Waasi wa Yemen (Houth) wakionyesha nguvu zao za kijeshi

Waasi wa Yemen (Houth) wakionyesha nguvu zao za kijeshi

Jaman Gaza kimewaka acheni masihara hao hamas kama ndio wameanza leo kinachowatesa ni hizo ndege ila wanaishi nao kinoma yaan na silaha wanawapokonya
 
Hawa houth miaka ile ulikuwa unawaona na makanzu yao fulu vilemba sasa hivi mpaka unifom wanazo
Saivi mpaka bongo wanaweza kutuma kitu within 10minutes tukatafutana wanashusha drones kama njiwa tu porini wameadvance haraka sana kwenye sector ya military mpaka US kapagawa alishindwa kumchapa kipindi hana chochote akiwa na shogaake Saudia saivi ndio basi tena
 
Unapaswa kukumbuka malengo ya oparesheni ya Israeli kusini mwa lebanoni nikuwaondoa Hezbollah mpakani na Israeli kuwasukumia ndani Ili raia wa Israeli waliohama kaskazini warudi,msemaji wa hezbolah akasema Hilo ahiwezekani raia wa Israeli kurudi kaskazini lkn baada ya kipigo hesbolah wamekubali kuondoka kusini na raia wa Israeli wamerudi kaskazini maana Hezbollah harushi Tena roketi

Israeli anapigana kwa akili sana,alijua kuwa viongozi na nguvu ya Hezbollah haipo kusini bali beiruti ndo maana akaanza kushusha Yale magholofa ambamo viongozi wakubwa wa Hezbollah walifia pia

Na ndo maana Hesbolah akasalim amri haraka
Wewe jamaa wewe nguvu ya hizbullah ipo south Lebanon huko ndio wanatawala ndio jeshi ndio polisi ndio kila kitu sio Beirut ,kule Beirut wao wanamajengo na ofisi mitaa ya Dahiyah south beirut na kule central na north ni makazi ya serikali yao ya umoja wa kitaifa ya Lebanon.
 
😃😃😃 hili jina la kobazi naona lina trend sana humu, lilianzaje na nini hasa maanake? Nachekaga sana kila ninapo lisoma
Kobazi ni sandals au viatu vya wazi ambavyo hupenda sana kuvaa waislamu, nadhani ndiyo viatu alivyokuwa anamtumia mtume wao 😀😀😀😀
 
The Military Media - News broadcasting:
#Enemy_Media

The Mayor of Holon: Following the repeated sound of sirens in our area in recent days, I have issued instructions to open public shelters.

#Military_Media

#Enemy_Media

"Walla" Hebrew site: "Israeli" officials must quickly disclose the reasons behind the repeated failures to intercept Yemeni missiles to the "Israeli" public.

#Military_Media

#Enemy_Media

"Israel Hayom" Hebrew newspaper- Reserve Lieutenant General Gershon Hacohen: The Yemeni army has successfully blocked a strategic maritime route for over a year, despite the efforts of the US- and UK-led military coalition.

#Military_Media

#Occupied_Palestine

Al-Quds Brigades - Tubas:

Our fighters in the Tammun unit successfully targeted the withdrawing enemy vehicles on the Al-Waidan axis with heavy volleys of bullets.

#Military_Media

#Enemy_Media

"Maariv" Hebrew newspaper- Avi Ashkenazi: If a Yemeni drone hits a strategic facility in "Israel," the situation will escalate to a completely different level.

#Military_Media

#Enemy_Media

"Israeli" media: The cost of damages caused by the Yemeni missile striking a building in Tel Aviv is estimated at approximately 40 million shekels.

#Military_Media
 
Wewe jamaa wewe nguvu ya hizbullah ipo south Lebanon huko ndio wanatawala ndio jeshi ndio polisi ndio kila kitu sio Beirut ,kule Beirut wao wanamajengo na ofisi mitaa ya Dahiyah south beirut na kule central na north ni makazi ya serikali yao ua umoja wa kitaifa ya Lebanon.
Viongozi wakuu wa Hezbollah waliuwawa wakiwa wapi?
 
Viongozi wakuu wa Hezbollah waliuwawa wakiwa wapi?
Walipo viongozi ndio nguvu ilipo ????? Na hizbullah iliomba ceasefire baada ya viongozi kuuliwa au mapigano yaliendelea headqurter ni majengo tu ila fighting forces ndio nguvu yao na kwa wao iko south lebanon na ndio maana Netanyahu anataka watoke huko south lebanon.
 
Walipo viongozi ndio nguvu ilipo ????? Na hizbullah iliomba ceasefire baada ya viongozi kuuliwa au mapigano yaliendelea headqurter ni majengo tu ila fighting forces ndio nguvu yao na kwa wao iko south lebanon na ndio maana Netanyahu anataka watoke huko south lebanon.
Basi hapo ndo myahudi kawashinda anapiga kichwa kiwiliwili kinanyooka hapo Beiruti ndo palikuwa commanding post

Hesbolah wametii Israeli ila Israeli haijatii Heabolah


Hesbolah waliingia mapiganoni ili kuwalazimisha Israeli wasiwapige Hamasi lkn Hilo hawajafanikiwa kwani hamasi anaendelea kupigwa

Israeli waliwataka Hesbolah kutoingilia mapigano, kwasasa hesbolah wametii,

Israeli waliwataka Hesbolah waondoke mpakani Hilo pia wametii

Nazani nimekurahisishia kidogo hapo
 
😃😃😃 hili jina la kobazi naona lina trend sana humu, lilianzaje na nini hasa maanake? Nachekaga sana kila ninapo lisoma
we huwaoni wanavyopenda kutinga makobazi na vilemba vile ila kabla ya kobazi walikua kwenye hivi
1000314568.jpg
 
Icho unachokiona ni toys tu mazee jamaaa wapo na midude inatembeya kas kas kupitiliza zayuni kachoka kuusu Yemen. Mana imeanza kupigwa kitambo kweli lkn Yemen bado inarusha vitu hatari hatari.
Wadanganye wenzio wageuzwe majivu
 
Basi hapo ndo myahudi kawashinda anapiga kichwa kiwiliwili kinanyooka hapo Beiruti ndo palikuwa commanding post

Hesbolah wametii Israeli ila Israeli haijatii Heabolah


Hesbolah waliingia mapiganoni ili kuwalazimisha Israeli wasiwapige Hamasi lkn Hilo hawajafanikiwa kwani hamasi anaendelea kupigwa

Israeli waliwataka Hesbolah kutoingilia mapigano, kwasasa hesbolah wametii,

Israeli waliwataka Hesbolah waondoke mpakani Hilo pia wametii

Nazani nimekurahisishia kidogo hapo
Hamas gani hao wanaopigwa mbona ni raia ndio wahanga wa hii vita? Hamas bado wanaua wanajeshi kila siku lazima idf wafe ndani ya gaza
 
Hamas gani hao wanaopigwa mbona ni raia ndio wahanga wa hii vita? Hamas bado wanaua wanajeshi kila siku lazima idf wafe ndani ya gaza
Hao hamasi si wanatumia raia kama ngao lazima wafe tu
 
Hiyo ndio Raha ya kupigana na MATAIFA yasiyokuwa na MUNGU WA UKWELI UNAJIAMLIA LEO PIGA IRAN, KESHO SYRIA, KESHOKUTWA HEZBOLLAH, MTONDOGOO WAHOUTH WENGINE WAKILETA SHOBO mnawatumia virus
Kwa hyo ww un achagulia watu mungu wa kweli na asie wa ukweli au mke mwema au asie mwema hv unakili au matope jee yule anae abudu ngombe ambae ww unamla utamwitaje umejaza matope kwa bichwa tikiti
 
Basi hapo ndo myahudi kawashinda anapiga kichwa kiwiliwili kinanyooka hapo Beiruti ndo palikuwa commanding post

Hesbolah wametii Israeli ila Israeli haijatii Heabolah


Hesbolah waliingia mapiganoni ili kuwalazimisha Israeli wasiwapige Hamasi lkn Hilo hawajafanikiwa kwani hamasi anaendelea kupigwa

Israeli waliwataka Hesbolah kutoingilia mapigano, kwasasa hesbolah wametii,

Israeli waliwataka Hesbolah waondoke mpakani Hilo pia wametii

Nazani nimekurahisishia kidogo hapo
Lengo la hizbullah hostility ni kuwapunguza madhila hamas na wamefanikiwa in such a small place kama gaza its over a year sasa muisrael bado anaendelea kupigana yaani ameshindwa completely kumdisarm hamas ila amefanikiwa kuharibu miji na majengo kama sio hostility ya hizbullah large force ya idf ingekuwa gaza almost entire army ingekuwa huko mambo yangekuwa magumu zaidi kwa hamas ila kwa kuhofia hizbullah kuvamia galilee idf alipreserve na kugawa jeshi ilikulinda kaskazini pia hii imewapa ahueni pia hamas na ndio maana wapo hadi leo,
Cease fire kati ya hizbullah na israel ni baada ya israel kuona amepeleka zaidi ya askari 50,000 pale south lebanon na mafanikio ni madogo hayaendani na nguvu kubwa anayotumia na pia kushindwa kufikia objective ya kufanya north israel kuwa salama na wakazi kurudi kwa kuwa hizbullah alikuwa anahakikisha missile rain inaendelea kule north ndio wamesaini cease fire.
 
Back
Top Bottom