Waasi wa Yemen (Houth) wakionyesha nguvu zao za kijeshi

Waasi wa Yemen (Houth) wakionyesha nguvu zao za kijeshi

Hawa ndo wanajiandaa kuingia vitani na Israeli, wanataka tumia uzoefu wao wa kupambana na Saudi Arabia kuwasaidia Hamasi

View attachment 3182400
Mbona video ya September 2023? Halafu naona trafik wa Tanzania kwenye gwaride
Screenshot_20241223-115237_Chrome.jpg


Screenshot_20241223-115250_Chrome.jpg
 
Hiyo ndio Raha ya kupigana na MATAIFA yasiyokuwa na MUNGU WA UKWELI UNAJIAMLIA LEO PIGA IRAN, KESHO SYRIA, KESHOKUTWA HEZBOLLAH, MTONDOGOO WAHOUTH WENGINE WAKILETA SHOBO mnawatumia virus
Unasema!?
 

Attachments

  • FB_IMG_1733944219954.jpg
    FB_IMG_1733944219954.jpg
    43.6 KB · Views: 3
Yani matumaini yamebadilika kwa Houth, wanamgambo? Kweli maisha yanaenda kasi. Juzi tu story ilikuwa Hamas, Baada ya Muda story ikawa Hesbolla mara Nasralla atatoa tamko, Mara Assad, Mara Iran, Saiv naona story ni Houth.

Naona huruma sana kwa watoto na wanawake wa hizi nchi. Mtu anaenda kununua ugomvi ata usio mhusu analeta nyumbani. Iv kwa akili ya kawaida Houth wanaweza pigana vita na Muunganiko wa Uingereza, USA na Israel kweli?

Nashindwa kujua hizi akili ni za wapi
dini inazidi pombe,ngoja majengo ya kandamize watoto.
 
Tuambie ww Hezbollah imekuwaje kwani tunachojua IDF ilikwenda walipo Hezbollah IDF walipelekewa moto wakatoka mbio IDF wakaamia kupigana na mejengo ya Beirut mpaka Israel inaomba poooo ilikuwa Telaviv inapigwa kama ngoma!!
Ushabiki maandazi maalim apo usha shiba tende una waza kwenda kushenyeta tu
 
Wafanye kweli aise, Wasianze uzembe wa Zelensky, Ukishatangaza Vita, Hakikisha unatumia kila siraha yako kushinda vita.

Na mtu asikupangie pa kupiga madamu, unapafikia
 
Ushabiki maandazi maalim apo usha shiba tende una waza kwenda kushenyeta tu
Mashabiki wenzako wanadai hezboolah ilichakazwa mbiona uwakemei kwa kudanya ukweli ulio wazi hezboolah aikushindwa vita ukweli ndio uwo Israel baadaa kupokea kipigo wakatoka mbio baada ya apo tuliona IDF ikichakaza majengo uko mbali Beirut ndio vita vikasimama sasa wamechakaza majengo lkn nyie mizwazwa mnadai imechakazwa Hezbollah. Wkt tuliona vita iliwashinda IDF wakatoka kusini wakaamia kwenye majengo adi kufikia lengo Lao la kuwataka Hezboolah warudi nyuma lkn man to man IDF ilichapwa. Mnakataaa nn mkiitwa mazwazwa tutakuwa tunawaonea et.
 
Mashabiki wenzako wanadai hezboolah ilichakazwa mbiona uwakemei kwa kudanya ukweli ulio wazi hezboolah aikushindwa vita ukweli ndio uwo Israel baadaa kupokea kipigo wakatoka mbio baada ya apo tuliona IDF ikichakaza majengo uko mbali Beirut ndio vita vikasimama sasa wamechakaza majengo lkn nyie mizwazwa mnadai imechakazwa Hezbollah. Wkt tuliona vita iliwashinda IDF wakatka kusini wakaamia kwenye majengo adi kufikia lengo Lao la kuwataka Hezboolah warudi nyuma lkn man to man IDF ilichapwa. Mnakataaa nn mkiitwa mazwazwa tutakuwa tunawaonea et.
Kuanguka kwa Asad ni moja ya kielelezo kuwa HezBolla walichakazwa vibaya. Just imagine walivyo saiv wamefundishwa " Mind your own business" .

Mimi sishabikii vita kwani kila tone la damu inayomwagika inathamani. Mimi nachukia watu wanaoshabikia vitu vya kijinga. Yani mtu anashabikia kundi ambalo madhara makubwa ni kwa wanawake na watoto.

Haya makundi yanajichanganya na wanawake na watoto hivyo kuhamishia vita kwa raia wasio na hatia. Kwa mazingira haya ndo maana Israel inaamua kusafisha kila kitu. Very sad.

Hata nchi zenye nguvu za kijeshi wakati mwingine wanakubali kuingia mezani kwa mazungumzo kuokoa raia wao wanaoshikiliwa. Lakini hawa ambao raia wanataabika wala hawajali. Raia kwao hawana thamani yoyote. Wafe wawe displaced hawajali chochote.
 
Icho unachokiona ni toys tu mazee jamaaa wapo na midude inatembeya kas kas kupitiliza zayuni kachoka kuusu Yemen. Mana imeanza kupigwa kitambo kweli lkn Yemen bado inarusha vitu hatari hatari.
Yeah. ........Inarusha vitu hatari hatari lakini mmhh; naona muda haujawadia ili waanze kula sahani moja na Myahudi. Ngoja kwanza Myahudi amalizane huko Gaza na Lebanon then awageukie ndo watamwelewa.
 
Kuna watu vita ndio biashara yao
Yaani mnavyoendelea kupigana ndio furaha yao, wanachekelea tu.
Watahakikisha vita haviishi huko Middle East.
Exactly. Ni soko la bidhaa wanazozalisha i.e. Silaha za kivita. Kwa hiyo kusipokuwepo na vita hayo makorokoro yao watayauza wapi??
 
Kama kuna jambo ambalo sijawahi kulielewa kwa makundi ya kigaidi na nchi za Islamic fundamentalist na extremists ni hili jambo, utakuta ni masikini sana lakini wana silaha kali za kisasa na za bei mbaya mno. Alshaabab ya Somalia, Bhoko Haram ya Nigeria, Houth ya Yemen ni nchi masikini au wana ishi makazi duni mno but wana uwezo wa kununua silaha za pesa nyingi. Itazame Iran, ina uwezo mkubwa mno wa kivita lakini hali za maisha ya watu wake sio bora kiviile, ina maana kwao kipaumbele ni kuua binadamu wenzao zaidi kuliko kuishi? How unaweza kua na pesa za kununulia silaha lakini bajeti ya kujenga shule, hospitals nk unakua hauna? Upungufu wa akili or what? Check Dubai, hawana mbwembwe za kuuana uana, watazame walivo na maendeleo, kila mtu anapenda kwenda vacation Dubai, lakini nani humu huaga anafikiria kwenda Iran kutembea? Hakuna, uwe mwislamu au Mkristo, hakuna. Hata FaizaFixy na Ritz mwana mfalme hafikirii kwenda huko though nyuma ya keyboard wanaisifia sana Iran. Strange
 
Sasa kati ya Hizboullah na Zayuni nani aliyeomba kusimamisha mapigano? Kama Israel ana ubavu si angeendelea kupigana?
Ameshinda Hezbollah.
Hata zile pagers ni kuashiria kuwa Hezbollah ni wababe.
●Viongozi wote wakubwa wa Hezbollah kuuawa ni ishara kuwa Hezbollah ni victor.
 
Hawa ndio watetezi wa Palestina waliobaki. Lebanoni na Iran wamebaki watazamaji tu kama sisi huku.
 
Kobazi ni sandals au viatu vya wazi ambavyo hupenda sana kuvaa waislamu, nadhani ndiyo viatu alivyokuwa anamtumia mtume wao 😀😀😀😀
YESU pia alivaa kobaz au ww unayo picha YESU alivaa MOKA!! Ukiona YESU kavaa moka!! Plz mwangalie vizuli pengine uyo Mwamposa sio YESU!!!
 
YESU pia alivaa kobaz au ww unayo picha YESU alivaa MOKA!! Ukiona YESU kavaa moka!! Plz mwangalie vizuli pengine uyo Mwamposa sio YESU!!!
Sasa yesu na mudi si walewale dini zao tumeletewa na ngozi nyeupe????
 
Back
Top Bottom