Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Baada ya kukupa vitu ulivyohitaji haya ndiyo majibu yako,sasa nikisema hampo kwa ajili ya kusaidia nitakuwa nina makosa? Kiranga
Kwa hivyo nilikujibu, siyo?

Wewe haupo hapa ili kusaidiwa, upo hapa ili ulalamike.

Ndiyo maana umeniita muongo kabla hata ya kunieleza unataka kusaidiwaje.

Sasa hapo utasaidiwa vipi?

Wewe ni aina ya mtu ambaye hata nikikusaidia upate visa mpaka kukukatia tiketi ya ndege utalalamika kwamba nimekupandisha ndege economy class, sijakukatia tiketi ya first class.

Wewe nishakujua kuwa ni wa fungu la kulalamika, mimi sitaki lawama.
 
Kwa hivyo nilikujibu, siyo?

Wewe haupo hapa ili kusaidiwa, upo hapa ili ulalamike.

Ndiyo maana umeniita muongo kabla hata ya kunieleza unataka kusaidiwaje.

Sasa hapo utasaidiwa vipi?

Wewe ni aina ya mtu ambaye hata nikikusaidia upate visa mpaka kukukatia tuketi ya ndege utalalamika kwamba nimekupandisha ndege economy class, sijakukatia tiketi ya first class.

Wewe nishakujua kuwa ni wa fungu la kulalamika, mimi sitaki lawama.
Mkuu acha sababu zisizo na kichwa wala miguu,ulihitaji angalau kuona details zangu nimekutumia,sasa hivi umebadili tena uelekeo umekomaa na neno "UONGO",Tatizo lenu huwa mkiwa huko nje mnadhani watu wote humu ndani tunalilia kwenda nje tukiwa hatuna kitu kabisa.
 
Kuna Mtanzania alimsaidia Mtanzania mwingine kumkatia tiketi ya ndege.

Kwa sababu wote Watanzania.

Aliyekatiwa tiketi alisema ana hali mbaya, hana hela, hana hata credit card, mgeni.

Baadaye, ikagundulika jamaa aliyekatiwa tiketi alibeba madawa ya kulevya.

Wamarekani wakamdaka mpaka aliyenunua tiketi. Wakiamini kwamba naye alihusika katika biashara ya madawa ya kulevya. Hawakuamini mtu anaweza kukununukia tiketi hivihivi tu.

Jamaa akawa na kazi kubwa ya kuwaeleza sisi Watanzania tunaishi kwa kusaidiana hata watu ambao hatujuani sana, huyu mtu nilimsaidia kwa sababu ni Mtanzania mwenzangu tu, hatujuani kihiivyo na mimi sikujua habari zake za biashara ya madawa ya kulevya.

Wamarekani hawakumuamini.

Ikabidi jamaa apate kazi sana kuaelewesha kwamba huyo wala si mtu wa kwanza kumsaidia, kashasaidia Watanzania wengi tu.
so sad...
Now the innocent man won't dare to help another tanzania...
 
Sasa kama mimi ni muongo, kwa nini unanipa details zako?

Kwa nini unataka nikusaidie wakati unajua mimi ni muongo?
Wewe ndiye uliyeniambia nikutumie details ukidhani uenda mimi ni kapuku nisiyekuwa na kitu chochote ili useme umeniomba details nikashindwa kukutumia,sasa unatumiwa unaanza tena ngonjera za kina Mwakasungura.
 
Na asilimia kubwa wanaochomeshwa ni wale ambao wameingia kihuni nchi za watu lakini ukifata taratibu za nchi husika na kufanya yaliyo kupeleka hata ukichomeshwa hakuna kitu kitabadilika
 
Wewe ndiye uliyeniambia nikutumie details ukidhani uenda mimi ni kapuku nisiyekuwa na kitu chochote ili useme umeniomba details nikashindwa kukutumia,sasa unatumiwa unaanza tena ngonjera za kina Mwakasungura.
Nimekuomba details tayari ushadhani sababu zangu. Tena umenipa sababu negative.

Na hapo ndipo tatizo lilipo.

Unapenda kudhani kuliko kuhakiki.

Kwa mentality hii ya kumfikiri mtu kwa mabaya kwa sababu kakuomba details tu, huwezi kufanikiwa.

Na mtu yeyote atakayekataa kukusaidia nitamuelewa sana.

Wewe unaweza kumfikiria mtu ubaya kwa kudhani tu.

Na ukaona hilo ni jambo sawa.
 
Na asilimia kubwa wanaochomeshwa ni wale ambao wameingia kihuni nchi za watu lakini ukifata taratibu za nchi husika na kufanya yaliyo kupeleka hata ukichomeshwa hakuna kitu kitabadilika
Kuingia kihuni ndio kukoje?
 
Ungejibu Kiranga siyo muongozo ungepungukiwa na nini?

At least kama ni mtego angenasa, lakini umeshindwa kufanya reasoning ya vitu vidogo kama hivi sijui kama mziki wa consular utauweza?
Mkuu kwenye ukweli huwa sipindishi,jamaa ni muongo na mjuaji,alitaka details nimempa sasa hivi anakuja na ngonjera za akina mfaranyaki!.

Kama si muongo alipaswa anithibitishie kwamba nilichokisema si kweli.

Kwanza sidhani hata kama jamaa yupo Mamtoni,utakuta yupo hapo kwa mtogole anasagia kunguni wenzie akijinasibu yupo nje.

Huyu jamaa ni muongo na tapeli
 
Wewe ni Muongo ndiyo maana nimekutumia details umeingia mitini na kuja na sababu kibwena.
mkuu kuwa mpole kama kukosea kupo na kila mtu anakosea, ila ungethibitisha uwongo wake ni upi? ili watu wathibitishe
 
Nimekuomba details tayari ushadhani sababu zangu. Tena umenipa sababu negative.

Na hapo ndipo tatizo lilipo.

Unapenda kudhani kuliko kuhakiki.

Kwa mentality hii ya kumfikiri mtu kwa mabaya kwa sababu kakuomba details tu, huwezi kufanikiwa.

Na mtu yeyote atakayekataa kukusaidia nitamuelewa sana.

Wewe unaweza kumfikiria mtu ubaya kwa kudhani tu.

Na ukaona hilo ni jambo sawa.
Wewe ni muongo tu na tapeli na sidhani kama upo mamtoni wewe!.
 
Wewe umsaidie nani wewe!

Wapo wabongo wakutoa msaada ila si wewe mwenye Kiranga na kutaka kutukuzwa!.Tutawasaka hata Wakenya watasaidia maana nyie mmejawa majungu,roho mbaya na wivu
Sasa mbona umetuma details zako nikusaidie?
 
Back
Top Bottom