Wabunge 19 wa CHADEMA- Matokeo ya kughushi uchaguzi wa 2020

Hii ni “akili mtori”. Kwahiyo ccm ndo wameshiba?!
 
Anajitangazia bei. Atachukua chake mapema halafu nyumbu watabaki kujiliza humu JF

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Utakuta akili zilizosinyaa kama hizi ndizo zilizomdanganya mama kumfungulia mshindani wake kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi na kutarajia atakuwa amekwisha kisiasa. Matokeo yake ameibuka maarufu kuliko kabla. Bila shaka yoyote kikao chao cha kwanza pale Ikulu kilitanguliwa na neno "sorry". Wapinzani hawako desperate kushika dola; wanachopigania ni siasa safi tu na utawala wa sheria. Walioko madarakani ndiyo wanachanganyikiwa wakijiwa na uwezekano wa kupoteza madaraka.
 
Hivi mkuu una jipya?
 
Kwani alikubutua akakuchia hadi mbami?
 
Siku zote huwa nasema ipo siku isiyokuwa na jina...ccm watatafutana mchana kweupe
Wakati wa mwendazake was the lowest point kwa CCM.
Hata inasimamia nini ilikuwa hieleweki.
Mamluki wengi waliingizwa hadi ngazi ya Katibu Mkuu aliyekuwa CUF.
Wazee wa CCM waliwindwa na kudukuliwa na kuaibishwa hadharani.
I hope never again.
 
Ndugu, uwepo wa wanunuzi na mihela ya kutapanya, ndio ulikuwa udhaifu na tatizo kubwa zaidi. Udhaifu huo umejengwa juu ya uoga wa CCM dhidi ya uimara na umahili wa wanasiasa wa kweli na haki walio katika vyama vya 'upinzani', na zaidi juu ya ubovu na udhaifu wa katiba iliyopo.
Walionunuliwa ni wale waliolegea kwa kufika bei (kama OHIO str) na wengine kwa kuogopa vitisho vya DOLA na mawakala wao mliokuwa mkiwashangilia na kujivunia bila ya AIBU. Biashara hiyo haramu ingeweza na hata kuisha kabisa, kama pasingekuwa na hawa wanunuzi/wateja, ambao mnajitahidi kuwapamba waonekane ETI wao ni wasafi/wema/sijui chuma.
LAKINI, waliokuwa na uimara na ujasili bado wapo, wameweza kupita na kutoka kwenye tanuli la moto wa uonezi na ukandamizaji, wengi wakiwa na majeraha makubwa ya hali na mali. Kama mliogopa kuungana nao wakati ule, ACHENI MANENO njooni sasa.
KATIBA MPYA ndio dawa, ili YALE yasije kutokea tena. AMEN.
 
Wakati wa mwendazake was the lowest point kwa CCM.
Hata inasimamia nini ilikuwa hieleweki.
Mamluki wengi waliingizwa hadi ngazi ya Katibu Mkuu aliyekuwa CUF.
Wazee wa CCM waliwindwa na kudukuliwa na kuaibishwa hadharani.
I hope never again.
Huo ulikuwa ni uharibifu wa kiwango cha juu.
Jambo moja ambalo ninajiuliza hadi leo..hivi Watanzania waliotumika kwa uharibifu kipindi kile walitolewa sayari gani?.

Wauaji na kuweka watu kwenye viriba.
Sijui usalama na nk waliiuwa na roho ngumu mno na waliojaa ukatilo mkubwa.
 
Hivi wewe mfumo wa utawala wa Magufuli ulikuwepo kweli? Yeye alikuwa anatamka tu halafu watu wa usalama wanafanya yao.
 
Umeandika uhalisia kabisa.
 
Yule " ze ticha" of Matiku inayesemekana ndiye aliyesaini mbona siku hizi simsikii?
 
Povu limekuzidi mpaka wakosa hoja
 
Tatizo hapo Mbowe anapenda asali mno kila akikumbuka anaenda ikulu tena ya Aar sio Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…