Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

Wabunge 19 kufungua kesi, vigogo CCM na ofisi ya Spika wahusishwa katika uratibu

TULIA ACKSON ANADHALILISHA SANA UKRISTO, ULOKOLE WAKE PAMOJA NA KANISA LAKE LA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD ( T.A.G).

ANAMINYA HAKI BILA AIBU NA KANISANI ANAPEWA SITI YA MBELE.
Wewe sijui unaongea Nini? CCM wameiba kura mpaka wanaweka kura bandia, kupitishina bila kupingwa na uchafu kibao wa ushindi lakini kesho take tu wako makanisani na misikitini wakimwomba "Molla", Kama vile walichofanya dhulma ya kujeruhi watu na kuua ni kitu kidogo, halafu wewe unasema Spika Tulia anakaa mbele kanisani? Huwajui hawa?
 
Kuna popote nimesema mimi kuwa nina akili kuliko mawakili wa Chadema?. Kusoma sheria sio kuwa Wakili. Kuna wanasheria kibao very bright and brilliant na hawasimami mahakamani!.

The best wa sheria Chadema ni Tundu Lissu, nimemtangulia miaka 2 pale Ilboru. LL.B yangu ni ya UDSM and it's (Hons)!. Sio kila aliyesoma sheria anafanya litigations.

Not always the best runners win the race, or the best fighters win the fight,
this time around, Chadema inakwenda kushikishwa adabu!. Haiwekani kila siku ifanye uhuni iachwe hivi hivi!. Mdee ni Kisiki cha mpingo!.
P


  1. Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
  2. Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
  3. Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
  4. Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
  5. Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
  6. Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
  7. Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
  8. Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.
Jibu litapatikana on Monday.

This is my own recollection.
P.
Your own recollection is rubbish, mr. Pasco!
 
Kama CCM inawathamini basi iwachukuwe kabisa.Kesi ya taraka kwa majirani inawahusu nini?
Hakuna haja ya Covid-19 kugangania ubunge wa dezo aka viti maalumu. Uongozi wa Chadema umetamka wazi tena kwa kupiga kura,wamewafuta uanachama.
 
Well and good .... Kwani madhumuni ya chadema ni nini? Kuwafuta uanachama hao covid-19 .... hayo mambo ya ubunge ni njaa zenu za matumbo yenu ....
Pascal unashabikia haya mambo kama wajinga wajinga .... after all what do you gain by these acts of infidelity... foolish kabisa

Paskali ana nongwa na cdm, sasa anaumia sana yakifanyika maamuzi ambayo hayabebi uzushi wake. Hana lolote analopata, ila nafsi inamuuma yanapofanyika maamuzi ya kitaasisi asiyoyapenda. Nashangaa anajisifia ni msomi lakini hawezi kuanzisha chama chake akifanye kiwe bora, yeye anahangaika na vyama vya wenzake wenye uthubutu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiambiwa chadema ni genge la wahuni uwe unaelewa!

Subiri ujionee

Nikiambiwa cdm ni genge la wahuni inapaswa nikubali, na anayeniambia ni Paskali, yeye mwenyewe anategemea kujipendekeza na kuichafua cdm ili apate uteuzi!
 
Ivi kweli wabunge 19 wa chadema kwenda Mahakamani kutetea ugali wao wali hitaji vigogo wa CCM kuratibu!!! Yaani mnatuona watanzania wote ma mbumbumbu?
 
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.

Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"

Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Yes na Wao wanaenda mahakamani kuchalange utaratibu uliotumika kuwaondolea Uanachama na Respondent atakuwa ni The Board of trustees of Chadema tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hilo suala la akina Mdee wala halimuumizi Paskali, yeye anaumizwa na maamuzi ya cdm, kwani hayaendi sawa na matamanio yake. Kwa ujumla cdm inamtesa sana Paskali.
Baladala apambane wamwone wampe kacheo,anahangaika na chadema ambao anatamani wasiwepo kwenye siasa za bongo kama walivyo wanakijani wenzie🏃
 
Ivi kweli wabunge 19 wa chadema kwenda Mahakamani kutetea ugali wao wali hitaji vigogo wa CCM kuratibu!!! Yaani mnatuona watanzania wote ma mbumbumbu?
Hii habari imepostiwa hapa kama tetesi, itriti hivyo, Kama wewe ni mmojawapo wa Watanzania ambao siyo mambumbumbu!
 
Baladala apambane wamwone wampe kacheo,anahangaika na chadema ambao anatamani wasiwepo kwenye siasa za bongo kama walivyo wanakijani wenzie🏃

Cdm ndio yenye mvuto, hivyo akiichafua ndio anakuwa kwenye mazingira ya kuonekana. Halafu anataka atambue huku mitandaoni cdm ikikutana na changamoto kuwa aliionya. Paskali bado ana ile mikwara ya kishamba kuwa yeye ni afisa kitengo akiamini watu wanaisujudia hiyo kitengo anayojinasibisha nayo.
 
For the sake ya matumbo yao hao covid 19 wafungue tu hiyo kesi

Mtaani pagumu, haswa kama hujajipanga na una lifestyle ya namna fulani.

Petroli tu zaidi ya 3000!!

Hata ningekuwa mimi kama ingenihakikishia uwepo fwa ugali wangu or 2-3year ningefungua tu
Alafu unapoteza pesa zote ulizopata kwa miaka miwili mahakamani! Kama ingekua mimi ningejikita kwenye biashara nyingine tu!
 
Nadhani kama wanazidi kujipotezea time na mvuto wa kisiasa....

Wangejifunza kunyamaza kama akina Jasusi mbobezi na kinana,, wakati ukifika watasamehewa tu
 
Samia anahusikaje hapa mkuu?
Indirectly ?!! Hizo zitakuwa ni speculations tu !! Suala hili litaondoka kwenye siasa litaingia kwenye sheria likipelekwa mahakamani ! Na ni lazima litapelekwa Mahakamani !! Hapo sasa mchezo wa Draft utaanza, mwenye ujuzi wa kuzipanga kete zake vizuri ndiye atakayeshinda !! Au ngoma droo mpaka 2025 !!
 
Huyu sijui akili amepeleka wapi! Mwanzo mwisho ni kutetea Covid 19, aungane na Spika Tulia anayejaribu kufanya delaying tactics kwamba eti ataandika barua kuwauliza Cadema ufafanuzi wa barua yao waliyomwandikia kuwafukuza uanachama. Sijui CCM Wana interest gani na Hawa Covid 19.
Ndivyo zilivyo hizi Sihasa kila siku wapinzani wenu wanawatafutia majanga tu ili mparurane !! Wao wapate cha kuongea !!
 
Back
Top Bottom