Wabunge 19 wa CHADEMA- Matokeo ya kughushi uchaguzi wa 2020

Forgerer-in-Chief, nimeipenda hiyo.
 
Na aliyeapishwa kimagumash sasa hivi yuko six feet under.
Ni mwalimu na walimu wengi wana sifa ya kughushi matokeo katika uchaguzi. Kule shuleni ukipendwa tu na wanafunzi lakini walimu hawakupendi hutochaguliwa kiongozi na hata upate kura nyingi kiasi gani zitabadilishwa tu
Wanafunzi wanajua sana hili. Ni ubabe tu na kitu kinachoanzia shuleni huenea kila mahali.
 
Lakini kumbuka wapinzani wamekuwa na mchango muhimu sana kwa nchi
 
Umeandika uhalisia kabisa.
Wameshiba KANDE za kwa Mtogole huko halafu wanalaumu tu; mwandishi aliyemlaumu Mbowe hana UWEZO wa kufanya walau robo tu ya alicho kifanya Freeman A. Mbowe au hata kuweza kuhimili alicho pitia Mbowe hasa enzi za mwendazake
 
Joseph Mbilinyi, aka Sugu, I salute you brother.
Kisiasa miaka yake ya ubunge jiji la Mbeya lilididimia kimaendeleo.
Inawezekana kweli hakuna maendeleo yaliyofanyika Mbeya kipindi Sugu akiwa mbunge (sina uhakika). Ila kumbuka maendeleo kipindi hicho ilikuwa ni hisani ya shetani.
 
Joseph Mbilinyi, aka Sugu, I salute you brother.

Inawezekana kweli hakuna maendeleo yaliyofanyika Mbeya kipindi Sugu akiwa mbunge (sina uhakika). Ila kumbuka maendeleo kipindi hicho ilikuwa ni hisani ya shetani.
Sijaelewa mkuu!
 
Joseph Mbilinyi, aka Sugu, I salute you brother.

Inawezekana kweli hakuna maendeleo yaliyofanyika Mbeya kipindi Sugu akiwa mbunge (sina uhakika). Ila kumbuka maendeleo kipindi hicho ilikuwa ni hisani ya shetani.
BHELEZE
 
Wabungewa kughushi ndio wameenguliwa uanachama.
Sasa wataenguliwa ubunge.
Nawapongeza CHADEMA kwa kusahihisha hili suala la ubunge wa kughushi.

Sasa lazima iteuliwe Tume kuchunguza na kuwachukulia hatua wale walioghushi na kuwapeleka hao 19 kwa Ndugai.
Watu waliomo Tume ya Uchaguzi hawawezi kukiuka katiba ya nchi na ikawa business as usual.
 
Makosa mengine husahihishwa kwa machungu.
Halima Mdee na wenzake walikiuka a basic principle.
Kama kansa ilibidi wakatwe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…