Wabongo wengi wanaojinadi ni hackers huwa ni kelele tu, kwenye vitendo ni sifuri

Bongo hata wasome OS zote ngoma ngumu kwao mana kuwa hacker nayo ni career pia ila bongo wanavamia vamia tu
Kuwa hacker huitaji kujua OS nyingii.. inategema unataka kuingia mfuno gani, ndio itakuongoza ujue nini au ujifunze nini.. Kuna Hacker wazuri sana kwenye Social Engineering .. Huenda una tafsiri yako ya Hacker kaka
 
Kuwa hacker huitaji kujua OS nyingii.. inategema unataka kuingia mfuno gani, ndio itakuongoza ujue nini au ujifunze nini.. Kuna Hacker wazuri sana kwenye Social Engineering .. Huenda una tafsiri yako ya Hacker kaka
Bado naangaza nione nani mwenye maarifa rundo ktk eneo la IT kwa Tz na amekuwa tishio kwa field nzima.
Kama Sanaa ya Elicitation kwa wakufunzi imekuwa mzozo sitarajii kuona kijana hatari
 
Bado naangaza nione nani mwenye maarifa rundo ktk eneo la IT kwa Tz na amekuwa tishio kwa field nzima.
Kama Sanaa ya Elicitation kwa wakufunzi imekuwa mzozo sitarajii kuona kijana hatari
IT ina specialization nyingi sana. Usijidanganye kwamba utakuta kila eneo mtu utakuta yupo vizuri.. hata kwenye ulimwengu wa usalama wa mitandao ipo tofauti , kasome story za haka mashuhuri walio wahi tokea utajifunza.. Naona bado una mentality za darasani sijui chuo
 
Hakuna kitu babu mnapuyanga tu. Nimesoma vitabu vya Mitnick na kuwa memba wa Mitnick Society kwa miaka ila nikitizama bongo vumbi tuu.
 
Hakuna kitu babu mnapuyanga tu. Nimesoma vitabu vya Mitnick na kuwa memba wa Mitnick Society kwa miaka ila nikitizama bongo vumbi tuu.
Bado una uanafunzi. Ukisha mature utakuja futa hizi comment zako. Unaelekezwa alafu unajifanya mjuaji. Wewe unajua watanzia wote au unafanya kazi sector zote ? Acha ujuaji jifunze kwa wengine.. we umeona Mitnick tu ? Kawasome wengine kichwa ifunguke hiyoo
 
Tisi mwenzio hy kazi yk kubwa kudukua chupi za wake za watu matako hy
 
Kama amekamatwa toa datail zake tuwaulize marafiki zetu walioko huko vitengo Kama huwezi weka details za uhakika ni chai hii umepika
 
Sasa mimi ndo nasimamia kesi yake nawe jamaa vipi? [emoji23][emoji23] au unataka tu tujue nawewe una connections huko usalama au una mshkaji huko TISS
Hao usalama Ni watu kama wewe mkuu na hawana jipya na wengine unawazidi uwezo wa kufikiri mpk kwenye IT ila lengo ni kuamini kuwa tuna watu wenye uwezo mkubwa wa IT hapa tz sio hawa wanao tuuzia file za Ha. Tunnel wakijiona wameiva na wengine wanatusumbua na kurepea simu
 
Kuna wale wanafunzi wa chuo huko iringa wali hack system ya malipo ya ada chuoni kwao,so hackers wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…