Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

For the sake ya matumbo yao hao covid 19 wafungue tu hiyo kesi

Mtaani pagumu, haswa kama hujajipanga na una lifestyle ya namna fulani.

Petroli tu zaidi ya 3000!!

Hata ningekuwa mimi kama ingenihakikishia uwepo fwa ugali wangu or 2-3year ningefungua tu
kaka unajua jeuri wanaipata wapi kiasi kushindwa kukiri kosa mbele ya Baraza Kuu la chama chao. mzigo wanao na si wa kitoto.
 
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.

Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"

Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Mdee na wenzake watashinda kwa kishindo
 
Ni mwendawazimu pekee ambaye anaweza kwenda mahakamani kwaajili ya kugomea kufukuzwa au kusimamishwa uwanachama wa chama cha siasa.

Hakuna mahakama ambayo ina uwezo wa kumrudishia mtu uwanachama. Mamlaka za juu kabisa za uamuzi juu ya uwanachama huwa zipo ndani ya chama husika, siyo mahakamani.
Ndiyo maana ccm ukijifanya unakumbilia mahakaman unafukuzwa uanachama haraka sana hlf ndiyo uendelee na hiyo kesi yako sijui utasimama na nan na wakati tayari siyo mwanachama
 
Hamjui tu. Anayeihujumu CHADEMA noi Freeman Aikael Mbowe. Mbowe pia yuko nyuma ya hili sakata.
 
Kikao cha Baraza Kuu ni kikao halali na maamuzi yamefikiwa kihalali, ila kilichofanywa na CC ya Chadema sio kikao halali na utimuaji ni utimuaji batili.

Ikithibitishwa kina Halima Mdee na kundi lake ni hawakutendewa haki, mahakama itasitisha uamuzi wa Baraza Kuu kuwatimua, na kuiamuru Chadema kufuata Katiba sheria taratibu na kanuni kuwatimua rasmi.

Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mwanachama yoyote wa Chadema, akikishataki chama mahakamani, automatically anakuwa amejifuta uanachama wa Chadema.

Hivyo wakienda mahakamani, mahakama itaweka zuio Kwa Bunge kuwavua ubunge, hadi kesi ya msingi isikilizwe na kuamuliwa, that is unazungumzia 2023!.

Uamuzi ikitolewa Chadema iendeshe vikao halali vya mamlaka ya nidhamu na kikao cha Baraza Kuu Chadema kiitishwe tena, that will be 2024!. Uamuzi wa mwisho ukifikiwa in less than 12 months kabla ya uchaguzi unaofuata, kina Halima Mdee na kundi lake wanavuliwa ubunge, ila Chadema haipewi tena fursa ya kupeleka majina mengine!.
P
Huo unabii wako ni feki kwani kwanza sasa hivi vyesi havitakiwi kukaa muda mrefu mahakamani na mahakama haiwezi kupingana na katiba ya chama chochote cha siasa.

Hivyo uamuzi wa kuwafukuza hao wanawake utabaki palepale kwa sababu umefanyika kwa kufuata katiba ya chama cha Chadema hivyo nyie huko ccm kama mnawataka hao wanawake basi mnaweza tu mkawachukua.
 
Ndiyo maana ccm ukijifanya unakumbilia mahakaman unafukuzwa uanachama haraka sana hlf ndiyo uendelee na hiyo kesi yako sijui utasimama na nan na wakati tayari siyo mwanachama
Mimi kinachoniuma ni je? Tutaendelea kuwalipa tzs 3bilion Kwa mwaka wakati kesi ipo mahakani!? Huku baadhi ya shule hazina madawati!?
 
Kesi za JUDICIAL REVIEW sijawahi kuziona umuhimu wake, iwe CERTIORARY,MANDAMUS au PROHIBITION zinarudishwa kwenye body au taasisi zilezile zilizosikiliza
Kesi za JUDICIAL REVIEW sijawahi kuziona umuhimu wake, iwe CERTIORARY,MANDAMUS au PROHIBITION zinarudishwa kwenye body au taasisi zilezile zilizosikiliza
Siyo CERTIORARY ni CERTIORARI
 
Kikao cha Baraza Kuu ni kikao halali na maamuzi yamefikiwa kihalali, ila kilichofanywa na CC ya Chadema sio kikao halali na utimuaji ni utimuaji batili.

Ikithibitishwa kina Halima Mdee na kundi lake ni hawakutendewa haki, mahakama itasitisha uamuzi wa Baraza Kuu kuwatimua, na kuiamuru Chadema kufuata Katiba sheria taratibu na kanuni kuwatimua rasmi.

Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mwanachama yoyote wa Chadema, akikishataki chama mahakamani, automatically anakuwa amejifuta uanachama wa Chadema.

Hivyo wakienda mahakamani, mahakama itaweka zuio Kwa Bunge kuwavua ubunge, hadi kesi ya msingi isikilizwe na kuamuliwa, that is unazungumzia 2023!.

Uamuzi ikitolewa Chadema iendeshe vikao halali vya mamlaka ya nidhamu na kikao cha Baraza Kuu Chadema kiitishwe tena, that will be 2024!. Uamuzi wa mwisho ukifikiwa in less than 12 months kabla ya uchaguzi unaofuata, kina Halima Mdee na kundi lake wanavuliwa ubunge, ila Chadema haipewi tena fursa ya kupeleka majina mengine!.
P
Well and good .... Kwani madhumuni ya chadema ni nini? Kuwafuta uanachama hao covid-19 .... hayo mambo ya ubunge ni njaa zenu za matumbo yenu ....
Pascal unashabikia haya mambo kama wajinga wajinga .... after all what do you gain by these acts of infidelity... foolish kabisa
 
  1. Mkuu Tindo, kwanza nikupongeze kwa your objectivity kwenye kulijadili hili, ni kweli nimesoma sheria na sijawahi kukanyaga mahakamani.
  2. Kwa vile mahakama ndio the statutory body ya kutoa haki Tanzania, kwa mujibu wa katiba, Chadema walipofanya yale mabadiliko ya Katiba ya 2006, na kukichomekea kifungu kinachokwenda kinyume cha katiba ya JMT, kiukweli kabisa there was an oversight ofisi ya msajili, katiba hiyo ilipaswa ikataliwe!.
  3. Mwana Chadema anapotendewa ndivyo sivyo na chama chake, aende wapi kuipata haki yake?.
  4. kule nyuma nilishauri mahali CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
    1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
    2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
    3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
    4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
    5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
    6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
    7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
    8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.Jibu litapatikana on Monday.
  • This is my own recollection.
    P.

Naona ni muda sasa unalazimisha kuwa kuna mtu mnene aliwasainia akina Halima hiyo barua. Huu ni uzushi kama uzushi mwingine, na kwakuwa umejikita kwenye uzushi ndio unapoegemezea hoja zako na nongwa zako zote. Hakuna aliyemkataza Halima au yoyote wa Covid kumtaja huyo mtu. Je unaweza kutusaidia huyo mtu mnene wa cdm ndie aliyemtoa Nusrat Henje gerezani usiku ili akaapishwe?

Cdm hata kama ikitokea wakapeleka wabunge wengine sio kwakuwa wanatambua matokeo yale kuwa ni halali, bali ni kwa ajili ya kupata vijisenti vya kuendeshea shughuli za chama chako, na sio zaidi ya hapo. Na hao akina Halima Mdee huko mahakamani hata wakitaka wakaishi na familia zao sio kwenda kudai haki, maana mahakama zetu sio sehemu ya kudai haki tena, bali ni sehemu ya kwenda kufanyiana mizengwe, hila, na kupitisha mipango michafu kwa mlango wa sheria.
 
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.

Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"

Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Kwani wakishavuliwa uanachama ni jukumu la SPIKA kuulizia apate ufafanuzi kutoka chama kilichoandika barua? Au ndiyo hiyo delaying tactics?
 
Kikao cha Baraza Kuu ni kikao halali na maamuzi yamefikiwa kihalali, ila kilichofanywa na CC ya Chadema sio kikao halali na utimuaji ni utimuaji batili.

Ikithibitishwa kina Halima Mdee na kundi lake ni hawakutendewa haki, mahakama itasitisha uamuzi wa Baraza Kuu kuwatimua, na kuiamuru Chadema kufuata Katiba sheria taratibu na kanuni kuwatimua rasmi.

Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mwanachama yoyote wa Chadema, akikishataki chama mahakamani, automatically anakuwa amejifuta uanachama wa Chadema.

Hivyo wakienda mahakamani, mahakama itaweka zuio Kwa Bunge kuwavua ubunge, hadi kesi ya msingi isikilizwe na kuamuliwa, that is unazungumzia 2023!.

Uamuzi ikitolewa Chadema iendeshe vikao halali vya mamlaka ya nidhamu na kikao cha Baraza Kuu Chadema kiitishwe tena, that will be 2024!. Uamuzi wa mwisho ukifikiwa in less than 12 months kabla ya uchaguzi unaofuata, kina Halima Mdee na kundi lake wanavuliwa ubunge, ila Chadema haipewi tena fursa ya kupeleka majina mengine!.
P
Imechukua mwaka na nusu kuitisha Baraza Kuu. Kesi ikiunguruma hadi 2024 na uamuzi ukatolewa mfano Dec 2024, Baraza litaitishwa June 2026!!! Kwa kifupi hawa Covid 19 watakuwa wamemaliza miaka 5 wakiwa Bungeni. Tuombe haya mambo yaishe mapema ili CHADEMA waweze kuendesha siasa badala ya kuwa wanaendesha kesi kila kukicha.
 
Athari za ujinga huu ndio zinammaliza Samia katika juhudi zake za kuleta maridhiano na Chadema.
Anajivua joho mwenyewe na kukaa bila nguo
Chadema ni kitu gani hata wasipokuwepo kutakuwa na hasara gani?
 
Itakuwa ni kama ile ya Zitto na Chadema- Tundu Lissu na Yule wakili sijui nani vile kwa sasa mkuu wa wilaya... nafikiri chadema walisha jifunza zile technicalities za kumfukuza mtu uanachama na kosa si kutenda kosa bali kurudia kosa ndio kosa lenyewe. Isidingo part 3 inasubiriwa kwa hamu sana, Martin Maranja Masese kaa tayari kutuletea habari za mahakamani na viunga vyake...
Kesi hiyo itaenda hadi 2025
 
Kuna popote nimesema mimi kuwa nina akili kuliko mawakili wa Chadema?. Kusoma sheria sio kuwa Wakili. Kuna wanasheria kibao very bright and brilliant na hawasimami mahakamani!.

The best wa sheria Chadema ni Tundu Lissu, nimemtangulia miaka 2 pale Ilboru. LL.B yangu ni ya UDSM and it's (Hons)!. Sio kila aliyesoma sheria anafanya litigations.

Not always the best runners win the race, or the best fighters win the fight,
this time around, Chadema inakwenda kushikishwa adabu!. Haiwekani kila siku ifanye uhuni iachwe hivi hivi!. Mdee ni Kisiki cha mpingo!.
P


  1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
  2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
  3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
  4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
  5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
  6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaingaganywyywigi mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
  7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
  8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.
Jibu litapatikana on Monday.

This is my own recollection.
P.
Ndugu UKWELI hauch
Kuna popote nimesema mimi kuwa nina akili kuliko mawakili wa Chadema?. Kusoma sheria sio kuwa Wakili. Kuna wanasheria kibao very bright and brilliant na hawasimami mahakamani!.

The best wa sheria Chadema ni Tundu Lissu, nimemtangulia miaka 2 pale Ilboru. LL.B yangu ni ya UDSM and it's (Hons)!. Sio kila aliyesoma sheria anafanya litigations.

Not always the best runners win the race, or the best fighters win the fight,
this time around, Chadema inakwenda kushikishwa adabu!. Haiwekani kila siku ifanye uhuni iachwe hivi hivi!. Mdee ni Kisiki cha mpingo!.
P


  1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
  2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
  3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
  4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
  5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
  6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
  7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
  8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.
Jibu litapatikana on Monday.

This is my own recollection.
P.
UKWELI hauchangamani na UONGO. Yaani taaluma Yako ya Sheria uitumie KISIASA Kwa maslah ya CCM! Usijitoe UFAHAMU ngugu kupotosha.

Masuala ya Uanachama ktk vyama vya siasa au soka hayapelekwi Mahakamani. Ukifukuzwa na Baraza kuu hupeleki shauri Mahakamani.


Zitto Kabwe aliwahi jaribu kwenda mahakamani akaondoa KESI mwenyewe. Ukiaminiwa na watu tafadhali waambie KWELI.
 
Naona ni muda sasa unalazimisha kuwa kuna mtu mnene aliwasainia akina Halima hiyo barua. Huu ni uzushi kama uzushi mwingine, na kwakuwa umejikita kwenye uzushi ndio unapoegemezea hoja zako na nongwa zako zote. Hakuna aliyemkataza Halima au yoyote wa Covid kumtaja huyo mtu. Je unaweza kutusaidia huyo mtu mnene wa cdm ndie aliyemtoa Nusrat Henje gerezani usiku ili akaapishwe?

Cdm hata kama ikitokea wakapeleka wabunge wengine sio kwakuwa wanatambua matokeo yale kuwa ni halali, bali ni kwa ajili ya kupata vijisenti vya kuendeshea shughuli za chama chako, na sio zaidi ya hapo. Na hao akina Halima Mdee huko mahakamani hata wakitaka wakaishi na familia zao sio kwenda kudai haki, maana mahakama zetu sio sehemu ya kudai haki tena, bali ni sehemu ya kwenda kufanyiana mizengwe, hila, na kupitisha mipango michafu kwa mlango wa sheria.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiambiwa chadema ni genge la wahuni uwe unaelewa!

Subiri ujionee
 
Mahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
Huyu sijui akili amepeleka wapi! Mwanzo mwisho ni kutetea Covid 19, aungane na Spika Tulia anayejaribu kufanya delaying tactics kwamba eti ataandika barua kuwauliza Cadema ufafanuzi wa barua yao waliyomwandikia kuwafukuza uanachama. Sijui CCM Wana interest gani na Hawa Covid 19.
 
Mahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
Katiba ya CCM inatambua Hilo? CCM iheshimu maamuzi ya vyama vingine mbona wao wakiwafukuza wanachama wao hawaendi mahakamani? CCM inajimaliza Kwa kukumbatia mambo ambayo siyo yake
 
TULIA ACKSON ANADHALILISHA SANA UKRISTO, ULOKOLE WAKE PAMOJA NA KANISA LAKE LA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD ( T.A.G).

ANAMINYA HAKI BILA AIBU NA KANISANI ANAPEWA SITI YA MBELE.
Watu aina yake ndio wanakua Kuni huko motoni.
 
Hua nashindwa kuelewa hv Tz mtu ukiwa kiongoz akili hua zinaenda wapi?Mbowe hapo kachemsha na cdm nzima ,wanajua kabisa hao wabunge hawawez kutolewa,wao wangewasamehe afu wajipange 2025 waachane nao,
Huo sio utaratibu. Chadema wako sahihi kusimamia haki. Ukiwasamehe hawa kila mmoja atafanya atakalo akitegemea msamaha.
Hawa wamama wanatakiwa washtakiwe. Sio kufukuzwa tuu.
 
Back
Top Bottom