Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mkuu,Wabongo wa mamtoni sio wa ku socialize nao.
Mim nikiwa mamtoni ni wazungu na big brain nigerians tu.
wabongo wa nje hawana issue na vibesdei vyao vya sebuleni umbea wanaume na wanawake.
Wote wanafanya kaz za kufanana ukifanya cha tofauti lazima wakupe shida.
Wana roho mbaya hawaoni shida kukuchoma mkose wote.
Kwa mfano mtu anafanya mambo yake clean, by the book. Tangu amelamba visa Tanzania hajawahi kuwa out of status hata sekunde. Na ursia kashschukua US. Analipa kodi kubwa kuliko mishahara ya watu wengine.
Akaingia katika hizo besdei za wabongo, kapotea njia tu siku moja.
Wanaanzaje kumchoma?
Unamchoma vipi mtu kama huyu?