Wababe wote wa dunia wameitenga Palestina

Kama Hitler na washirika wake hawakuweza kuwamaliza Wayahudi enzi zile itakuwa vivyo hivyo kwa Waisraeli kuwamaliza Hamas !
Ni ngumu sana kuziua ideas !

Political solution ni muhimu sana !!
Two states solution ndio muarobaini wa kumaliza huo mgogoro lakini wapo wahafidhina ambao hawataki kusikia hiyo habari ! So sad 😞 !
 

Nafikiri wanasubiri wakati sahihi.
 
Allah anaitwa tangu juz Israel alipoazisha mashambulizi kakimbia haji
 

Russia 🇷🇺 ndiyo baba wa waliotengwa.
 
Uongo huu.
 
Kuchinja binadam aliyeumbwa na Mungu kama mbwa ni chukizo mbele za Mungu,wapalestina na wa Israel wote wameumbwa na Mungu na wote wanahaki ya kuishi,lakini kilichofanywa na Hama's acha kijibiwe kwa moto ndicho walichokitafuta kwa mikono yao wenyewe.
 
yeyote mwenye akili hawezi kukubaliana na mauaji ya wayahudi ya juzi. ataiunga mkono israel tu.
 
Endelea kujifariji. Huwezi kufuga magaidi halafu utegemee mtu/watu wakuonee huruma.
- Lile tetemeko lilopiga Turkey (nchi yenye waislamu wengi) unalizungumziaje?
N.B
  • Huko uarabuni (yenye waislamu wengi) na nchi yenye waislamu wengi. Mtu akiacha uislamu anakatwa kichwa. Huoni huu ni udhalimu na kukiuka uhuru wa kuabudu?
  • Iran, kipindi fulani binti kaacha kichwa wazi, waislamu wenzake wamemuua. Huyo Allah gani anayetetewa kwa kuua watu?
 
Kipindi Palestine inavamia raia wa Israel na kuawauwa na wengine kuchukuliwa mateka kupelekwa Gaza mlikata viuno na kushangilia.
Sasa hivi wanapelekewa moto mnajifanya kuwaonea huruma sana.
Mpalestina aliyatafuta mwenyewe, mimi siwezi kumuonea huruma. Acha apigwe ili siku nyingine awe na heshima.
Waislamu huwa wakanza kuua watu ovyo na kuunda makundi ya kigaidi.
  • Boko haramu/ Islamic state, Al Shabab n.k wanaua watu ovyo lkn hakuna waislamu waliondamana kuhusu haya makundi
  • Libya 99% ni waislamu lkn walichinjana km kuku
  • Sudan ni waislamu 89% lkn sasa hivi wanagombea madaraka
  • Angalia Pakistan, ni vurugu tupu
  • Iran, binti hajafunika kichwa wamemuua.
  • Somalia mpaka wamegawana nchi na wote 99% ni waislamu.
Shida ya waislamu wanapenda ugomvi na kuua watu ovyo na kujiona wao ndiyo wanahaki kuliko wengine
 
In six days, Israel has dropped 6,000 bombs on the besieged coastal enclave, which is home to 2.3 million Palestinians. Half of them are children. This falls just short of the highest number of bombs dropped by the US in a year in the war on Afghanistan. This is genocide
 
Palestina angeacha kulea magaidi suruhu ingepatikana hakika.
 
Ndiyo waache kufuga na kushirikiana na magaidi
Kipindi kundi la wapelestina la HAMAS wanavamia raia wa Israel kwenye tamasha hawakuona hayo?
Sasa hivi wanataka kuonewa huruma.
Iwe fundisho
 
kinachoendelea sasaivi, wanajeshi wa israel hawadili tu na Gaza, wanazunguka westbank pia wakichomoa member wa hamas mmoja baada ya mwingine na kuondoka naye. haijulikani sasa kama watafika naye huko anakopelekwa akiwa hai au watasema alijaribu kutoroka wakamshona risasi.
 
Naomba sikilizeni ushuhuda wa huyu Mwarabu anayeishi Israel ambao unaonyesha kabisa kuwa Israel haibagui raia zake. Pili huyo ni Mwarabu wa eneo hilo hilo, lakini Wala husikii akijitambulisha kuwa ni Mpalestina- hichi ndiyo tunachosema kuwa hakukuwa na Taifa la Palestine KABLA ya 1967. Hiyo walianzisha Waislam siasa kali ili kusukuma Agenda yao ya kufutilia mbali Taifa la Israel

View: https://x.com/YosephHaddad/status/1713176773410586892?s=20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…