#COVID19 Wabunge 38 wa Uganda waliokuwa Arusha wakutwa na Corona, waliobaki waambiwa wajitenge

Ni kweli Dar nzima kila mtu koo kavu na mwili wa moto. Lakini hii ya sasa sio kali kama ya mwaka jana mwanzoni.
 
Ila ukisoma habari ni 38 out wabunge 200 na wajumbe wengine 125 kutoka Uganda
 
Wa bunge wa Uganda 49 wamepimwa na kukutwa na covid 19, microns ambacho ni kirusi kipya cha covid 19, baada ya kushiriki kwenye michezo ya mabunge ya Africa mashariki, Arusha TZ.
Lakini mbona wa bunge wetu TZ hawapati huo ungonjwa? Au hizo ni siasa za Museveni ufunga nchi kwenye lockdown ili aitawale bila upizani kwasbb Waganda wamesha mchoka anatawala kwa ubabe.
 
Siwezi kukataa kwamba COVID ipo .Ila kwa Museven nishamtilia Shaka kitambo kwamba ni Kati ya watu wasiotaka hii COVID ifutike ulimwengu kwa sababu ya maslahi yake binafsi
 

 
Kaugonjwa ka mchongo, kama vipi waturudishie kaugonjwa ketu maana hapa kanaishi kwa adabu.
 
Kila mmoja akiitazama tanzania anashindwa kuielewa na watu wake pia,

Hakuna tahadhari zozote na watu wanapiga kazi tu ,

Nafikiri mataifã makubwa wanashangaa sana wanapoitazama tanzania
hatari sana imenipiga mara 2 mwaka huu january na hii ya juzi nimeumwa balaa ila Mungu mkubwa haijanilaza.
 
Nani aliwaambia waje? Sisi tunajijua wenyewe. Na hata hivyo, Covid ipo Tanzania tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…