Wabongo kwa kujiita C.E.O mitandaoni utafikiri hata wanajua maana na kirefu cha herufi hizi. Sio mbaya kujiinua ila huu ni ulimbukeni.

Wabongo kwa kujiita C.E.O mitandaoni utafikiri hata wanajua maana na kirefu cha herufi hizi. Sio mbaya kujiinua ila huu ni ulimbukeni.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mara utasoma " The cute baby mama"
C.E.O wa Ze Cute Outfits za warembo

Mara "Juma aka Simba mkali"
C.E.O wa simba fanicha kunduchi"

Maana halisi na ya kawaida ya C.EO ni mtu mkuu mwenye jukumu la kusimamia kampuni, ambaye wakati mwingine pia ni rais wa kampuni au mwenyekiti wa bodi. Tena hapo bado vile vitengo vya kuuza na utawala vinaongozwa na Makamu wa Rais Mwandamizi ambao huripoti moja kwa moja Mkurugenzi mtendaji.

Sasa wewe ndio C.E.O lakini wewe ndio mfagia ofisi, una zamu za kusafisha choo ulipopanga fremu, wewe ndio mteja akinunua bidhaa online unafunga ofisi kukimbia stendi kumtumia mzigo.

Wewe jiite mmiliki wa duka [Shop Owner], acha sifa, uongo na ulimbukeni.

Ishi kwa level yako, sasa ukijiitaa C.E.O sasa hivi what is next for you sasa, will you dare to dream for more.
 
Hakuna namna, kama humlipi mshahara atabaki kuwa CEO tu. Hakuna namna nyingine zaidi ya kukubali kuwa yule mama ntilie ni CEO wa mgahawa wake na mwenyekiti wa bodi ya tasisi ya kichwa chake.
 
Mara utasoma " The cute baby mama"
C.E.O wa Ze Cute Outfits za warembo

Mara "Juma aka Simba mkali"
C.E.O wa simba fanicha kunduchi"

Maana halisi na ya kawaida ya C.EO ni mtu mkuu mwenye jukumu la kusimamia kampuni, ambaye wakati mwingine pia ni rais wa kampuni au mwenyekiti wa bodi. Tena hapo bado vile vitengo vya kuuza na utawala vinaongozwa na Makamu wa Rais Mwandamizi ambao huripoti moja kwa moja Mkurugenzi mtendaji.

Sasa wewe ndio C.E.O lakini wewe ndio mfagia ofisi, una zamu za kusafisha choo ulipopanga fremu, wewe ndio mteja akinunua bidhaa online unafunga ofisi kukimbia stendi kumtumia mzigo.

Wewe jiite mmiliki wa duka [Shop Owner], acha sifa, uongo na ulimbukeni.

Ishi kwa level yako, sasa ukijiitaa C.E.O sasa hivi what is next for you sasa, will you dare to dream for more.
What is ur problem bro!? Kwani we inakuwasha nini? Ubaya upo wapi, watu kujinenea makuu(wakrsto tunashauliwa hivyo),
 
Mara utasoma " The cute baby mama"
C.E.O wa Ze Cute Outfits za warembo

Mara "Juma aka Simba mkali"
C.E.O wa simba fanicha kunduchi"

Maana halisi na ya kawaida ya C.EO ni mtu mkuu mwenye jukumu la kusimamia kampuni, ambaye wakati mwingine pia ni rais wa kampuni au mwenyekiti wa bodi. Tena hapo bado vile vitengo vya kuuza na utawala vinaongozwa na Makamu wa Rais Mwandamizi ambao huripoti moja kwa moja Mkurugenzi mtendaji.

Sasa wewe ndio C.E.O lakini wewe ndio mfagia ofisi, una zamu za kusafisha choo ulipopanga fremu, wewe ndio mteja akinunua bidhaa online unafunga ofisi kukimbia stendi kumtumia mzigo.

Wewe jiite mmiliki wa duka [Shop Owner], acha sifa, uongo na ulimbukeni.

Ishi kwa level yako, sasa ukijiitaa C.E.O sasa hivi what is next for you sasa, will you dare to dream for more.
😂😂noma sana
 
Utakuta mtu ana genge lake,kijiwe chake eti anajiita CEO, ma meneja, mara bosi. Mbaya zaidi bodaboda nao wameanza kuitwa maofisa, eti maofisa usafirishaji, tena media kubwa zinang'ang'ana kuwaita hivyo wahuni hao wakati wao hawajiiti hivyo. Sasa wafanyakazi wa LATRA wataitwaje?
 
Hii nchi imekuwa ngumu sana uki hustle na kujipa ka jina TU ka kupamba hustle zako anakuja mtu na kukuita limbukeni
Ukikaa nyumbani napo utaitwa majina mabaya
Mi nadhani ni poa tubless wapambanaji kuliko kuja na dis kama hizi
 
Utakuta mtu ana genge lake,kijiwe chake eti anajiita CEO, ma meneja, mara bosi. Mbaya zaidi bodaboda nao wameanza kuitwa maofisa, eti maofisa usafirishaji, tena media kubwa zinang'ang'ana kuwaita hivyo wahuni hao wakati wao hawajiiti hivyo. Sasa wafanyakazi wa LATRA wataitwaje?
Unaweza kuishi na watu kweli kwa dharau hizi!?
 
Back
Top Bottom