Nimekariri swala moja la mh mbowe japo mm sio mwanasiasa na wala sijawahi kuwa mmwanasiasa wa chama chochote
Namnukuuu;
Wabunge wengi hawajui biashara wameenda bungeni ama kwa mihemko tuu na ndo maana hata linapokuja swala la sheria wao ni ndiooo
Niliondoka zangu kwenye mishe zangu baada ya maneno hayo kutafutia watoto wangu ugali wa siku!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.