Hahaha ebana umenikumbusha mbali saaIla wabongo wanachomana sana. Wanawapigia hadi polisi na migration kukuchongea eti urudishwe.
Halafu kuna katabia na hulka flani ka umaskini wabongo wanayo hadi mton. Msosi mtoni siyo big deal lakini eti wanashindana kujaza friji msosi na kuringishiana unabaki kushangaa tu Wtf!
Mkuu mimi sina shida na huyo jamaa bali nilikuwa natolea tu mfano wa wabongo wengi waishio majuu walivyo na roho za visokorosokwinyo!
Ukiishi nje ya Tanzania ukitaka mafanikio usifanye mazowea na Watanzania, juwana nao lakini jiweke mbali nao kabisa.Yaani wabongo ni watu wa ajabu sana yaani wao wamekalia majungu, chuki, unafiki na ukora tu yaani wao wakiona mwenzao amewazidi kwa chochote kile wanaanza kukupiga majungu nasema hii tabia mkiendelea nae nitamuua mtu hivi hivi kwa ujinga na uzandiki wenu
Ndio maana mie huwaga napenda kujitenga na wabongo aisee yaani ni watu ambao wamekalia majungu, unafiki, uzandiki pamoja na ukora tu.
Juzi kuna watu wabongo wajinga wamemchoma mwenzao mpaka ameenda kwa sello kisa jamaa mambo yake yanaenda na anapiga hela nyingi kwahiyo wajamaa wameamua kumchoma upuuzi! Nyie wabongo tabia yenu ya kipuuzi huko kwenu ukimani 🗑 muiachane huko huko 🐒
🐒 🐒 🐒 🐒 🐒 🗑 🗑 🗑 🗑 🗑
Unaweza kudhani mtu wa hivyo hawezi kuchomwa ila wabongo wanaweza mkuu.Mkuu,
Kwa mfano mtu anafanya mambo yake clean, by the book. Tangu amelamba visa Tanzania hajawahi kuwa out of status hata sekunde. Na ursia kashschukua US. Analipa kodi kubwa kuliko mishahara ya watu wengine.
Akaingia katika hizo besdei za wabongo, kapotea njia tu siku moja.
Wanaanzaje kumchoma?
Unamchoma vipi mtu kama huyu?
Pana mwaka nilimuona pwani kule wakimuacha walisema haliwi amekaa kama nyoka hivi au nimemchanganya...Kuna samaki anaitwa mkunga, analiwa tu...
Watanzania wengi hawana akili
Nimewahi kusema hapa ya kwamba huko nje kuna fursa kibao ila huwezi ona watanzania waishio huko akiwemo Kiranga wanakusanua kuhusu hilo,wao wamekalia ujinga na uzwazwa tu.
Ukiuliza fursa huko utaambiwa maisha ni magumu kwa kulipa bills,yaani kila ukiluza utaambiwa bills ni tatizo.
KWA KIFUPI.
WATANZANIA WENGI WAISHIO NJE HUKO HASA MAREKANI NI WAJINGA NA MAZUMBUKUKU
Mkuu sina tatizo na mtu mkuu nimejiandikia tu[emoji23][emoji23]Muraaa mbona umeiandika kwa hasira sana...
Boundaries is a foreign concept.Kinachokuwa ni shida ni kujuana sana, hata maisha ya Tz tunaishi kwa kujuana sana, Kenyans hata UGs naona wana mipaka flani, kila mtu na mambo yake na inasaidia, dawa ni kuwa na mipaka tu.
Umenikumbusha hadithi ya Sungura na msemo wa "Sizitaki mbichi hizi". [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu sihitaji msaada wa huyo jamaa ni tapeli tu
Ana msongo wa mawazo na ujinga usiotibika.Muraaa mbona umeiandika kwa hasira sana...
Tatizo lako ndiyo hili.Mkuu sina tatizo na mtu mkuu nimejiandikia tu[emoji23][emoji23]
Sasa mjinga ni mimi au wewe?Ana msongo wa mawazo na ujinga usiotibika.
Mkuu nadhani shika hamsini zako maana wewe ni TAPELI na huna chochote zaidi ya U - MUCH KNOW wa kijinga,hakuna cha maana ulichofanya tangu uishi nje zaidi ya ujuaji na ujinga tuTatizo lako ndiyo hili.
Unajiandikia tu, badala ya kuandika kwa malengo.
Hakuna Mod mjinga wa kutowa ban kisa kuna mjinga mmoja asiyejitambuwa.
Kwa hivyo hayo madawa walimpandikizia?Unaweza kudhani mtu wa hivyo hawezi kuchomwa ila wabongo wanaweza mkuu.
Kuna mtanzania ana kikampuni chake nchi fulani huko mamtoni.Ana maisha mazuri kuliko watanzania wengi wa huko na kampani yake ilikua wabongo.Siku ya siku kawaalika kwake kwa chakula ila mwezi mmoja baadae anashangaa polisi wanamjia nyumbani.Wanaomba kupekua na wanakuta vifuko vya madawa ya kulevya vimefichwa kwenye heater.
Hakufungwa ila ilimletea changamoto nyingi na mpaka leo anaogopa wabongo kuliko ukoma.
Ninachojua sio wabongo tu wanaooneana wivu bali ni kawaida watu kutoka taifa moja kuoneana wivu.
Ni rahis mim kukuonea wivu wewe ukijenga ghorofa nyumban wakati mim sina cha maana nilichofanya nyumbani ila rafiki yangu wa kinegeria au wa ki Iran hawezi kunionea wivu mim kujenga ghorofa Tz bali atamuonea wivu rafiki yake aliyefanya ya maana Iran.
Wakati naishi mamtoni rafiki zangu walikua ni wazungu na watu wa mataifa mengine.Wakati mm nilikua nawaona wabongo wenzangu ni wabaya wao walikua wakisifia kuwa watanzania ni watu wazuri wapole na wenye upendo na waliniona mim ni rafiki yao mtanzania ni bora huku muiran akiniambia hapendi kujichanganya na wairan wenzake sbb wana wivu na majungu.Mserbia na mnigeria nae anasema hivyo hivyo kasoro mzungu yeye malalamiko yake juu ya wazungu wenzie yanakua tofauti na sisi wageni.
Huyu ndiye mtu anayeomba msaada.Sasa mjinga ni mimi au wewe?
Wewe kukaa nje unadhani watu wote ni wajinga kama wewe.
Wewe ni limbukeni na zwazwa wa maisha na ndiyo maana unadhani kuishi nje ndiyo kuyapatia maisha kumbe ni uzumbukuku tu ulionao kichwani.
Hivi anajua kuna wakati ili upate permit wazungu wanaweza kukuuliza maswali ya kipuuzi kama vile'Mara ya mwisho kulala na mkeo ulifunga goli ngapi'.Ungejibu Kiranga siyo muongozo ungepungukiwa na nini?
At least kama ni mtego angenasa, lakini umeshindwa kufanya reasoning ya vitu vidogo kama hivi sijui kama mziki wa consular utauweza?
Watu kama wakina nani?Huyu ndiye mtu anayeomba msaada.
Hapo anaomba msaada afanikiwe.
Akifanikiwa si atatuua huyu?
Siwezi kushangaa watu wakikataa kukusaidia.