Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
War ni hesabu sio tu kupiga majengo na viongozi kama ni hivyo hata Putin angefanya Ukraine ila anajua ushindi hauji kwa style hio ni kufanikisha longterm strategic goals na kama unamaliza vita kwa kusaini makubaliano ya amani hujashinda hio vita unashinda kwa kumfanya adui yako asaini instrument of surrender agrement .Huo ni uongo wakitoto kabisa fuatilia habari vzr utaelevuka,nimeshamaliza kama wa kuelewa utakuwa umeelewa
Code ya wafuasi wa mudi,kanza,baraghashia na kobazi bila kusahau mfukoni kuna tende.😅😃😃😃 hili jina la kobazi naona lina trend sana humu, lilianzaje na nini hasa maanake? Nachekaga sana kila ninapo lisoma
Hizi parade za kuonesha silaha zimepitwa na wakati. Sasa ni wakati wa niguse ninukeHawa ndo wanajiandaa kuingia vitani na Israeli, wanataka tumia uzoefu wao wa kupambana na Saudi Arabia kuwasaidia Hamasi
View attachment 3182400
Yaani hizo ni porojo huezi mwingopea mtu mzima,ukweli umejidhirisha Hezbollah katulia kaacha kihelehele kabaki alipokuwa,hamasi mpaka Sasa hivi hawana eneo wanalomiliki maji yapo shingoni,Irani anatetemeka kutimiza promise lll baada ya kipigo alichopata alipotimiza promise llWar ni hesabu sio tu kupiga majengo na viongozi kama ni hivyo hata Putin angefanya Ukraine ila anajua ushindi hauji kwa style hio ni kufanikisha longterm strategic goals na kama unamaliza vita kwa kusaini makubaliano ya amani hujashinda hio vita unashinda kwa kumfanya adui yako asaini instrument of surrender agremen
🤣Code ya wafuasi wa mudi,kanza,baraghashia na kobazi bila kusahau mfukoni kuna tende.😅
Kweli kabisaHizi parade za kuonesha silaha zimepitwa na wakati. Sasa ni wakati wa niguse ninuke
Tupe Code sasa ya Jerusalem kupigilia pempas na nepiCode ya wafuasi wa mudi,kanza,baraghashia na kobazi bila kusahau mfukoni kuna tende.😅
Wawalinde raia waoHamas gani hao wanaopigwa mbona ni raia ndio wahanga wa hii vita? Hamas bado wanaua wanajeshi kila siku lazima idf wafe ndani ya gaza
isije tena kuwa uharifu dhidi ya ubinadamu.Endeleeni kuwapa kichwa . Msirudi hapa kulialia
Bora umekiri hizbullah kabaki alipokuwa ambayo ninkinyume na malengo ya israel na pia un resolution siku zote israel Lebanon anahangaika kupata buffer zone kumfukuza hizbullah nyuma ya nto litani ila mpaka sasa hajafanikiwa hilo na umekiri ndio maana pale ni vita vya mkakakti sio mahaba niue hatukatai israel imefanikiwa ktk targeted assasination dhidi ya viongozi ila kwa vita hajaattain victory.Yaani hizo ni porojo huezi mwingopea mtu mzima,ukweli umejidhirisha Hezbollah katulia kaacha kihelehele kabaki alipokuwa,hamasi mpaka Sasa hivi hawana eneo wanalomiliki maji yapo shingoni,Irani anatetemeka kutimiza promise lll baada ya kipigo alichopata alipotimiza promise ll
Hao Houthis ni swala la muda TU siyo mbali utapata majibu hapa
Chuki yako kwa bani Israil inakupofusha!Hawa yahudi anachapa asubuhi kabisa!Icho unachokiona ni toys tu mazee jamaaa wapo na midude inatembeya kas kas kupitiliza zayuni kachoka kuusu Yemen. Mana imeanza kupigwa kitambo kweli lkn Yemen bado inarusha vitu hatari hatari.
Halafu unaweza kuta wewe msikitini kwenu ndo wanakuona kichwa!Tuambie ww Hezbollah imekuwaje kwani tunachojua IDF ilikwenda walipo Hezbollah IDF walipelekewa moto wakatoka mbio IDF wakaamia kupigana na mejengo ya Beirut mpaka Israel inaomba poooo ilikuwa Telaviv inapigwa kama ngoma!!
Sasa kati ya Hizboullah na Zayuni nani aliyeomba kusimamisha mapigano? Kama Israel ana ubavu si angeendelea kupigana?Wenzao Hezbollah walikuwa na mikwara zaidi yao.
Kiko wapi????