Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Upo sahihi sanaHaya maneno nenda kawaambie wapumbavu wenzio wa Chato. Tulikwishapata hasara wakati wa Magufuli, hatutaki tuendelee kupata hasara zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi sanaHaya maneno nenda kawaambie wapumbavu wenzio wa Chato. Tulikwishapata hasara wakati wa Magufuli, hatutaki tuendelee kupata hasara zaidi.
Nimegundua kumbe wabunge wa kagera ndo wanazidi kupafanya kagera kuwa maskini...
Wanamawazo mgando na wako conservative.
Mimi naomba biharamulo na ngara ziundiwe mkoa wake ili ziangaliwe zaidi maana ndo maskini zaidi katika mkoa wa kagera.
Poor you wabunge
Mka wa Ziwa Magharibi (uliopewa jina la Kager kwa heshima ya ushindi wa vita vya nduli) umekaa vizuri hapo ulipo. Kwa sababu za kiuchumi (access, critical mass, economic viability) ungebaki kama ulivyo.
Sababu za kikabila hazina mshiko, sababu aliyetoa pendekezo Bigambo na Mhaya. Isitoshe, Ngara si nchi ya Wahaya ni ya Wahangaza na Biharamulo ni pori mostly la wafugaji Wasukuma.
Pia naona Mbunge wa Ngara na wa Biharamulo hawajashiriki. Ukabila na mila etc etc etc hazina mshiko, sababu za kiuchumi ni muhimu zaidi. Kabila has never been a serious issue in Kagera or anywhere else in Tanzania: vimebaki vijembe vya Wahaya na Wanyambo; Baziba na Wakara; alizokuwa nazisema Nyerere kupinga ukabila.
Ni wakabila, yani hawataki changamana na watu wengine..Nimegundua kumbe wabunge wa kagera ndo wanazidi kupafanya kagera kuwa maskini...
Wanamawazo mgando na wako conservative.
Mimi naomba biharamulo na ngara ziundiwe mkoa wake ili ziangaliwe zaidi maana ndo maskini zaidi katika mkoa wa kagera.
Poor you wabunge
Si walisema Mkoa wa Geita ubadilishwe uitwe Chato. Simple as that!
Hacha ukabila wewe, nchi ni ya watu wote hii, mbona hamuwasemi wale waliodai kabila lao lipewe Uhuru wajitiwale. Kwanza Nyerere ndiyo aliturudisha nyuma mpaka leo na kufanya serikali ipasusie kwa kujifanya Mungu mtu wa nchi hii.Wahaya ni wabinafsi, ukitaka kuwajua nenda uwanja wa fisi, wanafanya mambo ya ajabu lakini ukiwauliza wanajibu bila aibu. Hawa watu ni hatari Sana, nyerere aligundua mapema na akawapiga pini.
Matatizo ya nchi hii yametokana na dhana chafu za Hawa jamaa....vita ya kagera na Iddi Amini walijifanya wao ni waganda, waganda kyaka..hawakutaka sera za nyerere, kwa hio wajitenge na nchi, Hadi leo tunaumia kwa sababu ya ubinafsi wao.
Ombi langu, wapuuzwe, hawajawahi kuwa na nia njema na nchi yetu.
Wakabila kivipi, hacha kupotosha watu, makabila mangapi yamejaa kagera. Hawa wanaopinga mkoa usimegwe bado wanatetea hayo makabila yabaki kwa wahaya, hapo ukabila unatoka wapi.Ni wakabila, yani hawataki changamana na watu wengine..
Yaan nimeshangaa hata mm....ukitembelea hayo maeneo utaelewa kwann chato iwe tu mkoa.....nauli ya kutoka bukoba mjini mpaka ngara ni 22,000elfu...biharamulo ni pori kabisa plus kakongo ,kibondo na runzewe ,rusahunga hakuna maendeleo kabisa ni hekari nyingi kiasi kwamba majambazi huteka mabasi huko na hakuna usalama wa kutosha.....
Wakiweka mkoa hata barabara ya geita runzewe, nyakanazi ,kibondo ,kakonko ,kasulu hadi kigoma itajengwa kwa lami...sasa hizi porojo za nshomile hizi zimejaa hujuma tu
Kuongea lugha yao ndiyo ukabila, wewe kwenye kabila lako hamuongei lugha yenu ndugu, wahaya wanawanyonya? Kivipi, acheni kupandikiza chuki za kikabila, ukienda kila mkoa Tanzania kuna makabila zaidi ya mawili, Ila wenyewe sio wakabila yaani wahaya wenye hayo makabila kwenu nyinyi ndiyo wenye ukabila Tanzania.Wahaya wana ubaguzi sana, na wanataka hizo wilaya waendelee kuzinyonya tu. Ukienda pale mkoani kama huongei kihaya huduma utazisikia tu.
Ni kweli chato haina sifa, inapewa kwa upendeleo tu lakini ngoja wahaya wabaki huko kagera wenyewe ndio tutajua kuna wazoya na waziba na wanyambo na…
Pia kama chato inafanywa mkoa bado makao makuu ya mkoa hayawezi kuwa pembeni ya mkoa, tena karibu tu na mkoa mwingine wa Geita. Makao makuu ya mkoa wangeyapeleka biharamlo au hata rusahunga au nyakanazi
Kakonko....sorry ni typing errors brooHakuna sehemu inaitwa kakongo wacha kutupiga za shingo
Pia ww ndio umekosea...usitupige kamba kisa unakosoa kila kituHakuna sehemu inaitwa kakongo wacha kutupiga za shingo
Tokà lini kaka maana mkandarasi aliitelekeza hiyo barabara kufika kasulu kigomaMbona Geita Runzewe hadi Nyakanazi barabara ni ya lami ?
Kumbe unaelewa mkuuKutoka Ngara mpaka Bukoba ni kilomita 320, kutoka Ngara mpaka Chato hazifiki kilomita 70. Hao wabunge wanaongozwa na historia ya miaka na miaka hawaongozwi na mahitaji ya kijiografia, hawatazami watu wa sasa wa Ngara wanataka nini cha maendeleo.
Au kufua nguo kwa maji ya bahari [emoji12][emoji12]Hapo kwenye katiba kuwaelekeza wana CCM ni sawa kumpigia mbuzi gitaa.
Geita- Bwanga- Runzewe ni lami siku nyingiTokà lini kaka maana mkandarasi aliitelekeza hiyo barabara kufika kasulu kigoma
Lakini ndiyo ukweli huo, yaani kilio cha mtu msibani kinageukaje kuwa kigezo? Vigezo kwa mujibu wa andiko lao kama vingefuatwa mikoa ya kugawanywa ni miwili tuu Tabora na Morogoro.Ila wahaya ni kiburi, nyie....
Nimesoma maneno machache sana hasa hapo kwenye CHIMBUKO LA MKOA MPYA WA CHATO na naomba kunukuu:-
"Chimbuko la kuomba mkoa mpya wa Chato halina mashiko kisiasa, kiuchumi wala kisheria"
Naendelea kunukuu....
"Chimbuko la mkoa wa Chato linatokana na muombolezaji mmoja aitwaye Bigambo wakati wa msiba wa hayati Magufuli."
"Muombolezaji huyo alidai kusikia kwamba Magufuli alitaka Chato uwe mkoa, jambo ambalo halina uthibitisho wowote wa kisiasa"
Mwisho wa kunukuu.
My take:
Yaani hawa jamaa (Wahaya) "wameikataa" kabisa Chato na wakafika mbali zaidi kwa kusema "zilikua ni hasira tu" za kufiwa (za msiba) za bwana Bigambo.
Lakini pia wametanabaisha kwamba alichokisikia bwana Bigambo hakina uthibitisho wowote, kwahiyo huenda Bigambo alikua "anatujaza tu".