia zama za mawe......ni ngumu kumkuta mwarabu aliyestaarabika.......
Unajua maana yake hilo neno ?KAFFIR ni tusi baya
Mtu akiniita KAFFIR laZima nimtie adabu
Source ?Warabu wametoa aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga
Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa kusin
Unaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa bech la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika Kwa suluhu
Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamzi ya adhabu Kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Duh!......Kuna muda uvumilivu utafika kikomo ataamua tu kuondoka.Muhimu mpunga uingie kwenye akaunti
Chanzo cha hii taarifa ni ngara23 🙌Chanzo cha hii taarifa ni wapi?
Iwe katika mazingira rafiki.
Nilitegemea kitu kama hiki kutoka kwako wewe tutusaUlikuwepo kwenye hilo "benchi la ufundi"?
Wewe una ubora Gani kumwita mtu KAFFIR?Jina kafiri unatakiwa ulizoee tu hasa kama unaamini kuna miungu wengi kama mungu mwana , mungu baba na miungu wengine.
Hiyo maana ya "kaffir" umeitowa wapi?Warabu wametoa aibu soka la Africa Kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga
Lizoee jina la Kafiri utaendelea kuitwa hivyo hadi ubadilike.Wewe una ubora Gani kumwita mtu KAFFIR?
Heshimu Imani ya mtu asiyeamini unachokiamini kama wewe w usivyoamini anachokiamini
Ni vyema sana kuwa umejuwa mtu mwenye kufata sharia za Muumba wetu atakuja.Nilitegemea kitu kama hiki kutoka kwako wewe tutusa
Umenikumbusha Morocco walivoingia kwenye semifinals World cup, walivowachana watu kuwa wao sio waafrica kwa hio waafrica tusijisifie sn km bara letu limeingia semifinalsWamorocco wanajulikana kwa ubaguzi, kila mtu mweusi wa Afrika anapaswa kujua hilo...
Nchi tu yenyewe inajilaani kuwa sehemu ya ardhi ya bara la Afrika...
Kuna jina wanaitwa na wale wanaoitwa Kaffir. Kama wewe ni mzoefu humu JF utalifahamu. Tena wao wana majina mengi zaidi. Afadhali "sisi" tunaitwa hilo moja!!!😎😎😎Mbona wao waarabu hawaitwi makafir
umeanza kufuata sheria za muumba tangu lini?Ni vyema sana kuwa umejuwa mtu mwenye kufata sharia za Muumba wetu atakuja.
kafiri ni yule anaepinga mwongozo wa Muumba wetu. "usizini" qwewe unazini, hapo wewe ni kafiri.Wewe una ubora Gani kumwita mtu KAFFIR?
Heshimu Imani ya mtu asiyeamini unachokiamini kama wewe w usivyoamini anachokiamini