Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Namuuliza mtu nikusaidie vipi, halafu yeye bado ananipa mzigo wa kumsaidia anisaidie nijue nimsaidie vipi!

Mpaka hapo kashatuonesha tatizo ni yeye, si mimi.
Mkuu Kiranga Mimi nahitaji fursa hiyo Nina Taaluma ya Graphics Design, Videographer, photographer & media producer
 
Nimeangalia profile yako kumbe siyo kosa lako.
 
Kasaidia wengi mfano mmoja ni ndugu Invigilator amesaidiwa na wana JF wa majuu akiwemo Kiranga hadi kutua USA.
Huyo mburula hajui hata anataka nini.

Mara aniambie najua mambo mengi napaswa kusaidia, mara aniambie mimi muongo.

Yeye mwenyewe naona maisha yamempiga mpaka kachanganyikiwa anaweza kuwa anahitaji msaada mkubwa zaidi ya wa kuja Marekani.

Hebu msaidieni ushaurinadaha tusije kupigwa tukio buree.
 
Wewe ni zezeta

Huna msaada zaidi ya ujuaji wa kijinga na kujifanya much know kumbe ni zumbukuku tu
 
Ufafanuzi mzuri sana
 
Juzi kuna watu wabongo wajinga wamemchoma mwenzao mpaka ameenda kwa sello kisa jamaa mambo yake yanaenda na anapiga hela nyingi

Upo ughaibuni ipi hiyo ambayo mamlaka ya haki inafanya mambo kibongo bongo?
 
Nobody, apart from the parents who brought you into this world, is obligated to help you.

And even parents are obligated only to a certain age.

So, when seeking help, humble yourself.

This is a very basic principle in life.
 
Nobody, apart from the parents who brought you into this world, is obligated to help you.

And even parents are obligated only to a certain age.

So, when seeking help, humble yourself.
Hakuna wa kukulamba miguu wewe,kama unataka kulambwa miguu ndiyo utoe msaada basi kafie mbali na nakuhakikishia mtoni nitakuja tu kwasababu si nchi yako hiyo
 
Bufa
 
Kinachokuwa ni shida ni kujuana sana, hata maisha ya Tz tunaishi kwa kujuana sana, Kenyans hata UGs naona wana mipaka flani, kila mtu na mambo yake na inasaidia, dawa ni kuwa na mipaka tu.
 
Jamani Kiranga UMUGHAKA yaishe msije shia pata ban bure. Kila mtu afanye anachoweza. Unaye omba kusaidiwa kama kiranga hawez kukusaidia usilaumu, ukute sio mlango wako huo. Watatokea wengine watakusaidia.
Msije kosana hata sura hamfahamiani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…