Wabunge 19 wa CHADEMA- Matokeo ya kughushi uchaguzi wa 2020

Wabunge 19 wa CHADEMA- Matokeo ya kughushi uchaguzi wa 2020

Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Wewe kwa nafasi yako umefanya nini kabla ya kuanza kulaumu wengine?
 
CHADEMA wafukuze hizi takataka kabisa
FB_IMG_1648410131191.jpg
 
Inasikitisha sana...

Kuna mmoja alisema hata baada ya yeye na mke wake kujipigia kura na bado matokeo yakasema amapeta kura sifuri... inakujae sasa...
 
Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Yaani ujinga wa magufuli,unauleta kwa wapinzani??unamjua Mbowe wewe??ana uwezo wa kukulisha wewe na ukoo wako mpaka ufe.hana njaa
 
Yule mtu alikuwa mshenxi hasa. Kwanza ni fedheha kwa taifa kuendelea kulitumia jina lake katika vitu vya kitaifa kama madaraja, barabara au stand.

Pia hata familia yake kuipatia pension na stahili zingine ni makosa maana alipaswa kulaaniwa yeye na uzao wake hadi kizazi cha tatu.
Maelfu ya watu wameharibikiwa maisha hadi wengine ni vilema au kufa kwa sababu za roho yake mbaya kisha wana mtajataja kama wa maana vile mtu wa maana vile?
Amen,uko sahihi
 
Uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kughushi-forgeries, kwa vigezo vyote.
Hata CCM wanalijua hilo.

Mazingira na mipango yote ya serikali ilitayarishwa ili mtu mmoja aamue, na ni kwa matakwa yake tu, nani anaingia bungeni.
Kuanzia tume ya uchaguzi, wasimamizi hadi kura za mabegi za kughushi.

Watanzania wanalijua hilo.

Kuna wakati Magufuli alisema hadharani, siwezi kumpa DED kazi na akampitisha mpinzani kuwa mbunge ati kisingizio uchaguzi!

Aliyetayarisha huo ughushi hakuwa na akili sana, matokeo yake yakawa predictable. Nchi nzima mpinzani aliyepata kura ni mmoja tu!
Naye sijui alipitaje!

Kwa viongozi wa kughushi wakawa wamejipatia tatizo jingine kubwa.

Kuna nafasi za kamati bungeni Kikatiba lazima ziongozwe na kambi ya upinzani! Sasa ilibidi Forgerer-in-Chief aagize forgery na kuwaingiza tume ya uchaguzi kughushi namna ya kuwaingiza hao wajumbe 19 toka upinzani kwa nafasi ya wanawake.

Mchezo ulichezwa na Spika Ndugai na tume ya uchaguzi.

Hapo ndipo tulipo-wabunge 19 wa CHADEMA wa kughushi, na wengine wengi tu wa CCM.
Uchafu haudumu kamwe. Yuko wapi forgerer-in-chief na Ndugai? Covid-19 nao mavi tele.
 
Hakina Mdee na wao wangezisusia hizo nafasi, sasa hivi CDM wangeweza kuzidai tena.

Zipo kwa sababu watu walizichukua, ndio maana kuna uwezekano wa kuzidai.

If anything maamuzi ya hakina Mdee yanadhihirisha Mbowe ni mtu wa ovyo na maamuzi yake ni emotional sio rationale at all ndio maana wakaona wafanye yao kipindi.

Hakuna watu ovyo kama nyumbu wa CDM.
 
Ingawa sisi hatushiriki katika hukumu ya Mungu, ila huyu muhuni Mungu amtese huko aliko na wale wanufaikaji wake hapa duniani wateseke mateso yasiyo vumilika wasipo tubu.
 
Yaani ujinga wa magufuli,unauleta kwa wapinzani??unamjua Mbowe wewe??ana uwezo wa kukulisha wewe na ukoo wako mpaka ufe.hana njaa
Kwa kua anakupiga miti na kukulisha basi unaamini kila mtu humu ana njaa kama wewe na ukoo wenu.
 
Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Sishawishiki saana kuamini mchango wako ingawa pia nashindwa kukupinga at the same time, najiuliza; hivi kwa mazingira yale enzi za mwendazake, hao wapinzani wa kweli (ambao wewe unasema hawapo ) hivi wangefanyaje ili tujue kwamba tunao wapinzani wa kweli? Mtu kabomolewa jengo lake la biashara (Bilcanas club ), kafungiwa chombo chake cha habari (Tanzania Daima ), kang'olewa green gaden yake, mbomoaji ambaye alikua DC kapandishwa cheo hadi kua mkuu wa mkoa baadae kapewa UBUNGE, kavunjwa miguu yake muda mfupi kabla ya uchaguzi, halafu accounts zake zote (za biashara na hata ya mshahara wake wa ubunge ) zikafungwa, hachukui hata mshahara cause account imefungwa, wabunge wake wametongozwa almost wote ili "waunge mkono juhudi" hivi mtu wa namna hiyo alitakiwa kufanya nini zaidi ili tujue kama ni MPINZANI!? Tumejaribu kuvaa viatu vyake kweli?
 
Inasikitisha sana...

Kuna mmoja alisema hata baada ya yeye na mke wake kujipigia kura na bado matokeo yakasema amapeta kura sifuri... inakujae sasa...
"Forgerer-in-Chief" alihakikisha kura za mabegi zinapewa kipaumbele!
Kama anavyosema mtoa mada.
 
Uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kughushi-forgeries, kwa vigezo vyote.
Hata CCM wanalijua hilo.

Mazingira na mipango yote ya serikali ilitayarishwa ili mtu mmoja aamue, na ni kwa matakwa yake tu, nani anaingia bungeni.
Kuanzia tume ya uchaguzi, wasimamizi hadi kura za mabegi za kughushi.

Watanzania wanalijua hilo.

Kuna wakati Magufuli alisema hadharani, siwezi kumpa DED kazi na akampitisha mpinzani kuwa mbunge ati kisingizio uchaguzi!

Aliyetayarisha huo ughushi hakuwa na akili sana, matokeo yake yakawa predictable. Nchi nzima mpinzani aliyepata kura ni mmoja tu!
Naye sijui alipitaje!

Kwa viongozi wa kughushi wakawa wamejipatia tatizo jingine kubwa.

Kuna nafasi za kamati bungeni Kikatiba lazima ziongozwe na kambi ya upinzani! Sasa ilibidi Forgerer-in-Chief aagize forgery na kuwaingiza tume ya uchaguzi kughushi namna ya kuwaingiza hao wajumbe 19 toka upinzani kwa nafasi ya wanawake.

Mchezo ulichezwa na Spika Ndugai na tume ya uchaguzi.

Hapo ndipo tulipo-wabunge 19 wa CHADEMA wa kughushi, na wengine wengi tu wa CCM.
Tatizo watasamehewa kwa sababu watasema ukweli tu kuwa walitishiwa, kuna muda mwingine inabidi uangalie familia yako kwanzaa!!sasa unatishiwa familia yako na kufanyiwa mambo ya ajabu inabidi wakubali tuu kusaliti chama!wakati mwingine ndo tunasema upinzani wa Tanzania kidg dhaifu
 
Tatizo watasamehewa kwa sababu watasema ukweli tu kuwa walitishiwa, kuna muda mwingine inabidi uangalie familia yako kwanzaa!!sasa unatishiwa familia yako na kufanyiwa mambo ya ajabu inabidi wakubali tuu kusaliti chama!wakati mwingine ndo tunasema upinzani wa Tanzania kidg dhaifu

..tunatakiwa ku-deal na wanaotishia wenzao ktk siasa.

..hatua ya muda mfupi ni kupiga kelele na kushinikiza walioshiriki ktk kugushi na kuwaapisha wabunge 19 wachukuliwe hatua za kisheria.

..hatua nyingine iwe ni kupigania suala la katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ili kuwe na udhibiti na usawa baina ya vyama vya siasa.
 
Mbowe kila siku hakauki Ikulu kupokea maelekezo ya Samia nini cha kusema kwenye kamati kuu ya chama chake, hovyo kabisa yaani.
 
Back
Top Bottom