Yaan tippee territory! Nyie wanyarwanda hamna akiliUsijaribu kushawishi taifa letu liingie kwenye mgogoro usio na tija,uje usababishe tupoteze territory kwa hiden enemy,najua TISS wanajua hili,najua nchi haitajiingiza vitani kwa kukulupuka kufata maneno ya watu ambao hawajawahi kuingia frontline
Wakuu,
Habari ndio hiyo, Waasi wa M23 wanaelekea Bukavu mji mkuu wa jimbo la Sud Kivu baada ya kuuteka mji mkuu wa Nord Kivu wa Goma.
==================================================
The humanitarian crisis in the Democratic Republic of Congo intensifies as Rwanda-backed M23 rebels advance towards Bukavu, taking control of Goma. Over 500,000 people have been displaced in January alone, and tensions between Congo and Rwanda have escalated. The international community urges for a ceasefire to prevent further conflict.
Vita vya Kagame huko Congo toka 1996 mpaka sasa vimeua wangapi ?Dikteta Mobutu aliua mamilioni ya Wakongo na akimuua Hayati Patrice Lumumba.
Huu utoto,fdlr warudi kwao Rwanda,wajumuishwe jeshini,wajenge nchiHutu Power is an ethnic supremacist ideology that asserts the ethnic superiority of Hutu, often in the context of being superior to Tutsi and Twa, and therefore, they are entitled to dominate and murder these two groups and other minorities.
Watutsi,rpf"Ninyi"kina nani?!
Utaelewa mkuu.Burundi inazidi kuingiza Askari Kongo sijui Warundi wanapigania nini?!
Watutsi wanatawala Rwanda,hakuna mjadalaTokea jana nakuelimisha na sasa nakupa Darasa lingine Watutsi wote sio Wanyarwanda na Wanyarwanda wote sio Watutsi.
Usijali Hilo la Warundi baba yao yupo atawasaidia.Mimi nauelewa huu mgogoro una ethnic dimension na ndio kiini cha mgogoro Warundi uchumi wao ni mbovu sana vita hata ya mwezi mmoja hawawezi.