gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Wanasambaratisha ISIS,ila hapo ngoma inogile, waislam wanaharakati kuibonda israel huwa ipo kichwani mwaoUS na Israel wanajaribu kuzuia hicho.
Wajaribu kuharibu silaha na kusambaratisha makundi mengine.
Wamuulize Yahaya na NasrallahIsrael ANACHINJA KAMA KUKU VIONGOZI WA NCHI ZA KIAARABU MAGAIDI, anapopoa kwenye helicopter Viongozi, kuijaribu Israel ni kujitakia UMAUTI kwa Viongozi bwa hivyo vikundi, watajibiwa soon kwa kauli hiyo, watapopolewa Viongozi wao soon
Pia Waisrael wanafuta picha za vifo kwenye IDF picha nyingi wamefutaData ndugu wkt uko Israe walijua watafekwa kwa wingi wakawai kupitosha Sheria ya kuzuia Habari zao zisitoke. Tofaut na upande w pili watu wapo huru kupost chochote. MAKOMANDO MBONA AWENGI WAMEKUFA ukiacha IDF wakawaida amba ndio usiseme utaona tu vilio vyao IDF.msimu wamezika IDF wengi acha Ubishi
Trump hatoi hela za vita mkuuHa haaaa tena hao waasi wa Syria, nasema kwa uhakika, Israel ikiamua inawafuta in a single day kwa njia ya Anga, tena hutawaona tena, sema sasa hivi Israel inafurahia sana Assad katolewa, kwani alikuwa rafiki wa Iran, so Assad kakimbia ni furaha kwa Israel kwa sasa..!!
Ila nasema ila, siku chache zijazo hao waasi wakijichanganya wakaanza kuichokoza Israel, hapo itakuwa mwisho wao kabisa kabisa, subiri uone.
Iran ana focus kwenye front ya Lebanon na Houthi, Russia ana focus Ukraine so interest zao Syria zimeisha ndio maana waasi walitumia wiki 2 tu kuchukua nchi bila upinzani mkubwa.we unahisi Assad katolewa na nan ?
Assad alikua sio tishio kwa Israel kama hawa HTS. Kingine unadhani HTS itakataa kufanya kazi na Iran iende kuwakumbatia Israel? You're dreamingHa haaaa tena hao waasi wa Syria, nasema kwa uhakika, Israel ikiamua inawafuta in a single day kwa njia ya Anga, tena hutawaona tena, sema sasa hivi Israel inafurahia sana Assad katolewa, kwani alikuwa rafiki wa Iran, so Assad kakimbia ni furaha kwa Israel kwa sasa..!!
Ila nasema ila, siku chache zijazo hao waasi wakijichanganya wakaanza kuichokoza Israel, hapo itakuwa mwisho wao kabisa kabisa, subiri uone.
Mkimchangia Israel, US,UK na Allies wataingia kwenye Battle. Ili kutoa DoziSubirini muone kolabo zitazopigwa hapo,watatoka hadi iraq,mtu 2m upambane nao
HTS ni wasunni.Assad alikua sio tishio kwa Israel kama hawa HTS. Kingine unadhani HTS itakataa kufanya kazi na Iran iende kuwakumbatia Israel? You're dreaming
Wanafiki sana haoNiliwaambia
Niliwaambia Mmepanda usafiri w ngili wakizani punda. Sasa kazikazi adi JERUSALEM
Trump hatoi hela za vita mkuu
Wewe kajadili mambo ya kufikirika ya uchawi na ushirikina,
Haya mambo ya uhalisia huna unalolijua,
Unaishia kuleta vimisemo vya kwenye Kanga tu.
Baby, una maoni Gani na kupinduliwa kwa Assad.Naam, umeniita?
Tatizo nini?
Israel huwa anafyeka kabla hawajajipanga .. Rabbi wa Israel amesema yeyote atakaye jaribu kutaka kuipiga Israel ataangamia yeyeWaasi walioiangusha serikali ya Assad waapa kuendeleza mapambano ili kuiteka Yerusalem.
View attachment 3172882
Kwa mnaojiuliza sababu za Israel kuitwaa miji mitano ya Syria na vilele vya Hermon baada ya regime kuanguka, nadhani mtaelewa sababu sasa.
View attachment 3172884
Vita ya mashariki ya kati sasa inachukua sura mpya ambapo kila hasimu amepata adui mpya.
Tuendelee kuombea amani