Waasi wa Yemen (Houth) wakionyesha nguvu zao za kijeshi

Waasi wa Yemen (Houth) wakionyesha nguvu zao za kijeshi

Huo ni uongo wakitoto kabisa fuatilia habari vzr utaelevuka,nimeshamaliza kama wa kuelewa utakuwa umeelewa
 
Huo ni uongo wakitoto kabisa fuatilia habari vzr utaelevuka,nimeshamaliza kama wa kuelewa utakuwa umeelewa
War ni hesabu sio tu kupiga majengo na viongozi kama ni hivyo hata Putin angefanya Ukraine ila anajua ushindi hauji kwa style hio ni kufanikisha longterm strategic goals na kama unamaliza vita kwa kusaini makubaliano ya amani hujashinda hio vita unashinda kwa kumfanya adui yako asaini instrument of surrender agrement .
 
War ni hesabu sio tu kupiga majengo na viongozi kama ni hivyo hata Putin angefanya Ukraine ila anajua ushindi hauji kwa style hio ni kufanikisha longterm strategic goals na kama unamaliza vita kwa kusaini makubaliano ya amani hujashinda hio vita unashinda kwa kumfanya adui yako asaini instrument of surrender agremen
Yaani hizo ni porojo huezi mwingopea mtu mzima,ukweli umejidhirisha Hezbollah katulia kaacha kihelehele kabaki alipokuwa,hamasi mpaka Sasa hivi hawana eneo wanalomiliki maji yapo shingoni,Irani anatetemeka kutimiza promise lll baada ya kipigo alichopata alipotimiza promise ll

Hao Houthis ni swala la muda TU siyo mbali utapata majibu hapa
 
Hamas walijiandaa hivi hivi
Hezbollah walikuwa moto wa kuotea mbali
Syria nao walijitapa hivi hivi

Zamu ya wa houth kutahiriwa Kwa shoka butu imefika...
 
Kuna watu vita ndio biashara yao
Yaani mnavyoendelea kupigana ndio furaha yao, wanachekelea tu.
Watahakikisha vita haviishi huko Middle East.
 
— ❗️🇺🇸/🇾🇪 BREAKING: Yemen's Ansarallah has taken responsibility for shooting down an F/A-18F Super Hornet over the Red Sea

Statement: 'Our armed forces succeeded in thwarting an American-British attack against our country, as the aircraft carrier USS Harry S. Truman and a number of its warships were targeted during the start of the the enemy's aggression last night against our country.

The operation was carried out with eight cruise missiles and 17 drones.

The operation, with the help of God Almighty, led to the following:

- First:
Shooting down an American F/A-18F 'Super Hornet' jet while the warships were trying to confront the Yemeni drones and missiles.

- Second: Most of the enemy warplanes left Yemeni airspace for international waters in the Red Sea to defend the aircraft carrier while it was being targeted.

- Third: The enemy attack on Yemeni territory failed.

- Fourth: The aircraft carrier USS Harry S. Truman withdrew after being targeted from its previous location towards the northern Red Sea after being subjected to more than one attack by our missile force, our naval forces and the air force.'

@Middle_East_Spectator
 
Hiyo ni mikwara ya kitoto. Hivi wanafikiri wanaweza kuwatisha Wayahudi kwa mkwara huu? Nawaonea huruma sana.
 
Yaani hizo ni porojo huezi mwingopea mtu mzima,ukweli umejidhirisha Hezbollah katulia kaacha kihelehele kabaki alipokuwa,hamasi mpaka Sasa hivi hawana eneo wanalomiliki maji yapo shingoni,Irani anatetemeka kutimiza promise lll baada ya kipigo alichopata alipotimiza promise ll

Hao Houthis ni swala la muda TU siyo mbali utapata majibu hapa
Bora umekiri hizbullah kabaki alipokuwa ambayo ninkinyume na malengo ya israel na pia un resolution siku zote israel Lebanon anahangaika kupata buffer zone kumfukuza hizbullah nyuma ya nto litani ila mpaka sasa hajafanikiwa hilo na umekiri ndio maana pale ni vita vya mkakakti sio mahaba niue hatukatai israel imefanikiwa ktk targeted assasination dhidi ya viongozi ila kwa vita hajaattain victory.
 
Icho unachokiona ni toys tu mazee jamaaa wapo na midude inatembeya kas kas kupitiliza zayuni kachoka kuusu Yemen. Mana imeanza kupigwa kitambo kweli lkn Yemen bado inarusha vitu hatari hatari.
Chuki yako kwa bani Israil inakupofusha!Hawa yahudi anachapa asubuhi kabisa!
 
Tuambie ww Hezbollah imekuwaje kwani tunachojua IDF ilikwenda walipo Hezbollah IDF walipelekewa moto wakatoka mbio IDF wakaamia kupigana na mejengo ya Beirut mpaka Israel inaomba poooo ilikuwa Telaviv inapigwa kama ngoma!!
Halafu unaweza kuta wewe msikitini kwenu ndo wanakuona kichwa!
 
Major General Hossein Salami, Commander-in-Chief of the IRGC has revealed that the Islamic Republic of Iran in the last several years has been focusing on developing the self-sufficiency capabilities of the members of the Axis of Resistance. As such, in every Resistance faction now, most of their weapons are locally produced themselves rather than imported from Iran.
 
Yani matumaini yamebadilika kwa Houth, wanamgambo? Kweli maisha yanaenda kasi. Juzi tu story ilikuwa Hamas, Baada ya Muda story ikawa Hesbolla mara Nasralla atatoa tamko, Mara Assad, Mara Iran, Saiv naona story ni Houth.

Naona huruma sana kwa watoto na wanawake wa hizi nchi. Mtu anaenda kununua ugomvi ata usio mhusu analeta nyumbani. Iv kwa akili ya kawaida Houth wanaweza pigana vita na Muunganiko wa Uingereza, USA na Israel kweli?

Nashindwa kujua hizi akili ni za wapi
 
Back
Top Bottom