Wabongo kwa kujiita C.E.O mitandaoni utafikiri hata wanajua maana na kirefu cha herufi hizi. Sio mbaya kujiinua ila huu ni ulimbukeni.

Wabongo kwa kujiita C.E.O mitandaoni utafikiri hata wanajua maana na kirefu cha herufi hizi. Sio mbaya kujiinua ila huu ni ulimbukeni.

Mkuu usipende watu wakae kinyonge, tena siku hizi wanatengeneza ofisi zao vizuri kweli, kiti cha kuzunguka, meza nzuri na kiti cha mteja (waiting area)

Watu hawajafanikiwa kufanya kazi posta, ila wametengeneza posta zao huko mbagala, kudos fighters.
 
Mara utasoma " The cute baby mama"
C.E.O wa Ze Cute Outfits za warembo

Mara "Juma aka Simba mkali"
C.E.O wa simba fanicha kunduchi"

Maana halisi na ya kawaida ya C.EO ni mtu mkuu mwenye jukumu la kusimamia kampuni, ambaye wakati mwingine pia ni rais wa kampuni au mwenyekiti wa bodi. Tena hapo bado vile vitengo vya kuuza na utawala vinaongozwa na Makamu wa Rais Mwandamizi ambao huripoti moja kwa moja Mkurugenzi mtendaji.

Sasa wewe ndio C.E.O lakini wewe ndio mfagia ofisi, una zamu za kusafisha choo ulipopanga fremu, wewe ndio mteja akinunua bidhaa online unafunga ofisi kukimbia stendi kumtumia mzigo.

Wewe jiite mmiliki wa duka [Shop Owner], acha sifa, uongo na ulimbukeni.

Ishi kwa level yako, sasa ukijiitaa C.E.O sasa hivi what is next for you sasa, will you dare to dream for more.
muulize dokta msukuma anabishana na dokta janabi
 
Mara utasoma " The cute baby mama"
C.E.O wa Ze Cute Outfits za warembo

Mara "Juma aka Simba mkali"
C.E.O wa simba fanicha kunduchi"

Maana halisi na ya kawaida ya C.EO ni mtu mkuu mwenye jukumu la kusimamia kampuni, ambaye wakati mwingine pia ni rais wa kampuni au mwenyekiti wa bodi. Tena hapo bado vile vitengo vya kuuza na utawala vinaongozwa na Makamu wa Rais Mwandamizi ambao huripoti moja kwa moja Mkurugenzi mtendaji.

Sasa wewe ndio C.E.O lakini wewe ndio mfagia ofisi, una zamu za kusafisha choo ulipopanga fremu, wewe ndio mteja akinunua bidhaa online unafunga ofisi kukimbia stendi kumtumia mzigo.

Wewe jiite mmiliki wa duka [Shop Owner], acha sifa, uongo na ulimbukeni.

Ishi kwa level yako, sasa ukijiitaa C.E.O sasa hivi what is next for you sasa, will you dare to dream for more.
Kwahiyo unaogopa
 
Lakini Kwa Mimi Ninavyojua CEO kwenye makampuni Makubwa Ni Mwajiriwa tu na Wala sio Mmiliki wa Kampuni..

Kwa mfano:-

Wamililiki wa Kampuni mara Nyingi huwa Ni wanahisa au wawekezaji kwenye Kampuni (Shareholders)..

Shareholders Ndo huteua Board Of Directors (Bodi Ya Wakurugenzi)..

Sasa bodi ya Wakurugenzi Ndo huteua CEO..
Kwa ajili ya Kusimamia Kampuni kwa ukaribu na Kufanya maamuzi ya kampuni...

Lakini Kiuhalisia Mmiliki anaweza asiwe CEO yeye ni Mteuliwa tu..

Na ndiyo maana Kuna CEO Na yeye Akiteuliwa anamteua COO, CFO, CRO na wengine ili wafanye kazi Chini yake..

Na wanareport kwake tu na wao ndo wanakuwa wakurugenzi chini yake
 
Wajiite wengine uumie wewe! Wakijiita wanyonge napo utaumia au unaumia wao kujipa vyeo tu?
 
Nachofurahia ni kuwa ndugu zangu wazaramo Sasa wamekuwa wengi hapa jamiiforums maana iwe usiku ,mchana hata asubuhi ni mwendo wa kuchambana tu 😃
 
Lakini Kwa Mimi Ninavyojua CEO kwenye makampuni Makubwa Ni Mwajiriwa tu na Wala sio Mmiliki wa Kampuni..

Kwa mfano:-

Wamililiki wa Kampuni mara Nyingi huwa Ni wanahisa au wawekezaji kwenye Kampuni (Shareholders)..

Shareholders Ndo huteua Board Of Directors (Bodi Ya Wakurugenzi)..

Sasa bodi ya Wakurugenzi Ndo huteua CEO..
Kwa ajili ya Kusimamia Kampuni kwa ukaribu na Kufanya maamuzi ya kampuni...

Lakini Kiuhalisia Mmiliki anaweza asiwe CEO yeye ni Mteuliwa tu..

Na ndiyo maana Kuna CEO Na yeye Akiteuliwa anamteua COO, CFO, CRO na wengine ili wafanye kazi Chini yake..

Na wanareport kwake tu na wao ndo wanakuwa wakurugenzi chini yake
Exactly .
Hadimu chief
 
Back
Top Bottom