Wabongo Hawatumii Consultants vizuri ndio maana wengi wanafeli kwenye biashara

Mkuu,Nimefanya kazi na Consultants kutoka hadi nje ya nchi na approach ya consulting ni ile ile na wala hakuna muujiza wowote.Vitu tunavyofanya wakati mwingine ni nje ya uhalisia na wakti mwingine hata watu wa kawaida wanaweza kufanya.

Kuwa consultant hakuhitaji kuwa na concept na idea mpya bali hata kuweza kutumia normal ideas kufikia business objectives is better.

Napokea challenge yako,Soon I will put a portfolio kwa sababu tayari ninao clients zaidi ya 10 ambao wamefanikiwa.
 
HONGERA SANA MHE.
 
Inategemea....binafsi nimepata experience za kutosha Sana Sana nadhani sitaona jipya!..all the best
People Choose what to believe.If you choose kwamba hakuna jipya then labda una tatizo kubwa zaidi ambalo linakufanya uhitaji huduma zetu zaidi kuliko hata wala ambao wanajua tatizo au mapungufu yao.
 


Mbona Sasa huna kampuni? Yaani una email tu kwanini? Hiyo consultant ya nje hiyo nadhan Sasa hivi hukutakiwa kuwa hapa..( binafsi nisingekua level hiyo yako)
 
People Choose what to believe.If you choose kwamba hakuna jipya then labda una tatizo kubwa zaidi ambalo linakufanya uhitaji huduma zetu zaidi kuliko hata wala ambao wanajua tatizo au mapungufu yao.
😀😀😀
 
Inategemea....binafsi nimepata experience za kutosha Sana Sana nadhani sitaona jipya!..all the best
People Choose what to believe.If you choose kwamba hakuna jipya then labda una tatizo kubwa zaidi ambalo linakufanya uhitaji huduma zetu zaidi kuliko hata wale ambao wanajua tatizo au mapungufu yao.
 
Kwakweli.
 
Inategemea....binafsi nimepata experience za kutosha Sana Sana nadhani sitaona jipya!..all the best
People Choose what to believe.If you choose kwamba hakuna jipya then labda una tatizo kubwa zaidi ambalo linakufanya uhitaji huduma zetu zaidi kuliko hata wale ambao wanajua tatizo au mapungufu yao.
Mbona Sasa huna kampuni? Yaani una email tu kwanini? Hiyo consultant ya nje hiyo nadhan Sasa hivi hukutakiwa kuwa hapa..( binafsi nisingekua level hiyo yako)
So kwa sababu tunakula mlo mmoja wote,tunapost JF wote,Tunaishi store wote,tunapanda daladala wote basi unajipa moyo kwamba mimi na wewe ni level moja?Kwamba sina Kampuni?Kwamba nina email tu?

Kwa mujibu wa maelezo yako ina maana wewe-You look at other people as empty and yourself as Full.First no matter how equal we are,I am more equal than you.

This is my reducted CV

In Brief:
Age 30+
Work Experience:15+Years in Employment,Business and Consulting
Business Experience

First Business Started in :2003:
Second Business in 2007
Third Business in 2009
Fourth Business in 2012
Fifth Business 2014
Sixth business 2016
Seventh business 2019
Ninth business 2020

Work Experience:

First Job in 2007
Second Job in 2008
Third Job in 2009
Fourth Job in 2011
Fifth Job in 2012
Sixth Job in 2014
Seventh Job in 2016
Eighth and Current Job in 2018

Education:
1 Degree
1 Diploma
4 Certificate
12 Certifications
and I am still learning
Consulting Clients
Past number of clients:23
Pro bono Consulting 45
Current Assignements 13

For work discussion:Whatsap +255715323060 Email:masokotz@yahoo.com
 
Nilishakariri kuona kampuni..all the best mkuu Wala siko hapa kwa minajiri hiyo
 
Mkuu,
Mimi nimefanya kazi na Consultant wa McKinsey,Na hata ninachokifanya ni stripped down version ya McKinsey kwa ajili ya Small Business za Africa hasa hapa Tanzania.Lengo langu ni kuhamasisha Small business Owners kutambua umuhimu wa huduma za ushauri.Nafikiri unachohitaji ni kufahamu kwamba no matter the size of business information is the Key to sucess and growth
 
Anatoa Ushauri wa biashara lakin yeye hana biashara
Daaah wabongo ni shiiida
Utopolo





Mkuu wax alichoandika jamaa hapa hasa hiyo #1 consultants kwenye biashara wanahitajika sana hasa inapokuwa biashara ni kubwa kiasi,haihitaji mshauri wa biashara naye awe na biashara kumbuka hawa ni watu kabisa wanasomea haya mambo why wakili anapomtetea mtu mahakamani hatusemi mbona yeye hajawahi kuwa na kesi atajuaje ugumu wa kesi?

Kibongo bongo biashara mtaji wako ukishavuka mill 100 na ukaingia kwenye VAT consultant humkwepi la sivyo TRA kila siku watakuwa wanakutikisa hata kama ukikaza mwenyewe uta-survive kiubishi sana,TRA wanaweza wakakuletea deni halafu lipo negotiable lazima huyu mtu asimame katikati kukuelekeza cha kwenda kuongea kule au yeye asimame badala yako ila ukikaza shingo ukaenda mwenyewe utaambiwa deni lipo kisheria na kutokana na sheria kifungu No fulani ya mwaka fulani deni utalipa na fine utalipa niambie hujatikisika hapo?

Ila kama mtaji ni chini ya mill 100 bado siuoni umuhimu wao sana,muhimu unatafuta watu kwenye system kama TRA na Municipal wawe wanakupa update mara kwa mara juu ya muenendo wako unavyoonekana kule na siku hizi hizi EFD machines zinasaidia sana ktk hilo muda wowote ukitaka taarifa zako sahihi unazipata na kuujua uelekeo wako kibiashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew kama consultant wa biashara je umewahi kuwatumi consultant wa kielimu,saikolojia ili waiongoze familia yako katika mafanikio ya kielimu, au wewe unataka utumiwe tu wakati wewe huwatumii wataalamu wa nyanja isio kuhusu.
 

Mkuu,

Hebu tuache utani.

Hii haionyeshi experience yoyote.

Umeandika maneno matupu.

Kwa mtu anyejielewa hawezi shawishika hapa

Inabidi ujifunze namna ya kujibu hili swali “what is your experience?”

Mimi pia nafanya kazi za consultation. Hasahasa Online Business. Tena wanaonifuata ni wafanyabiashara wadogo tu.

Kwa hakika nimegundua, wafanyabiasha wanapenda sana kupatiwa consultation iwapo wanadhani itaongoza value kwenye biashara zao.

Ili wewe uweze kukubalika kwao unatakiwa uwe BORA zaidi na si kulialia. Kwasababu hiyo haisaidii hata kama utasema “sijui wabongo hawapendi” Hiyo kauli inakufanya uonekane amateur.

Ukiona wafanyabiashara hawakubali kazi zako maana yake HAUNA VALUE KWAO.

Ni kazi yako sasa kutafuta mbinu ili hao wafanyabiashara wahitaji kazi yako kama
Consultant.

Wewe huoni ajabu unawalalamikia wafabiashara hawapendi kutumia consultants wakati hiyo ndiyo biashara/kazi yako kuhakikisha wanaona uhitaji wako?

Hapo swali la kujiuliza ni Am I good enough?
 
Mkuu kama Dokta mdodi,matumge,mwaka wameweza Ku ipromote career yao mpaka watanzania kuamini tiba za asili aka tiba mbadala,watanzania sasa wanatumia tiba asili kwa kasi.Nanyi Consultant mnashindwa wapi kuwaaminisha watanzania provided mna skills za marketing.
Usitarajie mtu ataamza tu kukutumia bila nyie kujitangaza.Ona bongo fleva ilikuwa haipendwi sasa is a big industry kila mtu anaitamani b'se imetangazwa zaidi ya miaka 15 sasa na wanavuna jitihada zao.Tumieni gharama kujitangaza ili mfahamike huduma yenu.
 

Yes bro, this is very good point.

Huyu ndugu wakujiita andoza anachoshindwa kuelewa ni kwamba wafanyabiashara si wajinga kama anavyodhani.

Ni kazi yake kuonyesha kwa dhahiri mbinu zake za marketing + sales zitaongeza mapato na faida kwa watu anataka wampatie [emoji383].

Sasa yeye kusema “wabongo hawapendi consultation” hiyo maana yake hata yeye mwenyewe hafahamu sana jinsi yakupata wateja [emoji3525]
 
Unataka kuwafanya watu wawe milionea wakati unashindwa kuwatumia haohao watu ili uwe milionea.Watanzania wanahitaji just ignition point baada ya hapo wanakupa umilionea, mifano ni mingi.Wachungaji makanisani,gospel quires,sports batting nk watu wanapiga tu hela ila walijitangaza.Biashara ni matangazo.Siku hizi hadi wachawi wa mazindiko wamejiongeza hawasubiri mteja awafuate bali wanamfuata alipo.
Hapa JF alitakiwa alete tangazo la huduma sio malalamiko, muda wa malalamiko umepita sasa ni muda wa kuchukua hatua, malalamiko hudumaza akili hivyo kushindwa kupata mbinu mpya.
 
Mie nakushauri tafuta mtaji fanya biashara yako mwenyewe! Kidogo Kuna ugumu sana..wafanyabiashara wengi kwasasa Wana upeo mkubwa Sana wa abc za biashara! Yaan mie sijaona umuhimu huo bado... Kila kitu Kiko mitandaoni ukae ukijua
Mkuu Wangari Maathai kama hoja yako ya kwamba wafanyabiashara wengi wana upeo mkubwa ingekuwa na mashiko, issue ya consultation ingeanzia kufa nchi za wenzetu ambazo wana mifumo mizuri ya elimu za biashara, wana access kubwa ya informations through internet lakini pia mifumo yao ni rafiki sana kusupport growth na existence ya biashara kuliko kwetu.

Kama ni mfuatiliaji wa mpira, Pep Guardiola ni moja ya high profile modern coaches, ukitazama timu anayoifundisha ikicheza hakika unaona flow ya mpira wake unaridhika kuwa he is a football tactician. Lakini naamini ukimuingiza uwanjani hawezi fanya hata nusu ya robo ya kile anachokifundisha.

Generally, kila mtu ana position yake ambayo akikaa you can get the best out of him, yule Messi angechagua kuwa ni golikipa sidhani kama leo hii dunia ingemtambua kama anavyo tambulika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…