Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

Tetesi: Wabunge kadhaa waanza kuwasiliana kwa ajili ya wao pia kuchukua maamuzi magumu

Wabunge wanaokuja kusain posho na kuyoka nje wakusunbue akili,,wajiuzulu wote
 
gradycartoon.jpg
 
Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
Shughuli kubwa alifanya kikwete yeye kaenda kukata utepe na kupiga blablah usitake kumpa sifa asiyostahili
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Narudia kauli yake leo.
"Mimi ni rais ninayejiamini, sipangiwi na mtu cha kufanya"

Msimtishe rais, keshafanya maamuzi, kama hawataki wahame nchi.
 
Haiwezekani Rais afanye maamuzi basing on the discussion za kwenye mitandao
 
Ila kwa hii kauli ya Leo ya Rais I think ni msaada tosha kwa wapinzani kwan Watanzania weng hata wale ambao walikua wamelala watakua wameanza kupata mwangaaaa. Na wengi watakua wamejua(japo wengine tulishajua tangy mwanzo) kwamba ile vita ya Dawa za kulevya ilikua vita hewa kwa ajili ya kuchafua na kukomoa wengine pia kujitajirisha.
 
Waache wawasiliane tu, wajiuzulu, wafanye lolote ila wakae wakijua tu kuwa huo hautakuwa mwisho wa CCM kwani CCM ni chemchem na hazina ya viongozi hapa nchini; akitoka mtu anaingia mtu.
 
Wafanye tu wanaloona ni SAHIHI na pia hao wanaotaka kufanya wanachoona ni sahihi na wao wanatakiwa WAWE NI WASAFI KWELI KWELI hili mwisho wa siku wakimunyooshea KIDOLE mwenzao kiwe na IMPACT......NA MWISHO WA SIKU RAIS atabaki kuwa RAIS tu na tena SI RAIS TU BALI RAIS mwenye MSIMAMO.....na ndio maana hata hao WALIOJIUZULU kwenye kamati ya BUNGE YA VIWANDA NA BIASHARA. kama kweli wanamaanisha wanachokisimamia basi wajiuzulu mpaka huo UBUNGE WAO.....hatutaki UNAFIKI
ACHA UJINGA. HILI JAMAA LIMEHARIBU KILAKITU, KUANZIA UCHUMI, ELIMU, NK. HALIFAI NA NI LIKABILA NA LIBASHITE
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Tayari wamesharudisha fedha walizokopa kwa ajili ya magari?peleka uharo kule
 
Wabunge wenyewe wa CCM Ndiooooooo!!!! mwanzo mwisho hawana ubavu huo Labda wamuombe Raisi TLS aingilie kati

Walidhani mkuki ungekuwa kwa upinzani tu....kumbe na wao unawajeruhi.......ila wakiwa siriaz waje tuliko wananchi ili kwa pamoja tuikwamue nchi yetu hapa ilipokwama na kisha tupige hatua za kimaendeleo.
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Wabunge sio wajinga kiasi hicho
 
Shughuli aliyoifanya Mh rais pale Ubungo ni kubwa sana kwa maendeleo ya taifa hili......na hayo ndio maendeleo tuyatakayo na sio umbea na fitna za ajabu ajabu ambazo kimsingi hazitufikishi popote....u need to grow up
Pumbavu kabisa, hilo libarabara litamsaidia nini mwanakijiji alieko kijiji cha Magunga tarafa ya Kiponzelo wilaya ya iringa au mwanakijiji wa magila huko muheza Tanga.
 
Watanzania tuko bizzy tunanyoosha KIVULI wakati uliopinda ni MTI, Nchi hii tatizo la msingi ni KATIBA MBOVU [HASHTAG]#TuacheSiasaUchwaraTudaiKatibaMpya[/HASHTAG]
 
Yani niache 90m mkopo wa gari,12m mshahara kila mwezi,50m hela ya Jimbo,kiinua mgongo cha 200m+ kila baada ya miaka mitano,marupurupu ya kamati n.k kukupigania wewe fukara? ?
Sahau ndugu,wajinga ndo waliwao! ! Hakuna mwakilishi yuko pale kwa ajili yako ndugu,wote tuko pale kwa ajili ya matumbo yetu na familia zetu na kutengeneza mtandao wa biashara. ..
Si wao wala sisi, usanii mtupu. .amka acha kudanganywa. ..fanya kazi kwa bidii utafanikiwa. ..
 
Tulifukuze urais hili lindumilakuwili.....linajifanya linachukia ufisadi kumbe libinafsi tu
 
Nshonzi, never with CCM members, history tells it all! Kuna vitu vinajulikana, inajulikana kuwa wahaya wana majivuno ya Usomi, wanathamini sana elimu! Nshomile, nothing will go contrary to that among the Hayas! Umenipata nadhani! Nshonzi, Nshomile!
Wakola waitu
 
Kama tu tungekuwa na BUNGE IMARA nchi hii ingeweza kusimamiwa kikamilifu kuweza kuyashinda mabaya inayoyakabili miaka nenda rudi.

Wabunge kadhaa wenye uchungu na nchi hii inasemekana wamenza kuwasiliana kwa njia mbali mbali wakitaka liitishwe bunge la dharura kuendana na kile kinachoonekana kama ni hali mbaya katika taifa hili.

Kumekuwa na hali ya mazonge mazonge kwa kipindi kirefu katika mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kiasi kwamba taifa limekuwa siku zote likizidi kuelekea jioni na kupoteza nuru.

Inasemekana kuwa bunge ambalo nalo limejeruhiwa kwa kiasi kikubwa na milipuko hii ya magonjwa ana kusababisha wabunge wengi kuwa dhoofu na wengine kulazwa kwa sababu ya hali ya kisiasa nchi kuzidi kukaa tenge kwenye mhimili wake.

Wabunge kadhaa wameamua kuwasiliana na kuanza vikao iwezekanavyo wengine kujiuzulu nafasi zao ili mwenye uwezo wa kiuungu aziendeleze na pia wengine wapo tayari kutoa matamko bila kujali nafasi walizo nazo. haya yanaendelea kusemwa na watu mbalimbali wenye connections na watu wakubwa.

Kiuhalisia hali ni tete...tusubiri maana wanasema "kuti la mazoea lilimwangusha mgema" na pia katika hili kuna ahaja sana ya kufanya maombi maana wabunge kadhaa wenye vyeo vikubwa wamejipanga kufanya matamko makubwa zaidi.
Kwa ninavyowafahamu wabunge wanaotokana na chama twawala hiki kitu ni ndoto za mwendawazimu. hawawezi fanya hiki kitu kwani wanaishi ulimwengu tofauti kabisa na watanzania wengine. Angalia suala la katiba walivyolivuruga, suala la naibu spika, nk yapo mengi sana wameyapitisha kwaajili ya kukilinda chama au mamlaka dhidi ya ustawi wa taifa. Ngoja tusubiri tuone kwani sijawahi ona utawala wa ajabu kama wa sasa
 
Back
Top Bottom