binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mkuu usipende watu wakae kinyonge, tena siku hizi wanatengeneza ofisi zao vizuri kweli, kiti cha kuzunguka, meza nzuri na kiti cha mteja (waiting area)
Watu hawajafanikiwa kufanya kazi posta, ila wametengeneza posta zao huko mbagala, kudos fighters.
Watu hawajafanikiwa kufanya kazi posta, ila wametengeneza posta zao huko mbagala, kudos fighters.