Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Wabongo mkija majuu au ughaibuni acheni unafiki, majungu na ukora mnaliabisha Taifa lenu

Ila wabongo wanachomana sana. Wanawapigia hadi polisi na migration kukuchongea eti urudishwe.

Halafu kuna katabia na hulka flani ka umaskini wabongo wanayo hadi mton. Msosi mtoni siyo big deal lakini eti wanashindana kujaza friji msosi na kuringishiana unabaki kushangaa tu Wtf!
Hahaha ebana umenikumbusha mbali saa
 
Jamani Kiranga UMUGHAKA yaishe msije shia pata ban bure. Kila mtu afanye anachoweza. Unaye omba kusaidiwa kama kiranga hawez kukusaidia usilaumu, ukute sio mlango wako huo. Watatokea wengine watakusaidia.
Msije kosana hata sura hamfahamiani.
Mkuu mimi sina shida na huyo jamaa bali nilikuwa natolea tu mfano wa wabongo wengi waishio majuu walivyo na roho za visokorosokwinyo!
 
Yaani wabongo ni watu wa ajabu sana yaani wao wamekalia majungu, chuki, unafiki na ukora tu yaani wao wakiona mwenzao amewazidi kwa chochote kile wanaanza kukupiga majungu nasema hii tabia mkiendelea nae nitamuua mtu hivi hivi kwa ujinga na uzandiki wenu

Ndio maana mie huwaga napenda kujitenga na wabongo aisee yaani ni watu ambao wamekalia majungu, unafiki, uzandiki pamoja na ukora tu.

Juzi kuna watu wabongo wajinga wamemchoma mwenzao mpaka ameenda kwa sello kisa jamaa mambo yake yanaenda na anapiga hela nyingi kwahiyo wajamaa wameamua kumchoma upuuzi! Nyie wabongo tabia yenu ya kipuuzi huko kwenu ukimani 🗑 muiachane huko huko 🐒

🐒 🐒 🐒 🐒 🐒 🗑 🗑 🗑 🗑 🗑
Ukiishi nje ya Tanzania ukitaka mafanikio usifanye mazowea na Watanzania, juwana nao lakini jiweke mbali nao kabisa.

Fanya mazowea na wenyeji wenye maana, siyo wale wa hovyo hovyo.

Natumai umenielewa.
 
Mkuu,

Kwa mfano mtu anafanya mambo yake clean, by the book. Tangu amelamba visa Tanzania hajawahi kuwa out of status hata sekunde. Na ursia kashschukua US. Analipa kodi kubwa kuliko mishahara ya watu wengine.

Akaingia katika hizo besdei za wabongo, kapotea njia tu siku moja.

Wanaanzaje kumchoma?

Unamchoma vipi mtu kama huyu?
Unaweza kudhani mtu wa hivyo hawezi kuchomwa ila wabongo wanaweza mkuu.

Kuna mtanzania ana kikampuni chake nchi fulani huko mamtoni.Ana maisha mazuri kuliko watanzania wengi wa huko na kampani yake ilikua wabongo.Siku ya siku kawaalika kwake kwa chakula ila mwezi mmoja baadae anashangaa polisi wanamjia nyumbani.Wanaomba kupekua na wanakuta vifuko vya madawa ya kulevya vimefichwa kwenye heater.
Hakufungwa ila ilimletea changamoto nyingi na mpaka leo anaogopa wabongo kuliko ukoma.
Ninachojua sio wabongo tu wanaooneana wivu bali ni kawaida watu kutoka taifa moja kuoneana wivu.
Ni rahis mim kukuonea wivu wewe ukijenga ghorofa nyumban wakati mim sina cha maana nilichofanya nyumbani ila rafiki yangu wa kinegeria au wa ki Iran hawezi kunionea wivu mim kujenga ghorofa Tz bali atamuonea wivu rafiki yake aliyefanya ya maana Iran.

Wakati naishi mamtoni rafiki zangu walikua ni wazungu na watu wa mataifa mengine.Wakati mm nilikua nawaona wabongo wenzangu ni wabaya wao walikua wakisifia kuwa watanzania ni watu wazuri wapole na wenye upendo na waliniona mim ni rafiki yao mtanzania ni bora huku muiran akiniambia hapendi kujichanganya na wairan wenzake sbb wana wivu na majungu.Mserbia na mnigeria nae anasema hivyo hivyo kasoro mzungu yeye malalamiko yake juu ya wazungu wenzie yanakua tofauti na sisi wageni.
 
Watanzania wengi hawana akili

Nimewahi kusema hapa ya kwamba huko nje kuna fursa kibao ila huwezi ona watanzania waishio huko akiwemo Kiranga wanakusanua kuhusu hilo,wao wamekalia ujinga na uzwazwa tu.

Ukiuliza fursa huko utaambiwa maisha ni magumu kwa kulipa bills,yaani kila ukiluza utaambiwa bills ni tatizo.

KWA KIFUPI.

WATANZANIA WENGI WAISHIO NJE HUKO HASA MAREKANI NI WAJINGA NA MAZUMBUKUKU

Muraaa mbona umeiandika kwa hasira sana...
 
Kinachokuwa ni shida ni kujuana sana, hata maisha ya Tz tunaishi kwa kujuana sana, Kenyans hata UGs naona wana mipaka flani, kila mtu na mambo yake na inasaidia, dawa ni kuwa na mipaka tu.
Boundaries is a foreign concept.

Si ndiyo unaona mpaka hapa JF mtu hakujui anajipa uhuru kwamba anakujua sana mpaka kukuita muongo.

Kwa watu wanaojua kufikiri hilo ni tusi kubwa sana.

Halafu kituko, huyo anayekuita muongo kiholela ndiye anayelalamika kuwa Watanzania hawana msaada.

Ninaweza kuelewa kwa nini watu hawamsaidii mtu asiye na adabu hivi. Mtu mwenye a false sense of entitlement hivi. Mtu mwenye mawazo negative hivi.

Achague moja, kuomba msaada au kufanya ujeuri.

Viwili hivi haviendi pamoja.
 
Wewe mwenyeji wa Taifa gani, mbina wengine waliokutangulia kuishi hatusikii wakilalamika hicho, Jambo la mtu mmoja usilifanye la kitaifa.

Nawe kuwa huko basi usjione msafi saaana kuliko Watanzania wote acha ujinga.
 
Unaweza kudhani mtu wa hivyo hawezi kuchomwa ila wabongo wanaweza mkuu.

Kuna mtanzania ana kikampuni chake nchi fulani huko mamtoni.Ana maisha mazuri kuliko watanzania wengi wa huko na kampani yake ilikua wabongo.Siku ya siku kawaalika kwake kwa chakula ila mwezi mmoja baadae anashangaa polisi wanamjia nyumbani.Wanaomba kupekua na wanakuta vifuko vya madawa ya kulevya vimefichwa kwenye heater.
Hakufungwa ila ilimletea changamoto nyingi na mpaka leo anaogopa wabongo kuliko ukoma.
Ninachojua sio wabongo tu wanaooneana wivu bali ni kawaida watu kutoka taifa moja kuoneana wivu.
Ni rahis mim kukuonea wivu wewe ukijenga ghorofa nyumban wakati mim sina cha maana nilichofanya nyumbani ila rafiki yangu wa kinegeria au wa ki Iran hawezi kunionea wivu mim kujenga ghorofa Tz bali atamuonea wivu rafiki yake aliyefanya ya maana Iran.

Wakati naishi mamtoni rafiki zangu walikua ni wazungu na watu wa mataifa mengine.Wakati mm nilikua nawaona wabongo wenzangu ni wabaya wao walikua wakisifia kuwa watanzania ni watu wazuri wapole na wenye upendo na waliniona mim ni rafiki yao mtanzania ni bora huku muiran akiniambia hapendi kujichanganya na wairan wenzake sbb wana wivu na majungu.Mserbia na mnigeria nae anasema hivyo hivyo kasoro mzungu yeye malalamiko yake juu ya wazungu wenzie yanakua tofauti na sisi wageni.
Kwa hivyo hayo madawa walimpandikizia?

Siku hizi kukutana nyumbani na watu usiowajua vizuri ni risk kubwa.

Sasa hapo huoni kila mtu analaumu watu wa jamii yake kwa sababu anawajua sana?
 
Sasa mjinga ni mimi au wewe?

Wewe kukaa nje unadhani watu wote ni wajinga kama wewe.

Wewe ni limbukeni na zwazwa wa maisha na ndiyo maana unadhani kuishi nje ndiyo kuyapatia maisha kumbe ni uzumbukuku tu ulionao kichwani.
Huyu ndiye mtu anayeomba msaada.

Hapo anaomba msaada afanikiwe.

Akifanikiwa si atatuua huyu?

Siwezi kushangaa watu wakikataa kukusaidia.
 
Ungejibu Kiranga siyo muongozo ungepungukiwa na nini?

At least kama ni mtego angenasa, lakini umeshindwa kufanya reasoning ya vitu vidogo kama hivi sijui kama mziki wa consular utauweza?
Hivi anajua kuna wakati ili upate permit wazungu wanaweza kukuuliza maswali ya kipuuzi kama vile'Mara ya mwisho kulala na mkeo ulifunga goli ngapi'.
Sasa kwa jazba hizi si ataishia kuwatukana tu🤣
 
Huyu ndiye mtu anayeomba msaada.

Hapo anaomba msaada afanikiwe.

Akifanikiwa si atatuua huyu?

Siwezi kushangaa watu wakikataa kukusaidia.
Watu kama wakina nani?

Hivi kwa akili yako unadhani nategemea msaada?Huo msaada wapelekee ndugu zako.

Mimi Marekani lazima nije kwa juhudi zangu na uwezo wangu binafsi,nyie endeleeni na roho mbaya zenu na uzwazwa wenu
 
Back
Top Bottom