Pre GE2025 Wabunge mnasubiri nini kumchangia Rais Samia pesa ya kuchukulia Fomu ya Urais?

Pre GE2025 Wabunge mnasubiri nini kumchangia Rais Samia pesa ya kuchukulia Fomu ya Urais?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lucas njoo pm kwanza tujadili hili tatizo lako, inabidi nikuwahi kabla hali haijawa mbaya
Bora na wewe umegundua jamaa anatatizo la UHANTOBWE ambalo husababishwa na mlundikano wa Nyege mwilini, dalili zake zote zinaonekana kwa Lucs.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Waulize hata waheshimiwa Wabunge kuwa ni lini walikwama shughuli zao kama Bunge kutokana na changamoto ya pesa? Ni lini wameshindwa kwenda kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwa sababu ya kukosa pesa?
Nakuona katika ubora wako, siku ukipita hapa Iyunga tuwasiliane japo tupate moja mbili hapa break point
 
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais
Ni ujinga kudhani kusifia ujinga ndio adabu/heshima. Yeye Kajiita CHURA mwenyewe, halafu kila siku analipia magoli milioni 10 kila goli, halafu kuna wajinga kama wewe wanataka achangiwe kuchukua form ya kugombea urais ambaya ni milioni 1.

Adabu gani unayoiongelea au ujinga umekuzidi sasa unataka kila mtu afikirie kama wewe.

Mkishindwa kujikomba, au kupata mtakacho kwa kujipendekeza mwisho mna kuwa mashoga.
 
Back
Top Bottom