nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,035
- 2,938
Tabora hakuna haja ya kweli kugawanywa kwa sababu ya umaskini uliokithiriVipi mkoa wa Tabora na wenyewe umegwe pia why chato?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabora hakuna haja ya kweli kugawanywa kwa sababu ya umaskini uliokithiriVipi mkoa wa Tabora na wenyewe umegwe pia why chato?
Pole sanaKama Chato inakuwa mkoa kwanini Machame, Marangu, Mamba, Mwika, Kirua na Rombo zisiwe mikoa?
Taifa zima limefurahi sana chato kukosa nafasi ya kuwa mkoaPole sana
Kwahiyo chato ni tajiri?Tabora hakuna haja ya kweli kugawanywa kwa sababu ya umaskini uliokithiri
Umefiika huko same mlimani ? Hata huko Siha kwenye magadi ? Umefika huko Machame. Uliiona migomba ya machame ? Mashina yake kama mguu wa mbuzi. Kilimanjaro hakuna utajiri wowote ni michosho tuHuduma hazitakiwi kufuatwa, huduma zinatakiwa zipelekwe walipo watu.
Ndio maana huwa mna chuki na wachaga wenzenu wilaya zao zote wanajitoshereza mpaka vijijini unskunywa maji ya bomba na wana umeme na lami na hawajawahi kutowa Rais Mchaga.
Hilo kabila la wachagga ni hovyo sanaInaongelewa Kagera, ww unaleta uchaga, mna shida gani, Kwanza nyinyi ndiyo mnawachukia wahaya. Niliwahi kufanya interview sehemu fulani, Manager ni mchaga wa Rombo, siku nalipoti kazini, akaniita ofisini kwake akasema nenda kabila lako likuajiri.
Punguza chuki zako wewe sukuma gang.Umefiika huko same mlimani ? Hata huko Siha kwenye magadi ? Umefika huko Machame. Uliiona migomba ya machame ? Mashina yake kama mguu wa mbuzi. Kilimanjaro hakuna utajiri wowote ni michosho tu
Bora mrundi kuliko mchaggaYule ni Mrundi, Watanzania hatuna la roho za kishetani.
Sukuma gang hoiiiiii chaliiiiiiiiii mtasubiri sanaHilo kabila la wachagga ni hovyo sana
StupidBora mrundi kuliko mchagga
Geita hadi Runzewe mbona lami ipo ?Yaan nimeshangaa hata mm....ukitembelea hayo maeneo utaelewa kwann chato iwe tu mkoa.....nauli ya kutoka bukoba mjini mpaka ngara ni 22,000elfu...biharamulo ni pori kabisa plus kakongo ,kibondo na runzewe ,rusahunga hakuna maendeleo kabisa ni hekari nyingi kiasi kwamba majambazi huteka mabasi huko na hakuna usalama wa kutosha.....
Wakiweka mkoa hata barabara ya geita runzewe, nyakanazi ,kibondo ,kakonko ,kasulu hadi kigoma itajengwa kwa lami...sasa hizi porojo za nshomile hizi zimejaa hujuma tu
Kwani hii Katiba siyo bora ?Katiba katiba katiba!
Mkiambiwa juu ya umuhimu wa kudai Katiba bora, mnaanza kukimbizana na marungu kuwaangamiza CHADEMA. Haya sasa, muombolezaji Bigambo anaelekea kufanikisha matakwa yake! Kwa hiyo, Wabunge wa Mkoa wa Kagera kubalini matokeo, Bigambo kisha wapiga dole tayari!
Chato hamna sifa ya kuwa mkoa na haitatokea kwenye kizazi hiki.Geita hadi Runzewe mbona lami ipo ?
Kwishaaaa habari zenu nyinyi sukuma gangKwani hii Katiba siyo bora ?
Pole sana. Jinga wewe. Unaleta uchagga hapa nani atakusikiliza ? Kuna mibaguzi nchi hii kama chaggas ?Stupid
HUTAKI SAWA UNATAKA SAWAKwani hii Katiba siyo bora ?
Sukuma gang mtalia sana safari hiiPole sana. Jinga wewe. Unaleta uchagga hapa nani atakusikiliza ? Kuna mibaguzi nchi hii kama chaggas ?
Naona uatetemeka kila unapomtaja nchaggaBora mrundi kuliko mchagga
Wewe ni nani mpaka ujiapize hivyo ? Nani aliyekuambia kwamba mimi ni wa Chato ? Wewe mbona toporo sana ?Chato hamna sifa ya kuwa mkoa na haitatokea kwenye kizazi hiki.
Jiwe alitaka kufuja fedha za watanzania na Mungu hakutaka hilo.
LISANGA YA BANGANGA YA WACHAGGAHilo kabila la wachagga ni hovyo sana