Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Naoni yangu ni :-
Kura zipigwe za Ndio/Hapana na wengi wapewe

Haiwezekani kila kitu kinapitishwa tu kwa upendo wa mtu mmoja
Nchi ya watu hii na wapewe haki ya maamuzi pia
 
Mama anaogopa kumegwa kwani hajawahi kuzaa!
 
Mkuu rekebisha kauli, eti "watu wa kagera hawataki kumegwa na wa chato"
[emoji23][emoji23]

Mie nakazia hapo hapo wanangu wa kagera msikubali kumegeka kizembe hivi.. kama vijana watatu tubwamefanya joto liongezeke, ruvu maji yaadimike, ukame.. sasa kagera mkimegwa si ndio tanzania itakuwa sahara ama atakama [emoji23]
 
Chato haina kigezo cha kuwa Mkoa. Tusilazimishe mambo.
KWA KUWA SHIDA NI CHATO MJI HAUJAWA MKUBWA KUWA NA SIFA YA MAKAO MAKUU YA MOA BASI WAYAWEKE MAKAO MAKUU HAYO WIALAYA YA BIHARAMULO NA UITWE MKOA WA BIRAMULO,, UKIWA NA WILAYA ZA NGARA, CHATO NA BIAHRAMULO YENYEWE NA RUNZEWE
 
Haya maneno ama ushauri, kwanini hawakuyasema mwaka jana, maana hoja hii si mpya!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Chato wanataka mkoa wapeni bila kumega hata robo heka ya ardhi Kagera.

Magufuli alikuwa mkabila yaani alikaa chini na ndg zake wakapanga kumega mkoa Kagera utadhani mali yao binafsi!!! Alianza zamani kufanya hujuma zake akapewa wilaya ya Chato iliyomegwa kutoka Kagera na sasa wanataka wamege wilaya nyingine eti wapate hadhi ya mkoa.

Tutawaadabisha wote watakaojichanganya, tuko tayari kwa lolote, ukabila mmeuanzisha nasi tutamalizia liwalo na liwe.
 
Kama Chato wanataka mkoa wapeni bila kumega hata robo heka ya ardhi Kagera. Magufuli alikuwa mkabila yaani alikaa chini na ndg zake wakapanga kumega mkoa Kagera utadhani mali yao binafsi!...
Duh! Msifike huko jamani!!!
 
Rais wetu mama samia, haya mambo ya kumega mega ni ugonjwa tunaoupandikiza tunaomba chato irudi kagera, kama wilaya.
 
Kwani wewe mleta mada kabila gani? Kagera ina makabila kibao mlikutana lini na makabila yote ya Kagera kuwa yasimegwe kwenda mkoa mwingine?
 
Wewe ndiyo una ukabisa sasa kwani mkoa wa Chato watakaa wasukuma tu? Mbona Chato kuna Wasubi, Wakara, Wasukuma, wahaya, wanyambo, wahangaza nk. Acha ukabila wewe kwa hiyo huko Kagera mnataka mkae Wahaya tu au? Haya kaeni pekee yenu na ndiyo maana Kagera inaendelea kubaki nyuma kwa sababu ya watu kama nyinyi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…