Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Bora umeongea ukweli kaka kingine watanzania msitumie njia za magendo kuzamia ulaya. Kwa sababu nchi yetu ina amani ni vigumu kukubaliwa asylum. Huku waafrika wengi ambao nimewakuta homeless ni walioingia kimagendo hawana papers . Njia nzuri ya kuja huku ni kusoma au kuapplya kazi. Kuna watu wameaplly kazi wamepata huku. Wapo wengi tu lakini tatizo sisi hatupo serious. Ulaya kupata kazi inabidi ujue unachokifanya 100 percent siyo kubahatisha.
Ni kweli kabisa.
Unakuta mtu kajilipua ukimbizi ananyimwa kazi hawezi pata ni kuishi maosha ya shida hadi anazeeka hata akirudi TZ watu wanashangaa tu.
Wenzetu wanaigeria wako sharp sana na huwa wanalenga kupata pesa kubwa kubwa.Sisi tuko slow sana.Mnigeria akisema nimejenga nyumbani sio nyumba no mansion
 
Sasa ilo BMW utalipaki wapi sister?? Si unajua chakala chakala mikoroshini ikianza kila mtu na wake tutaibiwa ndinga ujue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣🀣🀣Utasikia wahuni shemeji yenu Hana simu,,,sijasikia miluzi.....wee wahuni hapo wanaweza ng'oa hata tyre la bmw
 
Ungesema baadhi ya............
Ukweli ni kwamba wengi waliotoka kwenye zile familia zenye kujiweza..........
Lakini kwa siye masikini tusiochagua kazi....alhamdulilah tunamshukuru mnyaaaz'mngu.
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
Ungesema baadhi ya......
Kwa sie wa hali za chini.....alhamdulilah tunamshukuru Mungu
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
Kama wamekataa kukutoa out pole ndugu tafta pesa zako
 
Wacha sifa we mshamba, wenye hela hawajinadi namna hiyo.

Humu kuna kina Ridhwaan kikwete, kina Bashungwa, kina Bakhresa Jr's, wajukuu wa Asas, kina Abdiel Mengi na vigogo kibao! Ila hawajishaui kama wewe mpumbavu na kiakaunti chako cha salary account cha CRDB... au unajisemesha uwaoshee majimama humu?! Huna lolote mwanetu we ni KENGE tu!
Utakuta ni apeche alolo moja hivi toka huko kazuramimba , si unajua siku hizi smart phones used bei chee na ID Fake humu ,basi tabu tupu
 
Nimeamua kuacha kumjibu sababu he is a desperate , incoherent racketeer playing into ephemeral populism.

Premise ya mada yake ilisema wabongo wa US , CA na UK ni choka mbaya .

Nimempa takwimu ya remittance kahama kasema ni takwimu uchwara akageukia kwenye certificates, sasa mtu kama huyu unaona yuko sawasawa upstairs kweli?

Anasema watu hawarudi kwao anataka kila diaspora humu aonyeshe entry & exit stamps ?

Hakuna popote alipoweka evidence ya rate ya watu na umasikini wao , wala idadi ya watu wanaorudi wala kutoka na ajabu tu ni mtu analinganisha status ya kimaisha ya mtu wa US na TZ kwa kuendesha BWM ! absolutely pathetic

He is just a muttonhead wannabe .
Huwa wakinyimwa visa au wakiwa deported ndiyo wanavyokuwa. Wanachukia kila kitu related to those countries
 
🀣🀣🀣Utasikia wahuni shemeji yenu Hana simu,,,sijasikia miluzi.....wee wahuni hapo wanaweza ng'oa hata tyre la bmw
🀣🀣🀣🀣 hataree
Msaga sumu pembeni, mbona pambeeeeπŸ‘Œ
Watuwacheee wazaramo sieeee
 
Back
Top Bottom