Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Iwafikishe wakina nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nawe ni mmoja wapo na Wewe piaIwafikishe wakina nani?
Mimi najua wewe ni mmoja wao je upo sawa tukutie ndani?Kama nawe ni mmoja wapo na Wewe pia
Umtie ndani mwanaume mwenzio,nyie sheria hiyo ndio inawahusu Sasa,wote jelaMimi najua wewe ni mmoja wao je upo sawa tukutie ndani?
Hata wewe unaweza kutiwa ndani ukitakaUmtie ndani mwanaume mwenzio,nyie sheria hiyo ndio inawahusu Sasa,wote jela
Mwehu wewe,naona umetoka jela ,pole kwa banHata wewe unaweza kutiwa ndani ukitaka
Umejuajee nina ugwaduuu 🤣Mwehu wewe,naona umetoka jela ,pole kwa ban
Kwani kuna sheria inayo halalisha ushoga kwenye nchi yako?Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yaani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya Marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lakini Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata Mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.
Hivi mama Samia Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kutoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba "Mimi kwenye nchi yangu ushoga ni marufuku." Kwani jamani hiyo misaada sisi ndio tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?
Na nyie Wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio bure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye kafanya yake. Yaani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamuoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote, peleka muswada wa sheria, itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.
Yaani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?
Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja mwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lakini kama nchi hatuna msimamo katika hili.
Hakuna kitu kitakachoweza kuja kuitwa sheria ya ushoga.... Hicho kitu hakipo wala hakitakaa kitokee.Tanzania kwanza🇹🇿🇹🇿🇹🇿
1. Kwanini Bunge halitungi SHERIA ya KUDHIBITI ushoga.?
2.Kwanini ikifika kwenye USHOGA kunakuwa na kigugumizi?
3. Waziri wa mambo ya ndani sielewi unachokifanya na huwa sikuelewi toka zamani. Nina mashaka na uwezo wako always.
4. Kiongozi namba moja ndo kabisa Hana nia wala muda na jambo hili.
5. Bunge na wabunge hamuwezi kuwa wapiga domo tu bila ya kuamua kutunga SHERIA, hivi tunapambana na ushoga bila SHERIA . Are we serious???.
6 . Ukimkamata shoga ukampeleka mahakamani utamshitaki kwa SHERIA ipi???au ndo kutenda kinyume na maadili?? Are we serious???
Sisi Watanzania tunataka SHERIA ya ushoga itungwe.
NAOMBA NIKUULIZE . USHOGA NI NINI?Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yaani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya Marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lakini Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata Mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.
Hivi mama Samia Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kutoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba "Mimi kwenye nchi yangu ushoga ni marufuku." Kwani jamani hiyo misaada sisi ndio tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?
Na nyie Wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio bure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye kafanya yake. Yaani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamuoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote, peleka muswada wa sheria, itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.
Yaani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?
Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja mwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lakini kama nchi hatuna msimamo katika hili.
Kabla haujaonge kuna mwamba amesha kuwekea hii hapo juu lakini haujajishughulisha kuisoma hata kifungu kimoja .... Ila umekimbilia keyboardMama Samia kiongozi wetu na Mkuu wa nchi yetu, nina ujasiri huku nikitambua upo humu Jf kama ilivyowahi kusema hadharani
Ninatamani na ninaisubiri kwa hamu kubwa siku ambayo utatoa tamko la wazi kabisa kwamba ushoga hapa Tanzania, utakuwa haramu milele na milele
Hawa USA na magharibi wamekengeuka ila wanashupaza shingo tuu
Bora tuwe marafiki wa China na urusi hata na nchi kama za kina kim jung un. Hao na uchafu wao wakwende zao🚮
Ningetamani tuimarishe sheria zetu dhidi ya watu hao,
Hawa wa-magharibi wanachoshikilia ni kwamba eti mtu huzaliwa hivyo na kwamba anastahili haki sawa, sasa je mtu kama ameiba au ameua akijetetea kwamba amezaliwa hivyo sheria zao hukubali?
Pengine ni kweli kwamba wengine wamekuwa mashoga kutokana na kufundishwa labda walilawitiwa wakiwa wadogo na baada ya kukua wakajikuta ni mashoga, sasa ikiwa hivyo je mtu mzima kama amekwenda kuiba sheria isimzuie kwa sababu labda alifundishwa kuiba alivyo kuwa mtoto?
Ni lazima Afrika tubaki na msimamo kwamba hilo ni kosa kisheria kama makosa mengine, tusibariki kama hayo mataifa yaliyo laaniwa😬View attachment 2572809
Ushoga unazuia nini katika mafanikio yako ya kuishi duniani? Unakukosea haki gani binafsi?Tanzania kwanza🇹🇿🇹🇿🇹🇿
1. Kwanini Bunge halitungi SHERIA ya KUDHIBITI ushoga.?
2.Kwanini ikifika kwenye USHOGA kunakuwa na kigugumizi...
oyaaa.., hii kitu wengi hawajui ila hawa watu wanasapotiwa kimya kimyaHospital za serikali baadhi huwapatia vilainishi mashoga ukumbuke hilo