Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Wacha sifa we mshamba, wenye hela hawajinadi namna hiyo.

Humu kuna kina Ridhwaan kikwete, kina Bashungwa, kina Bakhresa Jr's, wajukuu wa Asas, kina Abdiel Mengi na vigogo kibao! Ila hawajishaui kama wewe mpumbavu na kiakaunti chako cha salary account cha CRDB... au unajisemesha uwaoshee majimama humu?! Huna lolote mwanetu we ni KENGE tu!
Ha ha ha 😳😳😳
Shem TUKANA UONE hohehahe anakuita kenge etii!!
Sasa mkuu niunganishe na rizi moko kwanza kuna kero huku chalinze nataka nimwambie atutatulie 😜
 
Marekani ya leo unaweza ukafanya kazi zaidi ya tatu na ukashindwa make ends meet. Do your own research. Ukiumwa ulipelekwa hospitali na ambulance ni dola 10000. Kama hauna bima ya afya inayoweza kucover matibabu yako unawekwa kwa life support lakini hautibiwi. Leta uthibitisho kubwa niliyoyasema ni ya uongo !!

Hii ni uongo! Kuna bima ya afya ya mpaka dollar 50 kwa mwezi na ukiumwa unatibiwa vizuri tu.
In case kama huna bima ya afya unatibiwa then unapewa bill yako baade ulipe kidogo kidogo
 
Maisha ni magumu Marekani!wengi wa marekani wakija hapa wanashangaa waafrika wanaomiliki nyumba,kule ni mwendo wa kupanga!Acha kudanganya vijana kutoboa ni hapahapa.

Mbona sasa wabongo wengi wanalia maisha yamekua magumu tangu mama aingie madarakani?! Mfumuko wa bei, umeme wa mgao, bei ya Petrol na diesel kupanda n.k
 
Marekani ukiwa na Gereji ya Magari bila shaka wewe utakuwa Makenika,unaenda kuzoa majararani magari mabovu yaliyotupwa unakuja kuyaripea unauza ili upate chochote!.


Aisee kama hiyo ndiyo kazi inayokuweka huko basi bado unasafari ndefu ya mafanikio

Una exposure ndogo sana ndio maana unabwabwaja vitu usivyojua. Kwa kifupi manual skills job kama mechanic, plumbing, carpenter nk zinalipa sana tu kuliko hata baadhi ya white color job.
 
Straight to ignore list.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.

Next.
kwani shida iko wapi kiranga?. ya nini ujisumbue kumpiga tofali?. atahisi unamuogopa, kwa hapa jf kumpiga mtu tofali ni shortcut ya kukimbia mjadala.

mbona kazi ndogo sana, mtishe kidogo kwa kumuwekea screenshot ya miamala yako ya kibenki. sehemu zinaonyesha account number na detail zingine, unaweza kuzi-filter, la misingi ionekane miamala tu.

miaka flani huko nyuma hapa hapa jf nikiwa natumia ID tofauti na hii, niliwahi kufanya hivyo nilipokuwa nabishana na bwege mmoja hivi. baada ya kumuwekea screenshot ya bank statement yangu, akapotea mazima, hakurudi tena.
 
Ndio ni kichekesho lakini ni maisha mazuri tofauti na yale tuliyokuwa tunaishi huko
Sijamaanisha ni maendeleo makubwa ingekuwa nasifia maendele ninhekuwa hata na kiwanda cha samaki pale mwanza, au kiwanda cha kuchambua pamba
Mchizi karudi hana kitu kaja kuanza maisha, kaacha mpaka mtoto
Kuna wanaorudi na visukari tu na stress kibao
Naridhika sababu maisha yanasonga bila vurugu mpaka sasa
Mambo mengine ni taratibu za nilivyojipangia siwezi sema miradi yangu inayonipa kuishi my be baadae naweza kusema mradi wangu kama kutakuwa na umuhimu huo
Nilichoongea ni mfano tu, kwani hata watoto kwnin usicheke mbona vitoto viwili tu, nilidhani una watoto hata kumi?!!
Sababu chochote unauwezo wa kukosoa mkuu hata kiwe kimekamilika,ila ukiamua unaweza kukosoa
Jamaa yangu alistajabu hali aliyonikuta nayo(ndio hivyo tu)
Unataka hao watoto 10 awe nao kwa mara moja? Pengine bado anaongeza, unajua umri wake?
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
@Ellyd
 
Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!

Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.

Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.

Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.

Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.

Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.

Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.

Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.

Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.


Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.

Any way:

Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!
Kuna jamaa anamaneno ya kashfa sana yuko Canada anajiita ellydavid asijeakauona uzii huu
 
Back
Top Bottom