Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Naona wivu tu ndio umekushika . Nenda kwa lisuu kachangie gari huko uone kama atakusaidia chochote kile.Yaani hapo anaona umeandika cha maana. Eti pongezi mama kwa kutoa mapesa mikoani. Chawa mnafurahia maana ni kama anawahonga hizo hela. Badala ya kuona juhudi za wale wanajitahidi kuona hela haziliwi mnamsifu huyo mama mpigaji aliyeruhusu mle kwa urefu wa kamba zenu fedha za umma.
Unavuka mipakaNdugu zangu watanzania,
Kama kuna Muhimili unapaswa kuwa msitari wa mbele kumtia moyo Rais Samia ,basi ni Muhimili wa Bunge.Hii ni kwa kuwa wabunge kwa macho yao ni mashuhuda wa namna Rais Samia alivyo miminia na kutiririsha Mamilioni ya pesa majimboni mwao kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kuliko wakati wowote ule katika historia ya Taifa letu.
Waheshimiwa Wabunge mnafahamu na mmeona namna Rais Samia alivyotoa mamilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa,vituo vya afya ,zahanati katika majimbo mengi sana. ni mashuhuda wa namna miradi mbalimbali ambavyo imekuwa ikienda kwa kasi pasipo kusuasa.
Mmeona namna Rais wetu mpendwa alivyofanya kazi kubwa ya kukamilisha mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere lililopelekea kukoma na kumalizika kwa Mgao wa umeme hapa nchini,wabunge mmeona namna Rais Samia alivyo sambaza magari ya wagonjwa,vifaa tiba, madawa pamoja na wataalamu wa afya.wabunge mmeshuhudia Rais Samia akipeleka madaktari bingwa katika majimbo yenu kwa ajili ya kutibu wapiga kura wenu waliokuwa wamekata tamaa kutokana na hali ya kipato.
Waheshimiwa wabunge mmeshuhudia na kupitisha bajeti mbalimbali zilizopelekea serikali ya Rais Samia kutoa maelfu ya ajira kwa vijana, kutoa mabilioni ya Ruzuku katika kilimo,kununua mazao kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima,kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara maeneo mbalimbali,kusambaza umeme na maji kila kona,kutoa elimu bure kabisa hadi kidato cha sita.
kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika mafuta,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni 1.2,kuongeza bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu kufikia Billion mia Saba na pointi ili hata watoto wa maskini wapate elimu ya juu na kutimiza malengo na ndoto zao.
Waheshimiwa Wabunge mmeshuhudia Rais Samia akiwapandisha madaraja na kuwalipa malimbikizo ya madeni yao watumishi mbalimbali wa umma,kupandisha mishahara kwa 23% hasa wale wa kima cha chini,kuimarisha demokrasia,kulinda haki za binadamu na mengine mengi sana ambayo ninyi wenyewe ni mashahidi kwa kuwa yamekuwa yakipita na kuletwa taarifa kwenu. na ninyi ni mashuhuda mliojionea kwa macho yenu miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo mmekuwa mkienda kuitembelea na kufanya ukaguzi namna inavyojengwa kwa ubora na kwenda kwa kasi.
Sasa Mnasubiri nini kama Bunge kumtia moyo Mama yetu? Kwanini msipitishe azimio la kumpongeza na kumchangia kidogo kidogo pesa kwa ajili ya Fomu ya Urais hapo Mwakani? Kwanini msisimame kidete kuionyesha Dunia Upendo wenu kwa Rais wetu na kuungana na mamillioni ya watanzania wanaohitaji kuona Mama yetu Anaendelea na muhula wa pili?
Simaanishi kuwa Rais wetu mpendwa hawezi kuwa na pesa ya kuchukulia Fomu ,bali mnapaswa kufanya hivyo na wengi wamefanya hivyo kama vile walimu kama sehemu ya kumuunga mkono,kumtia moyo, kumpa faraja na kutambua mchango wake kwa kazi kubwa alizofanya kwa ajili ya Taifa letu na zilizogusa maisha ya mamilioni ya watanzania.
Naweka kalamu chini nakushia hapa ili andiko lisiwe refu kupita kiasi ,hasa kwa kuzingatia uvivu wa watanzania katika kusoma vitu vilivyo katika maandishi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kukopa siyo dhambi na wala hakuna nchi isiyo kopa. Hata Japani inakopa na ina madeni.Hivi hunaga hata aibu kama mapesa yote hayo tunayo hii kopa kopa yanini danganyaneni huko huko LUMUMBA fala wewe
Mipaka ya kwenda wapi ewe CHADEMAUnavuka mipaka
Huyu huwa anatumwa na Timu Makamba!!Yaani hapo anaona umeandika cha maana. Eti pongezi mama kwa kutoa mapesa mikoani. Chawa mnafurahia maana ni kama anawahonga hizo hela. Badala ya kuona juhudi za wale wanajitahidi kuona hela haziliwi mnamsifu huyo mama mpigaji aliyeruhusu mle kwa urefu wa kamba zenu fedha za umma.
Ila Lissu akichangiwa mapesa anunue gari ni nongwa?Acha roho mbaya mnyamanyafu!Ndugu zangu watanzania,
Kama kuna Muhimili unapaswa kuwa msitari wa mbele kumtia moyo Rais Samia ,basi ni Muhimili wa Bunge.Hii ni kwa kuwa wabunge kwa macho yao ni mashuhuda wa namna Rais Samia alivyo miminia na kutiririsha Mamilioni ya pesa majimboni mwao kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kuliko wakati wowote ule katika historia ya Taifa letu.
Waheshimiwa Wabunge mnafahamu na mmeona namna Rais Samia alivyotoa mamilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa,vituo vya afya ,zahanati katika majimbo mengi sana. ni mashuhuda wa namna miradi mbalimbali ambavyo imekuwa ikienda kwa kasi pasipo kusuasa.
Mmeona namna Rais wetu mpendwa alivyofanya kazi kubwa ya kukamilisha mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere lililopelekea kukoma na kumalizika kwa Mgao wa umeme hapa nchini,wabunge mmeona namna Rais Samia alivyo sambaza magari ya wagonjwa,vifaa tiba, madawa pamoja na wataalamu wa afya.wabunge mmeshuhudia Rais Samia akipeleka madaktari bingwa katika majimbo yenu kwa ajili ya kutibu wapiga kura wenu waliokuwa wamekata tamaa kutokana na hali ya kipato.
Waheshimiwa wabunge mmeshuhudia na kupitisha bajeti mbalimbali zilizopelekea serikali ya Rais Samia kutoa maelfu ya ajira kwa vijana, kutoa mabilioni ya Ruzuku katika kilimo,kununua mazao kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima,kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara maeneo mbalimbali,kusambaza umeme na maji kila kona,kutoa elimu bure kabisa hadi kidato cha sita.
kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika mafuta,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni 1.2,kuongeza bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu kufikia Billion mia Saba na pointi ili hata watoto wa maskini wapate elimu ya juu na kutimiza malengo na ndoto zao.
Waheshimiwa Wabunge mmeshuhudia Rais Samia akiwapandisha madaraja na kuwalipa malimbikizo ya madeni yao watumishi mbalimbali wa umma,kupandisha mishahara kwa 23% hasa wale wa kima cha chini,kuimarisha demokrasia,kulinda haki za binadamu na mengine mengi sana ambayo ninyi wenyewe ni mashahidi kwa kuwa yamekuwa yakipita na kuletwa taarifa kwenu. na ninyi ni mashuhuda mliojionea kwa macho yenu miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo mmekuwa mkienda kuitembelea na kufanya ukaguzi namna inavyojengwa kwa ubora na kwenda kwa kasi.
Sasa Mnasubiri nini kama Bunge kumtia moyo Mama yetu? Kwanini msipitishe azimio la kumpongeza na kumchangia kidogo kidogo pesa kwa ajili ya Fomu ya Urais hapo Mwakani? Kwanini msisimame kidete kuionyesha Dunia Upendo wenu kwa Rais wetu na kuungana na mamillioni ya watanzania wanaohitaji kuona Mama yetu Anaendelea na muhula wa pili?
Simaanishi kuwa Rais wetu mpendwa hawezi kuwa na pesa ya kuchukulia Fomu ,bali mnapaswa kufanya hivyo na wengi wamefanya hivyo kama vile walimu kama sehemu ya kumuunga mkono,kumtia moyo, kumpa faraja na kutambua mchango wake kwa kazi kubwa alizofanya kwa ajili ya Taifa letu na zilizogusa maisha ya mamilioni ya watanzania.
Naweka kalamu chini nakushia hapa ili andiko lisiwe refu kupita kiasi ,hasa kwa kuzingatia uvivu wa watanzania katika kusoma vitu vilivyo katika maandishi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Walimu si walishachanga au kuna fomu mbili mkuu nieleweshe!Ndugu zangu watanzania,
Kama kuna Muhimili unapaswa kuwa msitari wa mbele kumtia moyo Rais Samia ,basi ni Muhimili wa Bunge.Hii ni kwa kuwa wabunge kwa macho yao ni mashuhuda wa namna Rais Samia alivyo miminia na kutiririsha Mamilioni ya pesa majimboni mwao kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kuliko wakati wowote ule katika historia ya Taifa letu.
Waheshimiwa Wabunge mnafahamu na mmeona namna Rais Samia alivyotoa mamilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa,vituo vya afya ,zahanati katika majimbo mengi sana. ni mashuhuda wa namna miradi mbalimbali ambavyo imekuwa ikienda kwa kasi pasipo kusuasa.
Mmeona namna Rais wetu mpendwa alivyofanya kazi kubwa ya kukamilisha mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere lililopelekea kukoma na kumalizika kwa Mgao wa umeme hapa nchini,wabunge mmeona namna Rais Samia alivyo sambaza magari ya wagonjwa,vifaa tiba, madawa pamoja na wataalamu wa afya.wabunge mmeshuhudia Rais Samia akipeleka madaktari bingwa katika majimbo yenu kwa ajili ya kutibu wapiga kura wenu waliokuwa wamekata tamaa kutokana na hali ya kipato.
Waheshimiwa wabunge mmeshuhudia na kupitisha bajeti mbalimbali zilizopelekea serikali ya Rais Samia kutoa maelfu ya ajira kwa vijana, kutoa mabilioni ya Ruzuku katika kilimo,kununua mazao kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima,kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara maeneo mbalimbali,kusambaza umeme na maji kila kona,kutoa elimu bure kabisa hadi kidato cha sita.
kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika mafuta,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni 1.2,kuongeza bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu kufikia Billion mia Saba na pointi ili hata watoto wa maskini wapate elimu ya juu na kutimiza malengo na ndoto zao.
Waheshimiwa Wabunge mmeshuhudia Rais Samia akiwapandisha madaraja na kuwalipa malimbikizo ya madeni yao watumishi mbalimbali wa umma,kupandisha mishahara kwa 23% hasa wale wa kima cha chini,kuimarisha demokrasia,kulinda haki za binadamu na mengine mengi sana ambayo ninyi wenyewe ni mashahidi kwa kuwa yamekuwa yakipita na kuletwa taarifa kwenu. na ninyi ni mashuhuda mliojionea kwa macho yenu miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo mmekuwa mkienda kuitembelea na kufanya ukaguzi namna inavyojengwa kwa ubora na kwenda kwa kasi.
Sasa Mnasubiri nini kama Bunge kumtia moyo Mama yetu? Kwanini msipitishe azimio la kumpongeza na kumchangia kidogo kidogo pesa kwa ajili ya Fomu ya Urais hapo Mwakani? Kwanini msisimame kidete kuionyesha Dunia Upendo wenu kwa Rais wetu na kuungana na mamillioni ya watanzania wanaohitaji kuona Mama yetu Anaendelea na muhula wa pili?
Simaanishi kuwa Rais wetu mpendwa hawezi kuwa na pesa ya kuchukulia Fomu ,bali mnapaswa kufanya hivyo na wengi wamefanya hivyo kama vile walimu kama sehemu ya kumuunga mkono,kumtia moyo, kumpa faraja na kutambua mchango wake kwa kazi kubwa alizofanya kwa ajili ya Taifa letu na zilizogusa maisha ya mamilioni ya watanzania.
Naweka kalamu chini nakushia hapa ili andiko lisiwe refu kupita kiasi ,hasa kwa kuzingatia uvivu wa watanzania katika kusoma vitu vilivyo katika maandishi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
🙄🤔🤔🤭Ndugu zangu watanzania,
Kama kuna Muhimili unapaswa kuwa msitari wa mbele kumtia moyo Rais Samia ,basi ni Muhimili wa Bunge.Hii ni kwa kuwa wabunge kwa macho yao ni mashuhuda wa namna Rais Samia alivyo miminia na kutiririsha Mamilioni ya pesa majimboni mwao kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kuliko wakati wowote ule katika historia ya Taifa letu.
Waheshimiwa Wabunge mnafahamu na mmeona namna Rais Samia alivyotoa mamilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa,vituo vya afya ,zahanati katika majimbo mengi sana. ni mashuhuda wa namna miradi mbalimbali ambavyo imekuwa ikienda kwa kasi pasipo kusuasa.
Mmeona namna Rais wetu mpendwa alivyofanya kazi kubwa ya kukamilisha mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere lililopelekea kukoma na kumalizika kwa Mgao wa umeme hapa nchini,wabunge mmeona namna Rais Samia alivyo sambaza magari ya wagonjwa,vifaa tiba, madawa pamoja na wataalamu wa afya.wabunge mmeshuhudia Rais Samia akipeleka madaktari bingwa katika majimbo yenu kwa ajili ya kutibu wapiga kura wenu waliokuwa wamekata tamaa kutokana na hali ya kipato.
Waheshimiwa wabunge mmeshuhudia na kupitisha bajeti mbalimbali zilizopelekea serikali ya Rais Samia kutoa maelfu ya ajira kwa vijana, kutoa mabilioni ya Ruzuku katika kilimo,kununua mazao kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima,kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara maeneo mbalimbali,kusambaza umeme na maji kila kona,kutoa elimu bure kabisa hadi kidato cha sita.
kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika mafuta,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni 1.2,kuongeza bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu kufikia Billion mia Saba na pointi ili hata watoto wa maskini wapate elimu ya juu na kutimiza malengo na ndoto zao.
Waheshimiwa Wabunge mmeshuhudia Rais Samia akiwapandisha madaraja na kuwalipa malimbikizo ya madeni yao watumishi mbalimbali wa umma,kupandisha mishahara kwa 23% hasa wale wa kima cha chini,kuimarisha demokrasia,kulinda haki za binadamu na mengine mengi sana ambayo ninyi wenyewe ni mashahidi kwa kuwa yamekuwa yakipita na kuletwa taarifa kwenu. na ninyi ni mashuhuda mliojionea kwa macho yenu miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo mmekuwa mkienda kuitembelea na kufanya ukaguzi namna inavyojengwa kwa ubora na kwenda kwa kasi.
Sasa Mnasubiri nini kama Bunge kumtia moyo Mama yetu? Kwanini msipitishe azimio la kumpongeza na kumchangia kidogo kidogo pesa kwa ajili ya Fomu ya Urais hapo Mwakani? Kwanini msisimame kidete kuionyesha Dunia Upendo wenu kwa Rais wetu na kuungana na mamillioni ya watanzania wanaohitaji kuona Mama yetu Anaendelea na muhula wa pili?
Simaanishi kuwa Rais wetu mpendwa hawezi kuwa na pesa ya kuchukulia Fomu ,bali mnapaswa kufanya hivyo na wengi wamefanya hivyo kama vile walimu kama sehemu ya kumuunga mkono,kumtia moyo, kumpa faraja na kutambua mchango wake kwa kazi kubwa alizofanya kwa ajili ya Taifa letu na zilizogusa maisha ya mamilioni ya watanzania.
Naweka kalamu chini nakushia hapa ili andiko lisiwe refu kupita kiasi ,hasa kwa kuzingatia uvivu wa watanzania katika kusoma vitu vilivyo katika maandishi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu, kwa hiyo una shauri bunge litoe takrima/rushwa kwa Rais ili awe anatoa hela kwa wakati.Bunge lenyewe tu haliwezi kufanya kazi zake vyema na kwa ufanisi ikiwa serikali italipa pesa kwa kusuasa sua ,kwa ajili ya kutekeleza majukumu yake.
🤝🤝Ila lucas, lucas unazingua
Mkuu ubunge sio hisani ya Rais, ni haki ya wananchi kuwakilishwa. Wabunge sio wawakilishi wa Rais, ni wawakilishi wa wananchi!!!Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Waulize hata waheshimiwa Wabunge kuwa ni lini walikwama shughuli zao kama Bunge kutokana na changamoto ya pesa? Ni lini wameshindwa kwenda kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwa sababu ya kukosa pesa?
Labda iwe Wabunge mnasubiri Nini kupiga kura ya kutokuwa na imani na rasi baada ya kuuza nchiNdugu zangu watanzania,
Kama kuna Muhimili unapaswa kuwa msitari wa mbele kumtia moyo Rais Samia ,basi ni Muhimili wa Bunge.Hii ni kwa kuwa wabunge kwa macho yao ni mashuhuda wa namna Rais Samia alivyo miminia na kutiririsha Mamilioni ya pesa majimboni mwao kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kuliko wakati wowote ule katika historia ya Taifa letu.
Waheshimiwa Wabunge mnafahamu na mmeona namna Rais Samia alivyotoa mamilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa,vituo vya afya ,zahanati katika majimbo mengi sana. ni mashuhuda wa namna miradi mbalimbali ambavyo imekuwa ikienda kwa kasi pasipo kusuasa.
Mmeona namna Rais wetu mpendwa alivyofanya kazi kubwa ya kukamilisha mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere lililopelekea kukoma na kumalizika kwa Mgao wa umeme hapa nchini,wabunge mmeona namna Rais Samia alivyo sambaza magari ya wagonjwa,vifaa tiba, madawa pamoja na wataalamu wa afya.wabunge mmeshuhudia Rais Samia akipeleka madaktari bingwa katika majimbo yenu kwa ajili ya kutibu wapiga kura wenu waliokuwa wamekata tamaa kutokana na hali ya kipato.
Waheshimiwa wabunge mmeshuhudia na kupitisha bajeti mbalimbali zilizopelekea serikali ya Rais Samia kutoa maelfu ya ajira kwa vijana, kutoa mabilioni ya Ruzuku katika kilimo,kununua mazao kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima,kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara maeneo mbalimbali,kusambaza umeme na maji kila kona,kutoa elimu bure kabisa hadi kidato cha sita.
kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika mafuta,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni 1.2,kuongeza bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu kufikia Billion mia Saba na pointi ili hata watoto wa maskini wapate elimu ya juu na kutimiza malengo na ndoto zao.
Waheshimiwa Wabunge mmeshuhudia Rais Samia akiwapandisha madaraja na kuwalipa malimbikizo ya madeni yao watumishi mbalimbali wa umma,kupandisha mishahara kwa 23% hasa wale wa kima cha chini,kuimarisha demokrasia,kulinda haki za binadamu na mengine mengi sana ambayo ninyi wenyewe ni mashahidi kwa kuwa yamekuwa yakipita na kuletwa taarifa kwenu. na ninyi ni mashuhuda mliojionea kwa macho yenu miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo mmekuwa mkienda kuitembelea na kufanya ukaguzi namna inavyojengwa kwa ubora na kwenda kwa kasi.
Sasa Mnasubiri nini kama Bunge kumtia moyo Mama yetu? Kwanini msipitishe azimio la kumpongeza na kumchangia kidogo kidogo pesa kwa ajili ya Fomu ya Urais hapo Mwakani? Kwanini msisimame kidete kuionyesha Dunia Upendo wenu kwa Rais wetu na kuungana na mamillioni ya watanzania wanaohitaji kuona Mama yetu Anaendelea na muhula wa pili?
Simaanishi kuwa Rais wetu mpendwa hawezi kuwa na pesa ya kuchukulia Fomu ,bali mnapaswa kufanya hivyo na wengi wamefanya hivyo kama vile walimu kama sehemu ya kumuunga mkono,kumtia moyo, kumpa faraja na kutambua mchango wake kwa kazi kubwa alizofanya kwa ajili ya Taifa letu na zilizogusa maisha ya mamilioni ya watanzania.
Naweka kalamu chini nakushia hapa ili andiko lisiwe refu kupita kiasi ,hasa kwa kuzingatia uvivu wa watanzania katika kusoma vitu vilivyo katika maandishi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
🤣 🤣 🤣Labda iwe Wabunge mnasubiri Nini kupiga kura ya kutokuwa na imani na rasi baada ya kuuza nchi
Mpina waongoze wabunge tumfurushe huyu raisi ameuza ngorongoro na bandari
Hivi hunaga hata aibu kama mapesa yote hayo tunayo hii kopa kopa yanini danganyaneni huko huko LUMUMBA fala wewe
Huyu Lukasi sio mtu wa kawaida kama sio kichaa bas yupo kazini lakini hamna mtu mwenye akili timamu tena mwanaume halafu awe na tabia kama za huyu mchizi anakera mpaka anakera tena lushindo huyuYaani hapo anaona umeandika cha maana. Eti pongezi mama kwa kutoa mapesa mikoani. Chawa mnafurahia maana ni kama anawahonga hizo hela. Badala ya kuona juhudi za wale wanajitahidi kuona hela haziliwi mnamsifu huyo mama mpigaji aliyeruhusu mle kwa urefu wa kamba zenu fedha za umma.
Hao watanzania uliwakuta wapi wakakutuma uwasemee huo upuuzi wako, mie ni mtz simuungi mkono huyo mamako...hapo vp utabubujikwa na machozi ya huzuni?!.Watanzania sisi ndio tunajuwa ni nani anaweza kutuongoza na kutuletea maendeleo ya kasi. Na kwa sasa Tumaini letu ni Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ndio chaguo letu watanzania.
Kwani fomu sh ngapiNdugu zangu watanzania,
Kama kuna Muhimili unapaswa kuwa msitari wa mbele kumtia moyo Rais Samia ,basi ni Muhimili wa Bunge.Hii ni kwa kuwa wabunge kwa macho yao ni mashuhuda wa namna Rais Samia alivyo miminia na kutiririsha Mamilioni ya pesa majimboni mwao kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kuliko wakati wowote ule katika historia ya Taifa letu.
Waheshimiwa Wabunge mnafahamu na mmeona namna Rais Samia alivyotoa mamilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa,vituo vya afya ,zahanati katika majimbo mengi sana. ni mashuhuda wa namna miradi mbalimbali ambavyo imekuwa ikienda kwa kasi pasipo kusuasa.
Mmeona namna Rais wetu mpendwa alivyofanya kazi kubwa ya kukamilisha mradi wa bwawa la Mwalimu Nyerere lililopelekea kukoma na kumalizika kwa Mgao wa umeme hapa nchini,wabunge mmeona namna Rais Samia alivyo sambaza magari ya wagonjwa,vifaa tiba, madawa pamoja na wataalamu wa afya.wabunge mmeshuhudia Rais Samia akipeleka madaktari bingwa katika majimbo yenu kwa ajili ya kutibu wapiga kura wenu waliokuwa wamekata tamaa kutokana na hali ya kipato.
Waheshimiwa wabunge mmeshuhudia na kupitisha bajeti mbalimbali zilizopelekea serikali ya Rais Samia kutoa maelfu ya ajira kwa vijana, kutoa mabilioni ya Ruzuku katika kilimo,kununua mazao kwa bei nzuri kutoka kwa wakulima,kujenga na kukarabati miundombinu ya barabara maeneo mbalimbali,kusambaza umeme na maji kila kona,kutoa elimu bure kabisa hadi kidato cha sita.
kutoa Ruzuku ya Billion mia moja kila mwezi katika mafuta,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni 1.2,kuongeza bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu kufikia Billion mia Saba na pointi ili hata watoto wa maskini wapate elimu ya juu na kutimiza malengo na ndoto zao.
Waheshimiwa Wabunge mmeshuhudia Rais Samia akiwapandisha madaraja na kuwalipa malimbikizo ya madeni yao watumishi mbalimbali wa umma,kupandisha mishahara kwa 23% hasa wale wa kima cha chini,kuimarisha demokrasia,kulinda haki za binadamu na mengine mengi sana ambayo ninyi wenyewe ni mashahidi kwa kuwa yamekuwa yakipita na kuletwa taarifa kwenu. na ninyi ni mashuhuda mliojionea kwa macho yenu miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo mmekuwa mkienda kuitembelea na kufanya ukaguzi namna inavyojengwa kwa ubora na kwenda kwa kasi.
Sasa Mnasubiri nini kama Bunge kumtia moyo Mama yetu? Kwanini msipitishe azimio la kumpongeza na kumchangia kidogo kidogo pesa kwa ajili ya Fomu ya Urais hapo Mwakani? Kwanini msisimame kidete kuionyesha Dunia Upendo wenu kwa Rais wetu na kuungana na mamillioni ya watanzania wanaohitaji kuona Mama yetu Anaendelea na muhula wa pili?
Simaanishi kuwa Rais wetu mpendwa hawezi kuwa na pesa ya kuchukulia Fomu ,bali mnapaswa kufanya hivyo na wengi wamefanya hivyo kama vile walimu kama sehemu ya kumuunga mkono,kumtia moyo, kumpa faraja na kutambua mchango wake kwa kazi kubwa alizofanya kwa ajili ya Taifa letu na zilizogusa maisha ya mamilioni ya watanzania.
Naweka kalamu chini nakushia hapa ili andiko lisiwe refu kupita kiasi ,hasa kwa kuzingatia uvivu wa watanzania katika kusoma vitu vilivyo katika maandishi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Pesa zinaendelea kuchangwa na wote wenye mapenzi mema na Taifa letu ambao wanatambua umuhimu wa Taifa kuwa mikononi mwa Rais Samia.pesa zingine zitasaidia kupita mikoani na mafuta ya gariWalimu si walishachanga au kuna fomu mbili mkuu nieleweshe!