Wabunge 19 wa CHADEMA- Matokeo ya kughushi uchaguzi wa 2020

Wabunge 19 wa CHADEMA- Matokeo ya kughushi uchaguzi wa 2020

Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Hii ni “akili mtori”. Kwahiyo ccm ndo wameshiba?!
 
Anajitangazia bei. Atachukua chake mapema halafu nyumbu watabaki kujiliza humu JF

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Utakuta akili zilizosinyaa kama hizi ndizo zilizomdanganya mama kumfungulia mshindani wake kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi na kutarajia atakuwa amekwisha kisiasa. Matokeo yake ameibuka maarufu kuliko kabla. Bila shaka yoyote kikao chao cha kwanza pale Ikulu kilitanguliwa na neno "sorry". Wapinzani hawako desperate kushika dola; wanachopigania ni siasa safi tu na utawala wa sheria. Walioko madarakani ndiyo wanachanganyikiwa wakijiwa na uwezekano wa kupoteza madaraka.
 
Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Hivi mkuu una jipya?
 
Yule mtu alikuwa mshenxi hasa. Kwanza ni fedheha kwa taifa kuendelea kulitumia jina lake katika vitu vya kitaifa kama madaraja, barabara au stand.

Pia hata familia yake kuipatia pension na stahili zingine ni makosa maana alipaswa kulaaniwa yeye na uzao wake hadi kizazi cha tatu.
Maelfu ya watu wameharibikiwa maisha hadi wengine ni vilema au kufa kwa sababu za roho yake mbaya kisha wana mtajataja kama wa maana vile mtu wa maana vile?
Kwani alikubutua akakuchia hadi mbami?
 
Siku zote huwa nasema ipo siku isiyokuwa na jina...ccm watatafutana mchana kweupe
Wakati wa mwendazake was the lowest point kwa CCM.
Hata inasimamia nini ilikuwa hieleweki.
Mamluki wengi waliingizwa hadi ngazi ya Katibu Mkuu aliyekuwa CUF.
Wazee wa CCM waliwindwa na kudukuliwa na kuaibishwa hadharani.
I hope never again.
 
Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Ndugu, uwepo wa wanunuzi na mihela ya kutapanya, ndio ulikuwa udhaifu na tatizo kubwa zaidi. Udhaifu huo umejengwa juu ya uoga wa CCM dhidi ya uimara na umahili wa wanasiasa wa kweli na haki walio katika vyama vya 'upinzani', na zaidi juu ya ubovu na udhaifu wa katiba iliyopo.
Walionunuliwa ni wale waliolegea kwa kufika bei (kama OHIO str) na wengine kwa kuogopa vitisho vya DOLA na mawakala wao mliokuwa mkiwashangilia na kujivunia bila ya AIBU. Biashara hiyo haramu ingeweza na hata kuisha kabisa, kama pasingekuwa na hawa wanunuzi/wateja, ambao mnajitahidi kuwapamba waonekane ETI wao ni wasafi/wema/sijui chuma.
LAKINI, waliokuwa na uimara na ujasili bado wapo, wameweza kupita na kutoka kwenye tanuli la moto wa uonezi na ukandamizaji, wengi wakiwa na majeraha makubwa ya hali na mali. Kama mliogopa kuungana nao wakati ule, ACHENI MANENO njooni sasa.
KATIBA MPYA ndio dawa, ili YALE yasije kutokea tena. AMEN.
 
Wakati wa mwendazake was the lowest point kwa CCM.
Hata inasimamia nini ilikuwa hieleweki.
Mamluki wengi waliingizwa hadi ngazi ya Katibu Mkuu aliyekuwa CUF.
Wazee wa CCM waliwindwa na kudukuliwa na kuaibishwa hadharani.
I hope never again.
Huo ulikuwa ni uharibifu wa kiwango cha juu.
Jambo moja ambalo ninajiuliza hadi leo..hivi Watanzania waliotumika kwa uharibifu kipindi kile walitolewa sayari gani?.

Wauaji na kuweka watu kwenye viriba.
Sijui usalama na nk waliiuwa na roho ngumu mno na waliojaa ukatilo mkubwa.
 
Lawama za udhaifu wa upinzani zote anapewa Magufuli.

Wapinzani wetu wamejaa njaa tupu. Ni wachache sana ambao wanaweza kusimama peke yao.

Anzia Mbowe, huyu ni mchumia tumbo, Msigwa, huyu njaa inataka kumuua anaropoka tu. Lissu, atleast huyu anaweza kuishi bila kuhongwa ila tayari kwa sasa yuko compromised.

Ukija kwa wanawake na kina Zitto ndio hao mnaowaona, njaa tupu.

Hii nchi kinachotuangusha ni udhaifu wa upinzani. Wana njaa sana.
Hivi wewe mfumo wa utawala wa Magufuli ulikuwepo kweli? Yeye alikuwa anatamka tu halafu watu wa usalama wanafanya yao.
 
Sishawishiki saana kuamini mchango wako ingawa pia nashindwa kukupinga at the same time, najiuliza; hivi kwa mazingira yale enzi za mwendazake, hao wapinzani wa kweli (ambao wewe unasema hawapo ) hivi wangefanyaje ili tujue kwamba tunao wapinzani wa kweli? Mtu kabomolewa jengo lake la biashara (Bilcanas club ), kafungiwa chombo chake cha habari (Tanzania Daima ), kang'olewa green gaden yake, mbomoaji ambaye alikua DC kapandishwa cheo hadi kua mkuu wa mkoa baadae kapewa UBUNGE, kavunjwa miguu yake muda mfupi kabla ya uchaguzi, halafu accounts zake zote (za biashara na hata ya mshahara wake wa ubunge ) zikafungwa, hachukui hata mshahara cause account imefungwa, wabunge wake wametongozwa almost wote ili "waunge mkono juhudi" hivi mtu wa namna hiyo alitakiwa kufanya nini zaidi ili tujue kama ni MPINZANI!? Tumejaribu kuvaa viatu vyake kweli?
Umeandika uhalisia kabisa.
 
Yule " ze ticha" of Matiku inayesemekana ndiye aliyesaini mbona siku hizi simsikii?
 
Kaambiwa wee kaa utulie, usiropoke ropoke
Athari za uchawi wa kurithi. Mtoto kama mzazi.

1652212809663.png
 
Hakina Mdee na wao wangezisusia hizo nafasi, sasa hivi CDM wangeweza kuzidai tena.

Zipo kwa sababu watu walizichukua, ndio maana kuna uwezekano wa kuzidai.

If anything maamuzi ya hakina Mdee yanadhihirisha Mbowe ni mtu wa ovyo na maamuzi yake ni emotional sio rationale at all ndio maana wakaona wafanye yao kipindi.

Hakuna watu ovyo kama nyumbu wa CDM.
Povu limekuzidi mpaka wakosa hoja
 
Tatizo hapo Mbowe anapenda asali mno kila akikumbuka anaenda ikulu tena ya Aar sio Dodoma
 
Back
Top Bottom