Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Wabunge wa Kagera wapinga Mkoa wao kumegwa na kupelekwa Chato

Huduma hazitakiwi kufuatwa, huduma zinatakiwa zipelekwe walipo watu.

Ndio maana huwa mna chuki na wachaga wenzenu wilaya zao zote wanajitoshereza mpaka vijijini unskunywa maji ya bomba na wana umeme na lami na hawajawahi kutowa Rais Mchaga.
Kwaahio chato na na biharamulo haziwezi kupata umeme vijijini kama Kilimanjaro mpaka ziwe mkoa au hio geita ilivyokuwa mkoa ndio imepata umeme maji na huduma zote vijijini
 
Kichwa cha habari kisomeke hivi, Wabunge wa kihaya huko bukoba wapinga mkoa wa kagera kumegwa wilaya Za Ngara na Biharamulo Ili kuunda mkoa mpya wa Chato.

Hii italeta mantiki, kwa wanao megwa wao hawana shida Ila hao wahaya wanawashwa na pilipili isio wahusu period.
 
Kichwa cha habari kisomeke hivi, Wabunge wa kihaya huko bukoba wapinga mkoa wa kagera kumegwa wilaya Za Ngara na Biharamulo Ili kuunda mkoa mpya wa Chato.

Hii italeta mantiki, kwa wanao megwa wao hawana shida Ila hao wahaya wanawashwa na pilipili isio wahusu period.
Wala sio wabunge wa kihaya maana sijaona mbunge wa Bukoba manispaa, misenyi, Karagwe na kyerwa. Hao ni wahuni wachache huenda wana maslahi na hizo wilaya zikiwa Kagera
 
Wahaya wana ubaguzi sana, na wanataka hizo wilaya waendelee kuzinyonya tu. Ukienda pale mkoani kama huongei kihaya huduma utazisikia tu.

Ni kweli chato haina sifa, inapewa kwa upendeleo tu lakini ngoja wahaya wabaki huko kagera wenyewe ndio tutajua kuna wazoya na waziba na wanyambo na…

Pia kama chato inafanywa mkoa bado makao makuu ya mkoa hayawezi kuwa pembeni ya mkoa, tena karibu tu na mkoa mwingine wa Geita. Makao makuu ya mkoa wangeyapeleka biharamlo au hata rusahunga au nyakanazi
Samahani, Mkuu!
Kuna kabila au jamii inaitwa WAZOYA hapa Tanzania?
 
Nimegundua kumbe wabunge wa kagera ndo wanazidi kupafanya kagera kuwa maskini...

Wanamawazo mgando na wako conservative.

Mimi naomba biharamulo na ngara ziundiwe mkoa wake ili ziangaliwe zaidi maana ndo maskini zaidi katika mkoa wa kagera.

Poor you wabunge
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ukiwapa chaguo watu wa Ngara na Biharamulo wachague wapi yawe makao makuu ya Mkoa wao, I assure you watachagua Bukoba. Hawatansahau Magufuli alivyo Diverge barabara ya Lami iliyokuwa ipite Biharamulo na kuipeleka Chato alipokuwa Waziri wa Ujenzi enzi za Mkapa
Sihivyo tu hata iliyotengenezwa na majirani kuikalabati ilikuwa mtihani
 
Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka, amesema wilaya ya Chato haina sifa za kuwa mkoa kama watu wa Wilaya hiyo wanavyosema.

Profesa Tibaijuka amesema kati ya mambo yanayooneshwa kwamba Chato haina sifa, ni kwamba haiwezi kuwa mkoa mpaka imege vipande vya mkoa wa Kagera.

Amesema wao hawataki kumegwa.

Ni maoni yako: Je Chato inastahili kuwa mkoa?

FFDJoNjXwAcw7vX.jpg
 
Kawe kenyewe kama kenyewe mbona Dar na Kim ni mikoa modogo kijigrafia nawe pia wawe hivo, wasitegemee kupata mapato kutoka Wilaya za karibu ztakazomegwa.

Ukitaka kutoka nyumban kwenda kujitegemea na nyumbani hujafukuzwa USIOMBE nauli ya kuondokea
 
Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka, amesema wilaya ya Chato haina sifa za kuwa mkoa kama watu wa Wilaya hiyo wanavyosema.

Profesa Tibaijuka amesema kati ya mambo yanayooneshwa kwamba Chato haina sifa, ni kwamba haiwezi kuwa mkoa mpaka imege vipande vya mkoa wa Kagera.

Amesema wao hawataki kumegwa.

Ni maoni yako: Je Chato inastahili kuwa mkoa?

View attachment 2023349
Watake wasitake Kagera itakatwa na kumegwa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom