Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Millioni Moja.Kwani fomu sh ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Millioni Moja.Kwani fomu sh ngapi
Mimi siyo chawaChawa
Acha uzushi na kuweweseka hapa.Huyu huwa anatumwa na Timu Makamba!!
Anaandika ujinga ujinga Ili Samia apigwe Pini ndo furaha ya kundi lile la 2025
Rais Samia anaungwa mkono na watanzania wote wenye akili Timamu na wanaojitambua.zingatia neno wenye akili timamu na wanaojitambua na wazalendo kwa Taifa letuHao watanzania uliwakuta wapi wakakutuma uwasemee huo upuuzi wako, mie ni mtz simuungi mkono huyo mamako...hapo vp utabubujikwa na machozi ya huzuni?!.
Ondoa ujinga wako hapaLabda iwe Wabunge mnasubiri Nini kupiga kura ya kutokuwa na imani na rasi baada ya kuuza nchi
Mpina waongoze wabunge tumfurushe huyu raisi ameuza ngorongoro na bandari
Nchi ngapi umeshuhudia viongozi wanashindwa kutumia kodi za wananchi kuwaletea watu maendeleo? Lakini sisi hapa tumeshuhudia matokeo chanya ya kodi zetu.tumeona namna huduma mbalimbali za kijamii zilivyojengwa karibu kabisa na wananchi.Sasa kwanini tusimpongeze na kumtia moyo Rais wetu kwa kumchangia pesa ya kuchukulia Fomu hapo Mwakani?Mkuu, kwa hiyo una shauri bunge litoe takrima/rushwa kwa Rais ili awe anatoa hela kwa wakati.
Tufahamishe hiyo fomu imefika billioni moja kulipia???
Mkuu utekelezaji wa majukumu na maendeleo yote uliyoyataja si ndio wajibu wa Rais kwa wananchi na sera ya chama chake???
Hivi Lukas hela iliyotumika si ni kodi yetu wananchi, au siku hizi Rais anatumia mshahara wake kwenye bajeti ya Taifa???
Mkuu chawarika taratibu!
Siyo walimu tu bali makundi mbalimbali yamemchangia Rais wetu mpendwa.na makundi na watu mbalimbali wataendelea kumchangia Rais wetu.hii ni katika kumtia moyo na kumuunga mkono.Lakini pia uchaguzi unahitaji mambo mengi sana kwa mgombea ikiwa ni pamoja na kuzunguka nchi nzima .hivyo pesa zingine zitatumika kumsaidia Mama yetu katika mahitaji mengine katika siku zote za kampeni. Kwani hujasikia na kujionea baadhi ya vyama vikishindwa kufanya kampeni kwasababu ya ukata wa pesa.Walimu si walishachanga au kuna fomu mbili mkuu nieleweshe!
Sasa mtu kama Lissu ana mchango gani na umuhimu upi kwa maisha ya watanzania? Amewsaidia nini watanzania? Kazi ya Lissu huwa ni kupinga kila kitu kinachofanywa na serikali.Ila Lissu akichangiwa mapesa anunue gari ni nongwa?Acha roho mbaya mnyamanyafu!
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa RaisHuyo Samiha a.k.a CHURA, analipia goli moja milioni 10, halafu wajinga wanamchangia pesa za kuchukua form ya kugombea urais.
Nahakika wakishindwa kujipendekeza watakuwa mashoga.
Kama haujui mambo mema aloyowatendea Watanzania hadi wakabubujikwa na machozi basi wewe u-mchanga na haumjyi TAML.Sasa mtu kama Lissu ana mchango gani na umuhimu upi kwa maisha ya watanzania? Amewsaidia nini watanzania? Kazi ya Lissu huwa ni kupinga kila kitu kinachofanywa na serikali.
Endeleeni kumchangia pesa kwa ajili ya kununua gari la starehe na kifahari kwa matumizi yake binafsiKama haujui mambo mema aloyowatendea Watanzania hadi wakabubujikwa na machozi basi wewe u-mchanga na haumjyi TAML.
Yani hupendi kabisa muheshimiwa TAML apate chuma safi ya kutembelea?Acha hizo wewe,utakufa vibaya ndugu!Endeleeni kumchangia pesa kwa ajili ya kununua gari la starehe na kifahari kwa matumizi yake binafsi
Mimi siyo chawa
Kwani gari yake alikuwa hajaikatia Bima?Yani hupendi kabisa muheshimiwa TAML apate chuma safi ya kutembelea?Acha hizo wewe,utakufa vibaya ndugu!
Anatakiwa awe na magari mengi tu.Wewe tulia.Kwani gari yake alikuwa hajaikatia Bima?
Jibu swali nililokuuliza. Gari la lissu lilikuwa na bima au halikuwa na Bima?Anatakiwa awe na magari mengi tu.Wewe tulia.
Hauelewi au haupendi kuelewa?Liwe na bima au lisiwe nayo,gari jipya ni lazima.Jibu swali nililokuuliza. Gari la lissu lilikuwa na bima au halikuwa na Bima?
Mumeo huyoLucas njoo pm kwanza tujadili hili tatizo lako, inabidi nikuwahi kabla hali haijawa mbaya
Acheni janja janja zenu hapa na kupenda mteremko.Hauelewi au haupendi kuelewa?Liwe na bima au lisiwe nayo,gari jipya ni lazima.