Wabunge kama kweli mnalipenda taifa hili na kizazi chake tungeni sheria kupiga marufuku ushoga

Wabunge kama kweli mnalipenda taifa hili na kizazi chake tungeni sheria kupiga marufuku ushoga

M-7 ndio kaonesha uthabiti wa kushughulika na ufirauni huo wenye akili lazima tuunge mkono vita juu ya kulinda morality katika jamii zetu kwa manufaa ya kizazi kijacho.

"Kataa LGBTQ"
 
Mama Samia kiongozi wetu na Mkuu wa nchi yetu, nina ujasiri huku nikitambua upo humu Jf kama ilivyowahi kusema hadharani

Ninatamani na ninaisubiri kwa hamu kubwa siku ambayo utatoa tamko la wazi kabisa kwamba ushoga hapa Tanzania, utakuwa haramu milele na milele

Hawa USA na magharibi wamekengeuka ila wanashupaza shingo tuu

Bora tuwe marafiki wa China na urusi hata na nchi kama za kina kim jung un. Hao na uchafu wao wakwende zao🚮

Ningetamani tuimarishe sheria zetu dhidi ya watu hao,

Hawa wa-magharibi wanachoshikilia ni kwamba eti mtu huzaliwa hivyo na kwamba anastahili haki sawa, sasa je mtu kama ameiba au ameua akijetetea kwamba amezaliwa hivyo sheria zao hukubali?

Pengine ni kweli kwamba wengine wamekuwa mashoga kutokana na kufundishwa labda walilawitiwa wakiwa wadogo na baada ya kukua wakajikuta ni mashoga, sasa ikiwa hivyo je mtu mzima kama amekwenda kuiba sheria isimzuie kwa sababu labda alifundishwa kuiba alivyo kuwa mtoto?

Ni lazima Afrika tubaki na msimamo kwamba hilo ni kosa kisheria kama makosa mengine, tusibariki kama hayo mataifa yaliyo laaniwa😬
Screenshot_20230401-113141.png
 
kuna mambo hayahitaji ruhusa
watu wameona watafanya wanavyo jua
 
Nawee nae akili yako,lini walitunga sheria kuruhusu,hadi watunge kuzuia,ushoga ni ni tabia ya chumbani,nchi inaibiwa hii ,ndege
 
Tanzania kwanza🇹🇿🇹🇿🇹🇿

1. Kwanini Bunge halitungi SHERIA ya KUDHIBITI ushoga.?
2.Kwanini ikifika kwenye USHOGA kunakuwa na kigugumizi?
3. Waziri wa mambo ya ndani sielewi unachokifanya na huwa sikuelewi toka zamani. Nina mashaka na uwezo wako always.
4. Kiongozi namba moja ndo kabisa Hana nia wala muda na jambo hili.
5. Bunge na wabunge hamuwezi kuwa wapiga domo tu bila ya kuamua kutunga SHERIA, hivi tunapambana na ushoga bila SHERIA . Are we serious???.
6 . Ukimkamata shoga ukampeleka mahakamani utamshitaki kwa SHERIA ipi???au ndo kutenda kinyume na maadili?? Are we serious???
Sisi Watanzania tunataka SHERIA ya ushoga itungwe.
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yaani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya Marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lakini Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata Mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.

Hivi mama Samia Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kutoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba "Mimi kwenye nchi yangu ushoga ni marufuku." Kwani jamani hiyo misaada sisi ndio tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?

Na nyie Wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio bure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye kafanya yake. Yaani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamuoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote, peleka muswada wa sheria, itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.

Yaani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?

Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja mwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lakini kama nchi hatuna msimamo katika hili.
Kwani kuna sheria inayo halalisha ushoga kwenye nchi yako?
 
Tanzania kwanza🇹🇿🇹🇿🇹🇿

1. Kwanini Bunge halitungi SHERIA ya KUDHIBITI ushoga.?
2.Kwanini ikifika kwenye USHOGA kunakuwa na kigugumizi?
3. Waziri wa mambo ya ndani sielewi unachokifanya na huwa sikuelewi toka zamani. Nina mashaka na uwezo wako always.
4. Kiongozi namba moja ndo kabisa Hana nia wala muda na jambo hili.
5. Bunge na wabunge hamuwezi kuwa wapiga domo tu bila ya kuamua kutunga SHERIA, hivi tunapambana na ushoga bila SHERIA . Are we serious???.
6 . Ukimkamata shoga ukampeleka mahakamani utamshitaki kwa SHERIA ipi???au ndo kutenda kinyume na maadili?? Are we serious???
Sisi Watanzania tunataka SHERIA ya ushoga itungwe.
Hakuna kitu kitakachoweza kuja kuitwa sheria ya ushoga.... Hicho kitu hakipo wala hakitakaa kitokee.
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yaani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya Marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lakini Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata Mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.

Hivi mama Samia Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kutoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba "Mimi kwenye nchi yangu ushoga ni marufuku." Kwani jamani hiyo misaada sisi ndio tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?

Na nyie Wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio bure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye kafanya yake. Yaani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamuoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote, peleka muswada wa sheria, itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.

Yaani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?

Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja mwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lakini kama nchi hatuna msimamo katika hili.
NAOMBA NIKUULIZE . USHOGA NI NINI?
 
Mmeanzaa tenaaa mambo yenuu?? Hivi wabongo mkojeee?? ushogaa Una tatizo gani??

Pambaneni na umaskini kwanzaaa, khaaah
 
Mama Samia kiongozi wetu na Mkuu wa nchi yetu, nina ujasiri huku nikitambua upo humu Jf kama ilivyowahi kusema hadharani

Ninatamani na ninaisubiri kwa hamu kubwa siku ambayo utatoa tamko la wazi kabisa kwamba ushoga hapa Tanzania, utakuwa haramu milele na milele

Hawa USA na magharibi wamekengeuka ila wanashupaza shingo tuu

Bora tuwe marafiki wa China na urusi hata na nchi kama za kina kim jung un. Hao na uchafu wao wakwende zao🚮

Ningetamani tuimarishe sheria zetu dhidi ya watu hao,

Hawa wa-magharibi wanachoshikilia ni kwamba eti mtu huzaliwa hivyo na kwamba anastahili haki sawa, sasa je mtu kama ameiba au ameua akijetetea kwamba amezaliwa hivyo sheria zao hukubali?

Pengine ni kweli kwamba wengine wamekuwa mashoga kutokana na kufundishwa labda walilawitiwa wakiwa wadogo na baada ya kukua wakajikuta ni mashoga, sasa ikiwa hivyo je mtu mzima kama amekwenda kuiba sheria isimzuie kwa sababu labda alifundishwa kuiba alivyo kuwa mtoto?

Ni lazima Afrika tubaki na msimamo kwamba hilo ni kosa kisheria kama makosa mengine, tusibariki kama hayo mataifa yaliyo laaniwa😬View attachment 2572809
Kabla haujaonge kuna mwamba amesha kuwekea hii hapo juu lakini haujajishughulisha kuisoma hata kifungu kimoja .... Ila umekimbilia keyboard
 

Attachments

  • xxx.jpeg
    xxx.jpeg
    104 KB · Views: 2
Tanzania kwanza🇹🇿🇹🇿🇹🇿

1. Kwanini Bunge halitungi SHERIA ya KUDHIBITI ushoga.?
2.Kwanini ikifika kwenye USHOGA kunakuwa na kigugumizi...
Ushoga unazuia nini katika mafanikio yako ya kuishi duniani? Unakukosea haki gani binafsi?
badala ya kuhimiza ukombozi wa watu kutoka ubeberu wa weusi wenzetu, unahangaikia upuuzi. Utakuwa na elimu ndogo.
 
Back
Top Bottom