eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Wewe sijui unaongea Nini? CCM wameiba kura mpaka wanaweka kura bandia, kupitishina bila kupingwa na uchafu kibao wa ushindi lakini kesho take tu wako makanisani na misikitini wakimwomba "Molla", Kama vile walichofanya dhulma ya kujeruhi watu na kuua ni kitu kidogo, halafu wewe unasema Spika Tulia anakaa mbele kanisani? Huwajui hawa?TULIA ACKSON ANADHALILISHA SANA UKRISTO, ULOKOLE WAKE PAMOJA NA KANISA LAKE LA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD ( T.A.G).
ANAMINYA HAKI BILA AIBU NA KANISANI ANAPEWA SITI YA MBELE.
Your own recollection is rubbish, mr. Pasco!Kuna popote nimesema mimi kuwa nina akili kuliko mawakili wa Chadema?. Kusoma sheria sio kuwa Wakili. Kuna wanasheria kibao very bright and brilliant na hawasimami mahakamani!.
The best wa sheria Chadema ni Tundu Lissu, nimemtangulia miaka 2 pale Ilboru. LL.B yangu ni ya UDSM and it's (Hons)!. Sio kila aliyesoma sheria anafanya litigations.
Not always the best runners win the race, or the best fighters win the fight,
this time around, Chadema inakwenda kushikishwa adabu!. Haiwekani kila siku ifanye uhuni iachwe hivi hivi!. Mdee ni Kisiki cha mpingo!.
P
Jibu litapatikana on Monday.
- Sakata la wabunge 19 wa viti maalum wa Chadema ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha kwa kugomea nafasi 18 za viti maalum walizopewa na NEC.
- Kwa msaada wa kiongozi mmoja mkubwa wa Chadema, Halima Mdee akiwa na Esta Bulaya, wakam convince umuhimu wa nafasi hizo kwa Chadema, akawakubalia kwa shurti wasimtaje.
- Halima akawaorganize Wanawake wa Chadema kwa kuanzia na waliokuwa wabunge, wengine wakikubali, wengine walikataa, kwa waliokubali wakaunda a coalition of the willing
- Barua bonafide genuine ikaandikwa, mnene akawasainia in return na yeye kuchomekea hapo kakidumu chake, yakaenda NEC, watu wa fursa wakaichangamkia fursa.
- Hivyo ni Chadema wenyewe ndio walilianzisha na hizi kati ni Chadema wenyewe wamelimaliza Kwa kikao cha Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ya Chadema iliyo wafukuza.
- Walipopewa fursa ya kujitetea kwenye kikao cha Baraza Kuu, Halima Mdee akafanya kitendo kingine cha kishujaa kweli kweli kwa kutounguza picha ya Kilichopelekea kwa natumaini mnene yule angewaombea msamaha angalau wabaki wanachama wa kawaida!. Hili halikufanyika hivyo kilichofanywa na Baraza Kuu kuyabariki maamuzi batili ya CC ni uhuni.
- Sasa baada ya kuwatimua, ushauri wa bandiko hili bado uko valid, Chadema lazima sasa wautambue uchaguzi, wakubali matokeo, wafanye uteuzi wa wabunge wapya wakaapishwe maisha yaendelee.
- Kikwazo ni kimoja, utimuaji uliofanywa na CC ya Chadema ni batili, na baada ya kuonja fursa, jee watakubali matokeo, jee wataukubali ubatili huu au watakwenda mahakamani kutafuta haki yao?.
This is my own recollection.
P.
Ok kingine ulichokiona ni spelling error tu mpaka ukaamua kuandika?Siyo CERTIORARY ni CERTIORARI
Well and good .... Kwani madhumuni ya chadema ni nini? Kuwafuta uanachama hao covid-19 .... hayo mambo ya ubunge ni njaa zenu za matumbo yenu ....
Pascal unashabikia haya mambo kama wajinga wajinga .... after all what do you gain by these acts of infidelity... foolish kabisa
Sio hizi mahakama za tanzania zinazochezewa na watawala. Sio hizi mahakama ambazo majaji wanateuliwa na rais. Acha kujiaibisha kuwa na akili SametimesMahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki ndani ya JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiambiwa chadema ni genge la wahuni uwe unaelewa!
Subiri ujionee
Kweli kabisa, kesi hii itazaa kesi nhingine ya kugushi nyarakaCCM wanajimaliza wenyewe.
Wanawake mnatesekaga na wivu, sasa unaitaka nafasi ya mwenzako Mukya?! Tafuta kujua viwanja vya Mbowe, jipake wanja ukamwekee mtego!Utakuwa wewe ndo Joyce Mukya si kwa hasira hizo
Yes na Wao wanaenda mahakamani kuchalange utaratibu uliotumika kuwaondolea Uanachama na Respondent atakuwa ni The Board of trustees of Chadema tuTayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.
Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.
Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza.
Tayari vigogo kadhaa wa CCM kisiri wanahusishwa katika kutoa miongozo na kufanikisha mkakati huo. Ofisi ya spika wa bunge nayo inatajwa kuwa inahusika katika kuratibu zoezi hili, na inategemewa kuwa jumatatu ijayo Spika atazungumza bungeni kubariki wabunge wa covid 19 kuendelea kukaa bungeni kwa mtindo wa kuchelewesha (delay tactic). Kauli kama hii inategemewa kutolewa na Spika, "tayari nimepokea barua rasmi kutoka CHADEMA lakini kuna mambo kadhaa yanamchanganyiko hivyo ningehitaji ufafanuzi zaidi kabla ya kuchukua uamuzi, hivyo nitamwandikia barua katibu mkuu wa CHADEMA ili kuomba ufafanuzi wa barua yake na baada ya hapo ofisi ya spika itakaa upya ili kupitia maudhui ya barua hiyo na kuamua, hivyo basi wabunge wale 19 wataendelea kuwepo bungeni"
Habari za ndani ya Chadema zinasema kuwa uongozi wa chama hicho unazo hizo habari na mawakili wa Chama hicho wako tayari standby wakati wowote kukabiliana na kesi hizo mara tu zitakapofunguliwa.
Baladala apambane wamwone wampe kacheo,anahangaika na chadema ambao anatamani wasiwepo kwenye siasa za bongo kama walivyo wanakijani wenzie🏃Hilo suala la akina Mdee wala halimuumizi Paskali, yeye anaumizwa na maamuzi ya cdm, kwani hayaendi sawa na matamanio yake. Kwa ujumla cdm inamtesa sana Paskali.
Hii habari imepostiwa hapa kama tetesi, itriti hivyo, Kama wewe ni mmojawapo wa Watanzania ambao siyo mambumbumbu!Ivi kweli wabunge 19 wa chadema kwenda Mahakamani kutetea ugali wao wali hitaji vigogo wa CCM kuratibu!!! Yaani mnatuona watanzania wote ma mbumbumbu?
Baladala apambane wamwone wampe kacheo,anahangaika na chadema ambao anatamani wasiwepo kwenye siasa za bongo kama walivyo wanakijani wenzie🏃
Alafu unapoteza pesa zote ulizopata kwa miaka miwili mahakamani! Kama ingekua mimi ningejikita kwenye biashara nyingine tu!For the sake ya matumbo yao hao covid 19 wafungue tu hiyo kesi
Mtaani pagumu, haswa kama hujajipanga na una lifestyle ya namna fulani.
Petroli tu zaidi ya 3000!!
Hata ningekuwa mimi kama ingenihakikishia uwepo fwa ugali wangu or 2-3year ningefungua tu
Ccm itagaramia mawakili wa hao wamama.
Ila mchuano utazidi ule wa kutafuta bingwa wa komb
Wapoteze mara ngapi ?Nadhani kama wanazidi kujipotezea time na mvuto wa kisiasa....
Wangejifunza kunyamaza kama akina Jasusi mbobezi na kinana,, wakati ukifika watasamehewa tu
Indirectly ?!! Hizo zitakuwa ni speculations tu !! Suala hili litaondoka kwenye siasa litaingia kwenye sheria likipelekwa mahakamani ! Na ni lazima litapelekwa Mahakamani !! Hapo sasa mchezo wa Draft utaanza, mwenye ujuzi wa kuzipanga kete zake vizuri ndiye atakayeshinda !! Au ngoma droo mpaka 2025 !!Samia anahusikaje hapa mkuu?
Watu wenye jicho la tatu ndio wenye uwezo wa kuona hicho ulichokiandika !!!Ccm itagaramia mawakili wa hao wamama.
Ila mchuano utazidi ule wa kutafuta bingwa wa kombe la dunia
Ndivyo zilivyo hizi Sihasa kila siku wapinzani wenu wanawatafutia majanga tu ili mparurane !! Wao wapate cha kuongea !!Huyu sijui akili amepeleka wapi! Mwanzo mwisho ni kutetea Covid 19, aungane na Spika Tulia anayejaribu kufanya delaying tactics kwamba eti ataandika barua kuwauliza Cadema ufafanuzi wa barua yao waliyomwandikia kuwafukuza uanachama. Sijui CCM Wana interest gani na Hawa Covid 19.