Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inamaana wanawapita hata Irani au siyo?Icho unachokiona ni toys tu mazee jamaaa wapo na midude inatembeya kas kas kupitiliza zayuni kachoka kuusu Yemen. Mana imeanza kupigwa kitambo kweli lkn Yemen bado inarusha vitu hatari hatari.
We ngoja tuone🤣🤣😥😥Jamaa wanatia huruma Sana
Wenzao Hezbollah walikuwa na mikwara zaidi yao.Hawa ndo wanajiandaa kuingia vitani na Israeli, wanataka tumia uzoefu wao wa kupambana na Saudi Arabia kuwasaidia Hamasi
View attachment 3182400
Endeleeni kuwapa kichwa . Msirudi hapa kulialiaIcho unachokiona ni toys tu mazee jamaaa wapo na midude inatembeya kas kas kupitiliza zayuni kachoka kuusu Yemen. Mana imeanza kupigwa kitambo kweli lkn Yemen bado inarusha vitu hatari hatari.
Wanaweza kubamizwa hapohapoHawa ndo wanajiandaa kuingia vitani na Israeli, wanataka tumia uzoefu wao wa kupambana na Saudi Arabia kuwasaidia Hamasi
View attachment 3182400
Tuambie ww Hezbollah imekuwaje kwani tunachojua IDF ilikwenda walipo Hezbollah IDF walipelekewa moto wakatoka mbio IDF wakaamia kupigana na mejengo ya Beirut mpaka Israel inaomba poooo ilikuwa Telaviv inapigwa kama ngoma!!Wenzao Hezbollah walikuwa na mikwara zaidi yao.
Kiko wapi????
Wapuuzi tu hao, badala ya kujenga nchi yao wanaangaika na isrsel, yaani itikadi yao ni kupigana tu hawajui kingineHawa ndo wanajiandaa kuingia vitani na Israeli, wanataka tumia uzoefu wao wa kupambana na Saudi Arabia kuwasaidia Hamasi
View attachment 3182400
Upon sahihiWapuuzi tu hao, badala ya kujenga nchi yao wanaangaika na isrsel, yaani itikadi yao ni kupigana tu hawajui kingine