binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kwenye kuanzisha kampuni miezi ya mwanzoni CEO or mwenye kampuni anaweza kufanya kazi nyingi EgHaahhahah c.e.o anapitisha kapu achangiwe wakacheze ndondo mbagala
muulize dokta msukuma anabishana na dokta janabiMara utasoma " The cute baby mama"
C.E.O wa Ze Cute Outfits za warembo
Mara "Juma aka Simba mkali"
C.E.O wa simba fanicha kunduchi"
Maana halisi na ya kawaida ya C.EO ni mtu mkuu mwenye jukumu la kusimamia kampuni, ambaye wakati mwingine pia ni rais wa kampuni au mwenyekiti wa bodi. Tena hapo bado vile vitengo vya kuuza na utawala vinaongozwa na Makamu wa Rais Mwandamizi ambao huripoti moja kwa moja Mkurugenzi mtendaji.
Sasa wewe ndio C.E.O lakini wewe ndio mfagia ofisi, una zamu za kusafisha choo ulipopanga fremu, wewe ndio mteja akinunua bidhaa online unafunga ofisi kukimbia stendi kumtumia mzigo.
Wewe jiite mmiliki wa duka [Shop Owner], acha sifa, uongo na ulimbukeni.
Ishi kwa level yako, sasa ukijiitaa C.E.O sasa hivi what is next for you sasa, will you dare to dream for more.
Kwahiyo unaogopaMara utasoma " The cute baby mama"
C.E.O wa Ze Cute Outfits za warembo
Mara "Juma aka Simba mkali"
C.E.O wa simba fanicha kunduchi"
Maana halisi na ya kawaida ya C.EO ni mtu mkuu mwenye jukumu la kusimamia kampuni, ambaye wakati mwingine pia ni rais wa kampuni au mwenyekiti wa bodi. Tena hapo bado vile vitengo vya kuuza na utawala vinaongozwa na Makamu wa Rais Mwandamizi ambao huripoti moja kwa moja Mkurugenzi mtendaji.
Sasa wewe ndio C.E.O lakini wewe ndio mfagia ofisi, una zamu za kusafisha choo ulipopanga fremu, wewe ndio mteja akinunua bidhaa online unafunga ofisi kukimbia stendi kumtumia mzigo.
Wewe jiite mmiliki wa duka [Shop Owner], acha sifa, uongo na ulimbukeni.
Ishi kwa level yako, sasa ukijiitaa C.E.O sasa hivi what is next for you sasa, will you dare to dream for more.
Kuna mambo yanafurahisha sana sweetheart...
Ni kweli mkuu.Hahah ulumbukeni
Exactly .Lakini Kwa Mimi Ninavyojua CEO kwenye makampuni Makubwa Ni Mwajiriwa tu na Wala sio Mmiliki wa Kampuni..
Kwa mfano:-
Wamililiki wa Kampuni mara Nyingi huwa Ni wanahisa au wawekezaji kwenye Kampuni (Shareholders)..
Shareholders Ndo huteua Board Of Directors (Bodi Ya Wakurugenzi)..
Sasa bodi ya Wakurugenzi Ndo huteua CEO..
Kwa ajili ya Kusimamia Kampuni kwa ukaribu na Kufanya maamuzi ya kampuni...
Lakini Kiuhalisia Mmiliki anaweza asiwe CEO yeye ni Mteuliwa tu..
Na ndiyo maana Kuna CEO Na yeye Akiteuliwa anamteua COO, CFO, CRO na wengine ili wafanye kazi Chini yake..
Na wanareport kwake tu na wao ndo wanakuwa wakurugenzi chini yake