Wabunge 19 Viti Maalum CHADEMA wafungua kesi. Bunge lasema linasubiri uamuzi wa Mahakama Kuu

Wabunge wa CCM walipofukuzwa hawakwenda mahakamani
 
Nimesoma kupitia mtandao wa Jamii foroums kuwa Wabunge 19 wa CHADEMA wamefungua kesi Mahakamani. Je CHADEMA itakubali kwenda kutoa utetezi Mahakamani?.
 
Hili Jambo tulilitegemea wengi...maamuzi ya mahakama yatatoka 2025...covid wanavuta mafao wanaelekea wanakostahili...
 
Tulia ww Bavicha ufundishwe uongozi.
 

Mbona kwa Lissu mahakama ilisema haitawaingilia Bunge?
 

Ni kwa sababu hawakuwahi kwenda mahakamani!
 
Mwendelezo wa ushenzi wa awamu iliopita. Upuuzi huu unamchafua hadi mama. Mahakama iliyo wapiga dana dana masheikh wa Zanzibar na Mbowe siyo chombo cha kutenda haki.
Kwa hiyo unataka Rais aingilie maamuzi ya mahakama?

Mama anaheshimu sheria

Mambo ya bunge yabaki bungeni

Mahakama pia ibaki kuwa mahakama

Msimpe mama lawama asizohusika nazo
 

Yote haya kisa Ni chadema. Yani katika nchi Chadema haina haki hata kwa wanachama wake?.
 
Wewe na wewe unajifanya unaakili kumbe ni kichwa cha panzi tu, Bunge ndilo limemaliza na sasa ni mapambano ya kesi kati Wabunge 19 na chadema mahakamani, na Kule wanaenda kuangalia km mchakato wa kuwafukuza ulifanyika sahihi aunque batili pamoja na hoja nyingine ambazo zitakuwa zimefika mahakamani dhidi ya kesi Hiyo ambayo sasa ni mpambano kati ya Kinahalima Mdee na Chadema
 
Kwanza huyu Tulia anasubiri simu kutoka Ikulu, hana maajabu yoyote yale, yupo yupo tu kusubiria maelekezo ya Samia na system juu ya hawa covid 19.
 

Ukiwahibmahakamani basi mambo yote yanasimama. Rejea kesi ya Zitto Kabwe alipofukuzwa na Chadema. Kesi ilikaa miaka miwili hadi bunge linavunjws na yeye kupata haki zake zote kama mbungr mstaafu! Hata hii inaweza kuunguruma miaka mitatu hadi 2025.
 
Huwa najiuliza maswali mengi sipati majibu.. hivi CCM inafaidika vp na hao wabunge 19? Kwanini mnahubiri maridhiano wakati nyie hampo tayari? Mnaturudisha nyuma Sana. Achanane na siasa za kukomoana tusonge mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…